True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Hilo jina Yunge lina maana gani, kuna jamaa/Mwanaume nilisoma nae chuo ilakua anaitwa hilo jina pia
 
Ukitaka kujua humu kuna watu hawana akili hata ya kuvukia barabara siku moja njoo na story yako unayotamani kushare na jamii

Utasikia Muongo, umecopy sio wewe, chai hii dah

Mtu anakwambia nimelala na njaa wewe unamwambia "Muongo" ulikuwepo?

Kuna siku nilitamani kushare na jamii na kuwaelezea simulizi flani jinsi nilivyofanikiwa kumkamata mwizi wa mitandaoni na zile njia nilizotumia na wao wezi njia wanazotumia

Yanii mimi mwenyewe ndio nimemkamata huyo Mwizi ,
Na Rb ninayo mfukoni anatokea mtu humu hata hana anachokijua anakwambia tu chai hio Muongo, umecopy wewe

Mara nyingi tunakosa kupata taarifa mbali mabli kwa sababu ya watu wachache wenye Tabia za utoto utoto na za kijinga zinawakatisha tamaa wasimuliaji


Binafsi nikifunga hadith au simulizi humu nikiona alijanipendeza naondoka bila ya kuaga sio kucomment vimaneno vya kuwakera wengine wanaofatilia
mwanaume mzima una susa
 
Umeanza kuharibu ulipofika sehemu ya 36 na hasa 37. Mimi ni mwanaume kunidanganya acha!
Kikawaida kwa mwanaume kupita muda mrefu bila kufanya,siku akitunukiwa dakika 6 ni nyingi tukio zima linakuwa limekamilika,labda next round sasa ndipo hizo mbwembwe sijui kulamba mara blaablaa ndipo zitafuata.

Lkn pia ninahisi wewe ndiye uliyewahi kuandika thread yenye heading HOW I MET MY WIFE.
Sina uhakika sana ijapo kwa kipindi hicho sikuwa member bali nilikuwa mpenzi msomaji tu.
We yule aliyeandika HOW I MATE MY WIFE unamfananisha na huyu anayetoa hadithi za muu ndo huu? Mzee ,JBourne59 ni bingwa ndugu tafuta story zake utampigia salute!
 
Back
Top Bottom