True story: Jinsi nilivyopambana kutafuta mali za Mjerumani mkoani Morogoro, mauzauza na vimbwanga nilivyokutana navyo

Hizi stori zipo sana Morogoro aisee miaka na miaka sijui huwa ni chai na ngano sijui kweli!??...
 
nikasema liwalo na liwe, si nikaanza kuyanywa bwana,
yalikuwa na chumvi chumvi kweli ila nilikomaa kibishi.
aisee kushituka, kumbe nilikuwa ndotoni nakunywa mkojo wa mtoto ambaye alikuwa kalala karibu na mimi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…