Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabado unakomaa, kijana hiyo nguvu ukiwekeza kwenye utafutaji utafika mbali sana.Ingekuwa miamala yote naituma kwa cm ungeona screen shot,,, tatizo miamala mwingine natuma kwa wakala moja kwa moja kuepuka Makati makubwa,
tangu mwez wa 5 adi leo amekula Kama 300K au 400K yangu
Wapo kibao kina Kelsea 😅Level yake
Kaka kwa ishu ya kupenda nikianza kuandika hapa sitomaliza, kwenye mapenz huwezi kuwa mshauri mzuri kama hayajakufika.Sema labda we hujawahi kupenda ile ile,, Yani unampenda mtu mpaka unawaza
Nilikuwa napambania nafasi, hatujawahi kuwa na mahusiano japo alikuwa akionesha daliliDah! Vitu vingine jamani! Looks huna hata 20 years. Utamuintroduce sasa iweje!
Wengi wao husoma mazingila. Kama unaeleweka,atakuwa karibu. Kama hueleweki, ndo hivo.
Sasa, hapa inaonekana ndo unamtongoza. Hata hujapewa chochote. Hayo mahusiano yalikuwa serious kivipi?
Ok,kumbe. Pole sana.Nilikuwa napambania nafasi, hatujawahi kuwa na mahusiano japo alikuwa akionesha dalili
Jichomoe fyuzi tu. Jioni jioni au usiku,weka mtega,maliza kesi. Fidia laki zakoNinamtongoza anzia may 5 2023 adi leo 2024 mwez wa 3, nimeishiwa data kichwani adi unaona naandika hivo
Hiyo ni kweli... Kuna binti ananipenda mpaka anatishia kujiuwa lkn simuelew huez aminOk,kumbe. Pole sana.
Sasa,elewa kwamba hata litoto la kike la 13 years! Unarohisi halijitambui,neno nakupenda,nikubalie,na mengine mengi,hataki hata kuyasikia.
Sasa,huyo hata hujui kama atakubali au atakataa,unamwambia utamuintroduce. Hapo ndo ulihalibu mazima.
We mpe hela uone kama gueto hatajileta mwenyewe.
Na kukuzimia simu,ni jibu tosha kwa ombi lako. We kubali matokeo. Bahati mbaya ukute kuna anaekuelewa,anakutaka,na wewe ndo kabisaaaa,hutaki hata kusikia jina lake
Na yeye alipo,anasema hivyo hivyo. Kwamba kuna bwege anadai ananipenda,namshit lakini hanielewi.Hiyo ni kweli... Kuna binti ananipenda mpaka anatishia kujiuwa lkn simuelew huez amin
Pole Kaka, una muda gani tangu umeowaG....Dah, umenikumbusha Georgina wangu! Ingawa nishaoa lakini hua namkumbuka sana G wangu, alinifundisha mambo mengi sana enzi zile, sijui kwa sasa yuko wapi ingawa najua ni Advocate kwa sasa,.. nimekumbuka sana enzi za MPS..
Subiri upendwe sio ulazimishe mtuKuforce kupo tunatakiwa kupambania nafasi
Shikamoo mama P