Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita Gaza na kuwambia Israel hamuwezi kuwamaliza Hamas, tuwarudishe mateka nyumbani

Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita Gaza na kuwambia Israel hamuwezi kuwamaliza Hamas, tuwarudishe mateka nyumbani

⚡️🇺🇸🇮🇱IYamit Malul Yanai kutoka Chuo Kikuu cha Tel Aviv aliambia kituo cha i24:

Trump, ambaye alitarajiwa kutenda kwa nguvu na ujasiri kama simba, alionekana kama paka wa nyumbani.

Angeweza kufanya kazi kwa njia fulani kuhakikisha kuachiliwa kwa kila mtu, lakini alivunja ahadi yake ambayo alitangaza kuwa angeleta kuzimu huko Gaza.

Teh teh teh Trump muhuni sana😂

Hivi Hamas na Hezbollah bado wapo? Nawasikia wale wa Yemen tu.

Hawa wengine wamekuwa key board warriors kama kina sisi huku Tanzania
 
Hivi Hamas na Hezbollah bado wapo? Nawasikia wale wa Yemen tu.

Hawa wengine wamekuwa key board warriors kama kina sisi huku Tanzania
Kama Hamas hawapo,Israel anaingia makubaliano ya kusitisha vita na kina nani?

Kama Hizbullah hawapo,Israel Aliingia makubaliano ya kusitisha vita Lebanon na kina nani?
 
⚡️🇺🇸🇮🇱IYamit Malul Yanai kutoka Chuo Kikuu cha Tel Aviv aliambia kituo cha i24:

Trump, ambaye alitarajiwa kutenda kwa nguvu na ujasiri kama simba, alionekana kama paka wa nyumbani.

Angeweza kufanya kazi kwa njia fulani kuhakikisha kuachiliwa kwa kila mtu, lakini alivunja ahadi yake ambayo alitangaza kuwa angeleta kuzimu huko Gaza.

Teh teh teh Trump muhuni sana😂
Trump ni rogi sana afu ana invest nchi za kiarabu kuliko Israel.
 
🇵🇸 30 PALESTINIANS FREED for every 1 Israeli hostage freed.

🇵🇸 ~2,000 PALESTINIANS WILL BE FREED!

🇵🇸 250 of them are serving life sentences in ISRAELI TORTURE PRISONS
 
Jamaa huwa una tuhadithi murua sana.Lete ingine maalim!😂😂😂😂🙏
⚡️⭕️ Trump alihusika katika shinikizo kwa Netanyahu

Lakini haya yote yasingetokea kama maafisa wa usalama na kijeshi wa Marekani wangemwambia Trump kwamba kuna uwezekano wa kijeshi kuiondoa Hamas.

Trump alichukua uamuzi wa kusitisha vita kwa kuzingatia tathmini kwamba Hamas haijashindwa na kwamba kuendelea kwa vita katika hatua hii kunaharibu zaidi sifa ya Marekani, na hii ni pamoja na kushindwa kwa mwaka 1 kwa Jeshi la Wanamaji la Marekani kulinda Bahari Nyekundu.

Vita vilikwisha rasmi pale Israel ilipotia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon 🇱🇧
 
⚡️ Zionist military expert:

The prisoner deal will strengthen #Hamas's power in the West Bank, which may witness a major escalation
 
Hamas wanaume wa shoka watanza kuachia hawa mateka 33.

Sabato njema

Romi Gonen, 23
Emily Damari, 27
Arbel Yehud, 29
Doron Steinbrecher, 31
Ariel Bibas, 5
Kfir Bibas, 2
Shiri Silberman Bibas, 33
Liri Albag, 19
Karina Ariev, 20
Agam Berger, 21
Danielle Gilboa, 20
Naama Levy, 20
Ohad Ben-Ami, 58
Gadi Moshe Moses, 80
Keith Siegel, 65
Ofer Calderon, 54
Eli Sharabi, 52
Itzik Elgarat, 70
Shlomo Mansour, 86
Ohad Yahalomi, 50
Oded Lifshitz, 84
Tsahi Idan, 50
Hisham al-Sayed, 36
Yarden Bibas, 35
Sagui Dekel-Chen, 36
Yair Horn, 46
Omer Wenkert, 23
Sasha Trufanov, 28
Eliya Cohen, 27
Or Levy, 34
Avera Mengistu, 38
Tal Shoham, 39
Omer Shem-Tov, 22

Utajiuliza wamekaa nao miazi 15 bila Israel, na Marekani pomoja na Ulaya wote hawa walikuwa hawajui wapo wapi kuna mapunguani humu JF yalikuwa yanasema wameishakufa siku nyingi.
 
Mkianza hayo maneno mnaonesha mlivyo wapuuzi.Halafu huyo mwingine nimemblock.Analazimisha kukomenti kwangu?Bloody terrorists ninyi.Kufa kijinga ni haki yenu ya msingi.
Wewe poyoyo hujawahi kucomment cha maana humu,sijaona mchango wowote uliouweka hapa,

Naona tu unaruka ruka hovyo kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
 
Vyombo vya habari vya adui: Israel itawaachilia wafungwa 95 wa Kipalestina badala ya wafungwa 3 wa Israeli Jumapili ijayo.
 
Kwa kweli alisema, "Kuzimu kutafunguka katika Mashariki ya Kati." Hakutaja Gaza. Trump pekee ndiye anajua alichomaanisha kweli. Labda alikuwa anapendekeza kwamba angefanya jambo fulani kwa Netanyahu na Israël kwa vile wako mashariki ya kati pia.
😂
Alitaja Hamas.wazi na akawalaumu kwa tukio lao la kigaidi la 7 October kuwa ndiyo chanzo cha matatizo yote hayo.

Wee maamuma unapenda kupindisha ukweli wa mambo.

Badala ya kuweka clip za mhusika mwenyewe Trump unakuja na tweets za propaganda.

Msikie Trump hapa...
👇

View: https://youtube.com/shorts/NoP1jnLoY6k?si=ST_cb9FrQl7x5FeN
 
Back
Top Bottom