True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

172
Kitendo cha wewe kukumbuka kuwa unasiraha ambazo zinaweza kukusaidia ni ushindi tosha na hizi zana ndo msaada pekee kwetu kuliko hata hata bibi yako na majirani uliokuwa unawaita na kuomba msaada kwao, alisema babu.

Inamaana kumbe alikuwa ananisikia wakati naenda kuomba msaada nyumbani kwa kina yunge mdogo? Niliwaza.

Sasa nenda nyuma ya nyumba ukaniletee ile zana niliyokuwa nimeibeba wakati ule nakufanyia tiba kisha uje hapa, hakikisha ukiibeba zana hiyo hutoiweka chini mpaka uje unipe mikononi mwangu, alitoa angalizo babu akiwa gizani na hatuonani kabisa.

Nilifika nyuma ya nyumba na bila kuhangaika kutafuta nilikifikia tu kile kitu kilichoonekana kama chungu kidogo sana huku kimezungushiwa matambala madogo meusi na mekundu makuukuu, nilishangaa licha ya giza zito lakini kilionekana vyema tu.

Nilikisogelea haraka huku nikiangaza macho huku na kule kuhakiki usalama wangu, nilikifikia na kuinama haraka, nilikitwaa na ghafla nilihisi mkono wangu wa kushoto kukakamaa na misuli kubana.
Nilitoka nduki...!
Kwanini umekuwa ukishindwa masharti kila mara mkuu wangu? Kama ulivyofungua macho na kusababisha babu yako anusurike kuuwawa.
 
174
Nikusaidie nini babu? Nilimwuliza kwa shauku.
Nataka urudishe uhusiano wako na yunge mkubwa, jitahidi umfanye akupende mno na awe tayari kwa lolote utakalo mwambia, baada ya hapo nitakupa maelekezo ya kufanya, nataka tukomeshe upuuzi wanaoufanya hapa kijijini, alisema babu.

Kwahiyo bibi atakuwa wapi muda huu? Nilimwuliza babu.
Utamwona tu asubuhi, yaani wanavunga hatujawatambua kama wao ndo wametufanyia ujinga na huyo wanaemwita mkuu wao {yunge}
Si umesema uliyoisikia ni sauti ya yunge? Aliniuliza babu.
Tena mara mbili kabisa na alitaja jina langu la bhuhabhi, nilimhakikishia babu.

Sasa fanya kama nilivyokuelekeza na usioneshe tofauti yoyote unapokuwa mbele yao, sawa? Alinambia babu.
Sawa babu nitafanya na utafurahi, lakini babu hujanieleza kuhusu kutokuwa kwangu na fahamu wiki mbili nzima, ilikuwaje babu? Nilimwuliza.

Tena umenikumbusha, nataka kabla hujakutana tena kimwili na yunge anza kwanza na yule tatu, hakikisha unafanya nae mapenzi nyumbani kwao, kisha nitakupa maelezo nini ufanye sawa?
Sawa.
 
175
Nilikubali na babu akaondoka kwenda ndani mwake, niliinuka nikaenda kuufunga mlango kisha nikarejea chumbani, sikuziona zana zangu za kazi hivyo nilichungulia uvunguni nikakutana na "full package" ndumba yote imetulia uvunguni, nikashusha pumzi kisha nikajilaza.

Sikuwa nayasikia maumivu tena na hata ule uchovu uliotokana na kuzimia wiki mbili uliisha kabisa, hata mkono nao haukuuma tena.
Sasa nilianza kumuwazia tatu, kwa ule mshepu wake nilijiona namgalagaza kitandani mwake na kumfaidi bila hofu kwani nilikuwa nimepewa agizo hilo.

Niliukumbuka ugomvi wangu na tatu mpaka kupelekea mimi kuzimia ulisababishwa na mimi kuvunja miadi yetu na yeye, hapa nikasema sitakuwa na kazi nzito ya kufanya bali itakuwa kama kumsukuma mlevi tu.

Muda kidogo nilisikia dirisha kugongwa, nilitega sikio na nikajua ni yunge mdogo, nilifungua mlango akaingia mpaka chumbani, alikuwa amejitanda nguo mbegani na sasa aliweka kitandani, mkononi alikuwa na kibakuli kidogo cha plastiki, kulikuwa na wali na maharage.

Mhh! Humu kuna..!
 
176
Humu leo kunanini? Aliuliza yunge mdogo.
Umeona nini kwani? Nilimwuliza.
Nahisi kumetulia saana, yani pamepoa hadi raha, alisema yunge mdogo.

Mbona siku zote pako hivi tu wala hakuna badiliko, ni wasiwasi wako tu, nilimwambia yunge mdogo huku nikisema kimoyomoyo "chezea full package wewe"
Nilushambulia ule wali kwa pupa kisha tukawa tunapiga stori, niligundua yunge mdogo alikuwa anahitaji kufanya jambo ila mie nikajifanya kichwa ngumu.

Uzalendo ulimshinda na hatimae alinambia, ulisema moja ya sababu kubwa ya wewe kumpenda sana yunge mkubwa ni alikupa usichana wake, je nami nikifanya hivyo utanipenda kama yeye? Aliniuliza yunge mdogo huku anatazama chini kwa aibu.

Sikuwa na jibu zaidi ya kumlaza na kuanza kumnyonyoa manyoya na hatimae akabaki kama alivyozaliwa, licha ya viaibu vyake vya kikekike nilimweka mkao pendwa, nikawa uso kwa macho na kitumbua, ile picha niliyoiona pale huwa naikumbuka mpaka leo.

Palivutia sana juu ya kitumbua chake, nilitamani niendelee kukitumbulia tu macho, kilivutia sana..!
 
Back
Top Bottom