True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Oya mimi ni Msukuma mwenzio tena wa Miti mirefu, Geita kabisa ila unafanya tuonekane wasukuma wote ni mandezi.

Story yako ni kama inazunguka palelale haiendi mahali embu tandika kitu ndefu tunapoenda lunch tu tuisome vizuri
unatumia nguvu nyingi sana kutaka kutuaminisha wewe sio ndezi
 
Katika story za hovyo na kijinga kupita zote humu ndani ni hii aisee
Mwandishi kama kuna MTU amewahi kukwambia wewe ni mwandishi mzuri na utakuja kutoboa amekudanganya aisee hebu kafanye kazi zingine hizi za kuandika story wachie wakina CK Allan singanojr Analyse Jack Daniel na Kidogo UMUGHAKA wewe hapana huwezi na hujui kabisa usipoteze MDA Kwa kazi usiyoiweza
 
Katika story za hovyo na kijinga kupita zote humu ndani ni hii aisee
Mwandishi kama kuna MTU amewahi kukwambia wewe ni mwandishi mzuri na utakuja kutoboa amekudanganya aisee hebu kafanye kazi zingine hizi za kuandika story wachie wakina CK Allan singanojr Analyse Jack Daniel na Kidogo UMUGHAKA wewe hapana huwezi na hujui kabisa usipoteze MDA Kwa kazi usiyoiweza
Wewe unaweza kazi Gani mkuu?
 
Back
Top Bottom