Trump aiambia Russia ichague mazungumzo na Ukraine au vikwazo zaidi hadi ifilisike kabisa

Iran sasahivi ndio mbabe mashariki ya kati, na anaendelea kutisha mno.

Wakati vita ya Russia na ukraine zinaanza media za magharibi zilituaminisha Russia hawezi kutoboa miezi mitatu kwa vikwazo vilivyowekwa. Leo ni maka mingapi?
 
Iran sasahivi ndio mbabe mashariki ya kati, na anaendelea kutisha mno.

Wakati vita ya Russia na ukraine zinaanza media za magharibi zilituaminisha Russia hawezi kutoboa miezi mitatu kwa vikwazo vilivyowekwa. Leo ni maka mingapi?
kuanguka kwa syria ni pigo kwake. Toka syria ianguke kuna jambo kafanya? Hana ubabe wowote na ushawishi unashuka kwa kasi sana, kqa sasa ajipange kiuchumi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…