True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

186
Nilishika njia ya kwenda nyumbani baada ya kuachana na tatu, nilifika nyumbani nikiwa naukumbuka utundu wa tatu kule kichakani alivyoninyoosha kwenye mnyanduano, yaani badala ya kumnyandua mimi, yeye ndo alinyandua, alikuwa na utamu wa tofauti kabisa na kina yunge wote wawili labda ni kutokana hawakuwa wazoefu kwenye maswala yale tofauti na tatu aliyeonesha ni mwamba kwelikweli.

Mchana wa saa 7 babu alinitaka tuongozane kwenda kule mbugani {bondeni} hivyo nilibeba panga kisha tukaongozana na babu kwenda mbugani huku moyoni nikiwaza leo naenda kula tena kambale.

Njiani tulipiga stori za hapa na pale.

Babu: ehe nambie umebahatika kumwona mlengwa wetu leo?
Mimi: ndio babu, nilimwona na mambo nimeshayaka sawa kabisa, yaani ni sisi tu.

Babu: safi sana, ilikuwaje?
Nilimweleza yote yaliyotokea mpaka kule kichakani kitendo ambacho kilimchekesha sana babu na kunisifu kwa jambo lile.

Unajua tunataka tumtumie yule binti atupe kinga moja yenye nguvu sana ambayo aliachiwa na bibi yake kwa ajili ya kumkinga.
 
Oyaaa wadau kitu kinashushwa huku mdo mdo..
 
187
Kwahio jitahidi umfanye tatu kila utakachomwambia asiweze kukupinga kwa kuhofia atakuuzi mpenzi wake, na jambo hili nataka lifanyike ndani ya siku mbili hizi, nataka tuipate haraka hiyo kitu na itusaidie, alisema babu huku sasa tayari tukiwa tumefika pale bondeni.

Nilishangaa kuona yale majaruba yaliyokuwa yanalimwa juzi tu, tayari yalikuwa yamepandwa mpunga na ulianza kustawi vizuri sana.

Hivi babu nikweli nilizimia kwa wiki mbili? Maana nakumbuka mara ya mwisho kufika hapa mbugani hapakuwa pamepandwa mpunga, lakini leo naona mpunga tena umestawi vizuri kabisa, nilimwuliza babu ambae alinijibu kuwa nilipoteza fahamu kimkakati na kwamba nitulie niachane na stori ile kwani tunakazi ngumu ya kufanya mbele yetu.

Tuliyapita majaruba tukaelekea kule kulipokuwa na bustani kubwa ya migomba, ndizi mbivu zilikuwa nyingi kwenye mikungu, tulikula mpaka tukatosheka.

Babu: Unauona ule mti?
Mimi: nauona babu, unanini kwani?
Babu: huu mti, ni dawa nzuri mno kwa mwanaume, ebu chimba mizizi yake nikuoneshe.
 
186
Nilishika njia ya kwenda nyumbani baada ya kuachana na tatu, nilifika nyumbani nikiwa naukumbuka utundu wa tatu kule kichakani alivyoninyoosha kwenye mnyanduano, yaani badala ya kumnyandua mimi, yeye ndo alinyandua, alikuwa na utamu wa tofauti kabisa na kina yunge wote wawili labda ni kutokana hawakuwa wazoefu kwenye maswala yale tofauti na tatu aliyeonesha ni mwamba kwelikweli.

Mchana wa saa 7 babu alinitaka tuongozane kwenda kule mbugani {bondeni} hivyo nilibeba panga kisha tukaongozana na babu kwenda mbugani huku moyoni nikiwaza leo naenda kula tena kambale.

Njiani tulipiga stori za hapa na pale.

Babu: ehe nambie umebahatika kumwona mlengwa wetu leo?
Mimi: ndio babu, nilimwona na mambo nimeshayaka sawa kabisa, yaani ni sisi tu.

Babu: safi sana, ilikuwaje?
Nilimweleza yote yaliyotokea mpaka kule kichakani kitendo ambacho kilimchekesha sana babu na kunisifu kwa jambo lile.

Unajua tunataka tumtumie yule binti atupe kinga moja yenye nguvu sana ambayo aliachiwa na bibi yake kwa ajili ya kumkinga.
Oya mimi ni Msukuma mwenzio tena wa Miti mirefu, Geita kabisa ila unafanya tuonekane wasukuma wote ni mandezi.

Story yako ni kama inazunguka palelale haiendi mahali embu tandika kitu ndefu tunapoenda lunch tu tuisome vizuri
 
187
Kwahio jitahidi umfanye tatu kila utakachomwambia asiweze kukupinga kwa kuhofia atakuuzi mpenzi wake, na jambo hili nataka lifanyike ndani ya siku mbili hizi, nataka tuipate haraka hiyo kitu na itusaidie, alisema babu huku sasa tayari tukiwa tumefika pale bondeni.

