True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

Mtoto wa shangazi au mjomba wanaoana vizuri tu na hata kisheria gaina shida.
Huo ni undugu wa mbali,angekuwa dada wa Mama mdogo au Mama mkubwa ndio kidogo utaina soo.
Mkuu Ungekua mzaz ungemshauri hivi?
 
Ndugu jinsia mbili tofauti kama hamjuani mkikutana lazima mpendane.

Nyie mtadhani ni upendo wa mapenzi kumbe ni ile damu ya undugu inafanya kazi.
Kama uzi flan wa mwana kamla dadake na mimba kamjaza sema kaususa uzi wake
 
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
Sasa mtoto wa shangazi si ni binamu!?? Binamu anashida Gani kuolewa nae au kuoa!?.
 
Hio itakua sii kweli
Mwamba anasema walikua na house girl sasa akawana mimba kumbe ya mshua ake mamake akamfukuza wao wakijua kakimbia sasa pita pita za kusoma nk wakakutania udsm noma huko
 
Sasa mtoto wa shangazi si ni binamu!?? Binamu anashida Gani kuolewa nae au kuoa!?.
Kwao anasema hairuhusiwi mkuu
Mimi pia nashangaa kuskia hii kitu, sijawah kushuhudia popoto binamu wakioana
 
Kwao anasema hairuhusiwi mkuu
Mimi pia nashangaa kuskia hii kitu, sijawah kushuhudia popoto binamu wakioana
Mmhh!! Mbona wanaoana sana tu na Wala Haina shida, ulizia kwenu kwa wazee watakwambia.
 
Mmhh!! Mbona wanaoana sana tu na Wala Haina shida, ulizia kwenu kwa wazee watakwambia.
Kwa mimi binamu zangu naishi nao km ndg zangu, tuna mipaka na heshima ya kutosha.
Ntaexperience kwa majirani ikitokea
 
Kwa mimi binamu zangu naishi nao km ndg zangu, tuna mipaka na heshima ya kutosha.
Ntaexperience kwa majirani ikitokea
Basi kwa baadhi ya makabila na dini binamu unaoa.
 
Walish@tomb@n@ wacha waendelee na kazi Yao nzuri ya kupeana utamu.
 
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
Dada yako anajifanya Mwarab ama Muhindi kutombana na kaka yake binamu, yaani amekosa wanaume au?
 
Zipo familia hawajuani zaidi ya kusikia shangazi yupo ntwara, au dodoma ni vizuri ndugu mkijuana
 
Uchagani ni mwiko sana kuoana binamu,ilinikuta hii
 
Kuna haja ya kuweka utaratibu wa ndugu kukutana walau kila mwaka,.......nina visa vibaya zaidi kutoka pande zote mbili yani baba na mama,...
 
Back
Top Bottom