Trump aiambia Russia ichague mazungumzo na Ukraine au vikwazo zaidi hadi ifilisike kabisa

Trump aiambia Russia ichague mazungumzo na Ukraine au vikwazo zaidi hadi ifilisike kabisa

Umesema vikwanzo vimedunda iran na north korea? Rudi kasome tena, huna idea nini inasema

Rais mpya wa iran alipoingia madarakani moja ya sera zake ni kuongoea na mataifa ya ulaya kulege,a vikwazo. Uchumi wao hauleweki sababu ya vikwazo

North korea ndio kabisa, is why bado wako nyuma sana kiuchumi, vikwazo

Shukuru Mungu uko bongo land hamna kitu kama hiko
Iran sasahivi ndio mbabe mashariki ya kati, na anaendelea kutisha mno.

Wakati vita ya Russia na ukraine zinaanza media za magharibi zilituaminisha Russia hawezi kutoboa miezi mitatu kwa vikwazo vilivyowekwa. Leo ni maka mingapi?
 
Iran sasahivi ndio mbabe mashariki ya kati, na anaendelea kutisha mno.

Wakati vita ya Russia na ukraine zinaanza media za magharibi zilituaminisha Russia hawezi kutoboa miezi mitatu kwa vikwazo vilivyowekwa. Leo ni maka mingapi?
kuanguka kwa syria ni pigo kwake. Toka syria ianguke kuna jambo kafanya? Hana ubabe wowote na ushawishi unashuka kwa kasi sana, kqa sasa ajipange kiuchumi zaidi
 
Back
Top Bottom