True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
 
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
Kwa hiyo ndugu wamegegeduana 🤣🤣🤣🤣
Duh sasa hapo naona jamaa ndio atakuwa anataka mbususu ya ndugu yake even more
 
Back
Top Bottom