TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Yani kupiga story tu ukasinsia? Hebu tulia umalizie pepa hizo.

Form 4 bhana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikusubiri kwa hamu mkuu uje kuwatetea hapa maana kati ya watu walioifaidi jf we ni namba moja mkuu
Hapana bana,nasema tu ukweli.Ni wadada wazuri tuu,hawana tatizo kabisa wasisingiziwe kabisa .Vp bdo uko kule?
 
Kufanya kosa sio kosa, bali kurudia kosa,
so nimejifunza
 

Hapo kuna kitu unaficha mkuu hii siyo story yote.
 
We jamaa una roho ngumu sana...yaani demu umemtoa mtandaoni unapata wapi ushujaa wa kumpeleka kwako unapoishi?
Ulipaswa kujiongeza kifikra aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…