True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Wewe mdogo usie na kiherehere cha kunijibu na umeelewa nambie top 20 ilikua saangapi na sports round up ikafuatia ikiwa saangapi? Kama ni facts basi ziwe facts
Clouds Fm; siku ya Jumapili huwa na mtiririko ufuatao wa Vipindi;

1. Kile cha Dini cha akina Harris Kapiga na Huruma Charles.. Nadhani kinaitwa Gospel Trax
2. Top 20
3. Sports Round Up
4. Njia Panda ya Dr. Isack Maro
5. Nimesahau jina, ila mara nyingi mtangazaji wake ni John Jackson
6. Geah Habibu na mambo yake ya Taarab
7. Sports Extra
 
Clouds Fm; siku ya Jumapili huwa na mtiririko ufuatao wa Vipindi;

1. Kile cha Dini cha akina Harris Kapiga na Huruma Charles.. Nadhani kinaitwa Gospel Trax
2. Top 20
3. Sports Round Up
4. Njia Panda ya Dr. Isack Maro
5. Nimesahau jina, ila mara nyingi mtangazaji wake ni John Jackson
6. Geah Habibu na mambo yake ya Taarab
7. Sports Extra
Kuongezea,zemani after njia panda ilkua inafata Total Request presenter akiwa mchomvu au dem fulan hv sahv yuko America
 
Neno senta naliona sana kwa story za kanda ya kaskazini zinazoandikwa huku
kila kijiji kina senta yake. Senta ya biashara, kunakopatikana mahitaji muhimu ya binadamu.

niambie huko kanda nyingine kwenye remote areas hakuna senta?

ina maana hujui maana ya senta?
 
Heading ya hii story haikunivutia kabisa,hvyo nilkuwa naipitiliza tu lakin kuna member niliona anaisifia kwenye ile story ya ujambaz wa chuga,tabora kigoma zambia ndo nikaamua niisake,nimeipenda sana

Weka weka na uongo ili iwe tamu zaidi
Nitag uko ndugu
 
116
Mimi sio mchawi, alijibu.
Basi umejuaje kama ni kiongozi wa wachawi? Nilimwuliza huku nikitambua fika kabisa aliyokuwa ananiambia ilikuwa ukweli mtupu, nami sikutaka kuoneka nayajua hayo hivyo nilivunga ili nipate kuyajua mengi.

Ebu niache nisije kukueleza nawe ukaja mwambia kisa umenogewa penzi mwenzio nikaenda kulimishwa usiku, alisema yunge mdogo.

Aliondoka huku nikimwona kabisa akiwa na uhitaji wa kuendelea kubaki pale tupige stori, nami kutokana na njaa kuniuma nilimwacha aende ili nitinge jikoni kujipakulia ubwabwa ule mtamu na kuanza kuushambulia, kweli nilifanya vile mpaka nikatosheka, nilinawa kisha nikaenda getoni mwangu na kujipumzisha kitandani.

Jioni babu na bibi walirudi na kunikuta nimeshakoka moto tayari.

Bibi aliingia jikoni na babu alikaa pale kuota moto, alinisimulia yote yaliyojiri kule juu ya wale waganga kung'ang'ana kwamba mimi nilihusika na kuwapa pigo wale wachawi wawili.

Na inasemekana sio hao tu, pia kunawengine watano nao walikutana na pigo lako takatifu,
Ehe nielezee a-z
Stori nzuri sana ndugu mwandishi,,,
Ila ongeza nyama kwenye episode zinakua fupi sana.
 
Back
Top Bottom