True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

...17
Tutaona, alisema yungu huku akitokomea sebleni!
Niliwaza sana! Je huyu binti amekuja kwaajili ya kujikinga na mvua kweli ama danganya toto?
Iweje mapema nilipomchombeza kwamba yeye mzuri akanambia sijamwona tu yunge mdogo, nakwamba siku nikimwona ntayafuta maneno yangu mara moja! Na vipi anitahadharishe kuhusu waschana wa pale kijijini kwa msisitizo sana?
Basi nilifungua kiredio changu nikajilaza, wakati nakaribia kupitiwa usingizi nilistuka yunge anabisha hodi!
Karibu, nikamwitiakia! Aliingia chumbani akasema nimevutiwa sana na nyimbo unazopiga kwenye redio yako! Napenda mno nyimbo hizi roma (katoliki) naomba tulale wote ila tusigusane, pale sebleni baridi kali linapita chini ya mlango! Nikamwambia poa! Kukuondolea wasiwasi mie nageuka mzungu wa pili!
Hapana tulale tu, unaonekana ni kijana uliyepevuka, hivyo nakuamini! Alisema yunge! Binti anaakili sana huyu, niliwaza,
Tulilala kila mtu shuka lake! Nlijitahdi kubana pumzi nisipumue kwa nguvu!
Nmeipenda radio yako! Niazme kesho nkasikilize kwaya,
No!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom