True story; Madem wa UDSM ndani ya Malawi kusaka limbwata

Nimewahi kufanyia kazi Ileje na Tunduma kama mwaka mmoja hivi, kwa kweli hapa sikupingi unachokiandika ni ukweli mtupu.
Kuna utajiri wa vidonda hasa miguuni, kutoa uzazi, kila ukioa mke anafariki, sadaka ya vidole (miguu au mikono), kufa hadi kutoa funza kwa siku fulani (inategemea na ndago yako), kufuga paka/mbwa, kutoa kafara wazazi/ndugu zako n.k. mikoa kama Sumbawanga, Songwe, Mbeya, Njombe na Iringa utakutana na watu wengi wa aina hiyo..
 
Duh! Aisee.
 
Nimeishia hapo mpo Malawi ndani ndani eti unashangaa watu hawajui kiswahili.!!
 
Wewe mchawi story uimalize hii usitukalishe [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu huko mlikoenda ni misuku
 
sikupingi nakubaliana na wewe ndugu
 
Hivi ukiamuwa kushare story kwa nini usiandike yote halafu ndio upost humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…