Nilishangaa kuona yale majaruba yaliyokuwa yanalimwa juzi tu, tayari yalikuwa yamepandwa mpunga na ulianza kustawi vizuri sana.

Hivi babu nikweli nilizimia kwa wiki mbili? Maana nakumbuka mara ya mwisho kufika hapa mbugani hapakuwa pamepandwa mpunga, lakini leo naona mpunga tena umestawi vizuri kabisa, nilimwuliza babu ambae alinijibu kuwa nilipoteza fahamu kimkakati na kwamba nitulie niachane na stori ile kwani tunakazi ngumu ya kufanya mbele yetu.

Tuliyapita majaruba tukaelekea kule kulipokuwa na bustani kubwa ya migomba, ndizi mbivu zilikuwa nyingi kwenye mikungu, tulikula mpaka tukatosheka.

Babu: Unauona ule mti?
Mimi: nauona babu, unanini kwani?
Babu: huu mti, ni dawa nzuri mno kwa mwanaume, ebu chimba mizizi yake nikuoneshe.
Ona nime blink mara moja tu nishamaliza hapa kote
 
Nakupa masaa 72 uwe umeweka kisa kingine. Familia , familia... Kwani nani hana familia? Acha hizo habari. Wananchi wanataka uwape kisa kingine nakushauri ufanye hivyo NISIJE NIKAFANYA KAMA AMBAVYO NLIWAHI MFANYIA MEMBER MMOJA HUMU NDANI.
🤓🤓🤓🤓
 
188
Nilichimba mizizi ya mti ule kisha nikaanza kuitafuna kama babu alivyonielekeza, baadae tulienda kwenye lambo ambapo kama kawaida tuliwatoa samaki waliokuwa wamenasa.

Tofauti na siku zingine, leo tuliwapeleka wote nyumbani.

Jioni niliekea uwanjani ili nikafanye mazoezi, niwakuta wachezaji wapo siriazi kwelikweli, jasho linawatoka vibaya kwa mazoezi makali kwani kulikuwa na mechi ya kuwania ng'ombe dhidi ya timu ya kijiji jirani ambacho walikuwa na upinzani wa nguvu sana.

Niliungana nao baada yakuwa nimezunguka uwanja mara 5 kama walivyonitaka wasimamizi wa timu.

Muda wa kugawa timu ulifika na wasimamizi waligawa timu mbili tatu, mbili zikianza kucheza na ambao wangekuwa wa kwanza kuruhusu goli wangetoka na timu ya tatu ambayo itakiwa kusubiri nje ingeingia, mimi nilipangwa timu ya tatu.

Mpira wa kasi na nguvu ulipigwa huku wakishambuliana kwa zamu, kili mchezaji alipania kwelikweli, mpaka mida ya saa 12 hakukuwa na timu iliyoruhusu goli, timu ya tatu hatukufanikiwa kucheza, niliumia sana moyoni.
 
Oya mimi ni Msukuma mwenzio tena wa Miti mirefu, Geita kabisa ila unafanya tuonekane wasukuma wote ni mandezi.

Story yako ni kama inazunguka palelale haiendi mahali embu tandika kitu ndefu tunapoenda lunch tu tuisome vizuri
Hahahah kumbe wa miti mirefu tupo wengi
 
189
Baada ya mawaidha tuliondoka huku viongozi wakitutaka kesho kuwahi zoezi kwani ushindi dhidi ya wapinzani wetu ulikuwa muhimu, yaani ilikuwa lazima tushinde na tumchukue yule ng'ombe ambae angechinjwa siku ya krismas.

Pole dogo, leo hujapata nafasi ya kucheza, nafikiri ni kwasababu hujaonekana hapa muda mrefu, nilipata taarifa ya wewe kuumwa na nilifika mpaka hapo nyumbani kwenu kukujulia hali, babu yako alinambia upo vizuri tu wala hakuna tatizo kubwa hivyo sikurudi tena baada ya siku ile, alijeleza juma captain.

Nikweli niliugua ghafla ila nilitibiwa nasasa nipo vizuri kabisa, nilimwambia juma huku ile stori ya kuugua kwangu nikiwa sipendi tuizungumzie sana.
Basi jitahidi kesho uwahi, nitahakikisha unacheza, si umeona mpaka tumetoka uwanjani hakuna goli? Alisema juma na kuongeza, jana pia hakukuwa na goli mpaka tunamaliza zoezi, juzi lilifungwa goli moja tu tena kwa penalt, yaani hatuna watengeneza magoli kabisa, aliniambia juma.

Nilifika nyumbani nikaoga kisha tukala, nilisubiri muda ufike niende.
 
Back
Top Bottom