Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita Gaza na kuwambia Israel hamuwezi kuwamaliza Hamas, tuwarudishe mateka nyumbani

Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita Gaza na kuwambia Israel hamuwezi kuwamaliza Hamas, tuwarudishe mateka nyumbani

Wanaukumbi.

⚡️🇺🇸🇮🇱JUST IN: Journalist Lior Kordner said in a podcast for Haaretz newspaper:

Trump intervened forcefully to end the war, and all the right-wing supporters were living in a dream world about his return. They were saying that as soon as Trump came back, the entire population of Gaza would be displaced, Hamas would kneel, and we would unleash hell on them.

But what actually happened was that hell was unleashed on us. Trump, with complete coldness, sent his envoy, Whitcoff, who acted like a landlord whose rent hadn’t been paid and came to collect his money. He called Netanyahu on Friday evening and informed him that he would arrive the next day at 10 a.m. Netanyahu tried to explain that it was Saturday and that he couldn’t meet anyone, but Whitcoff arrogantly and rudely replied that Netanyahu had to be there and that the issue of Saturday didn’t concern him.

What followed was unprecedented. Netanyahu came to his office on Saturday at 10 a.m., something that had never happened before. All Whitcoff said at the time was: “Trump wants the deal.” And that was the end of it.

Credit: @tamerqdh
===============
⚡️🇺🇸🇮🇱 Mwanahabari Lior Kordner alisema katika podikasti ya gazeti la Haaretz:

Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita, na wafuasi wote wa mrengo wa kulia walikuwa wakiishi katika ulimwengu wa ndoto kuhusu kurudi kwake. Walikuwa wakisema kwamba mara tu Trump atakaporudi, wakazi wote wa Gaza watahamishwa, Hamas watapiga magoti, na tutawaangushia jehanamu.

Lakini kilichotokea ni kwamba kuzimu iliachiliwa juu yetu. Trump, akiwa na baridi kali, alimtuma mjumbe wake, Whitcoff, ambaye alijifanya kama mwenye nyumba ambaye kodi yake haikulipwa na akaja kuchukua pesa zake. Alimpigia simu Netanyahu siku ya Ijumaa jioni na kumfahamisha kwamba angefika kesho yake saa 10 alfajiri. Netanyahu alijaribu kueleza kuwa ilikuwa Jumamosi na kwamba hawezi kukutana na mtu yeyote, lakini Whitcoff kwa kiburi na jeuri alijibu kwamba Netanyahu lazima awepo na kwamba. suala la Jumamosi halikumhusu.

Kilichofuata kilikuwa kisicho na kifani. Netanyahu alifika ofisini kwake Jumamosi saa 10 alfajiri, jambo ambalo halikuwahi kutokea. Yote Whitcoff alisema wakati huo ni: "Trump anataka mpango huo." Na huo ndio ukawa mwisho wake. hawa viongozi wa Israel walizoe kudekezwa kama Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben-Gvir ametangaza katika mkutano na waandishi wa habari kujiuzulu kutoka kwa serikali ya Netanyahu kufuatia kupitishwa kwake kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza. Kaambia wewe jiuzulu sisi tunataka Mateka warudi hamuezi kupamgana na Hamas mnapewa silaha mnaenda kuuwa watoto na wanawake.

Credit: @tamerqdh


View: https://x.com/suppressednws/status/1879941172623286574?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

halafu kuna wapuuzi kutoka mwanarumango wanakwambia Rais wa Marekani ndiye rais wa dunia, ndio maana Trump kamaliza vita haraka. Sasa Biden mbona alishindwa? au yeye alikuwa raisi wa Djibouti???
 
Jamaa huwa una tuhadithi murua sana.Lete ingine maalim!😂😂😂😂🙏
Nyengine utapigiwa na mchungaji jumapili hiii ww mwandalie Sadaka yake tu utaimbiwa nyimbi pedwa kwako waisrael awashindiki waisrael wanaweza piga Dunia Dunia yote ipo mikononi mwa Israel simu zote zao Computer zao pesa zao na mengine muimu tu usisau kubeba Sadaka yko Kama mchungaji anakufuraisha vip asipate maji yakunywa!!!!
 
Po
Wewe ni kajinga fulani unayejifurahisha kwa nyuzi za kipuuzi na nukuu ndefundefu wakati wajinga wenzako wanakufa kama mbuzimawe.Msalimie Nasralah bogus!
Poleeee umechafukwa kujua Israel kumbe mdebwedo tu kwa Hamas kufa raia wengi sio kushinda vita Vietnam raia milion3 walikufa lkn bado walishinda vita kufa wapalestina 46000 akuondoshi ushindi wa HAMAS NA wapalestina waisrael wangapi wamekufa Netanyahu akisema aongei na Magaid sasa kipo wapi kaumbuka tangu mwanzo Hamas wakimwambia sisi atutaki vita sisi tunataka tu wafungwa wetu waliojela zenu muwaachie nasisi tuwapa mateka wenu wote Netanyahu akachagua Vita IDF wamekufa wengi uchumi umesinyaaa maduka mengi mijin yamefungwa watu wamekimbia leo Netanyahu anatafutwa na ICC sasa ndio kaelewa soma la Hamas achia wafungwa wangu nmm naachia wafungwa wako wapalestina wanaoshikiliwa uko Israel awana kosa lolote ni sawa tu tukiwaita mateka kama awa waisrael
 
Hivi Hamas na Hezbollah bado wapo? Nawasikia wale wa Yemen tu.

Hawa wengine wamekuwa key board warriors kama kina sisi huku Tanzania
Muulize Netanyahu kwanini alifunga mkataba na hezbollah ndiomana sasa wamenyuti Hamas ndio ao Netanyahu katema Bungo uko uku ICC wanamtafuta!!
 
halafu kuna wapuuzi kutoka mwanarumango wanakwambia Rais wa Marekani ndiye rais wa dunia, ndio maana Trump kamaliza vita haraka. Sasa Biden mbona alishindwa? au yeye alikuwa raisi wa Djibouti???
Tramp ndio keshokutwa ndio anaapishwa kuwa rais wa marekani ivo yeye lazima kabla Israel ajasitisha vita aseme mtazamo wake sasa nayeye kaafiki uwo upango wa mtangulizi wake ivyo Netanyahu awezi tena kudandia tawi lengine zaid ya kula matapishi yake kwa asala kubwa kawaingiza kwenye vita ambavo awakushinda zaid ya kupoteza vijana wengi vitani kupata ulemavu wa kudumu uchumi umesinyaa biashara zawatu wengi zimekufa mwisho ndio ivo kafata yaleyale Hamas walitaka kabla ya hii vita!!!! Aibu kubwa kwa Israel ICC inawasaka daaaaa wachungaji jumamosi hii na jumapili watuombee tu yanga na simba tushinde match zetu waachane na Israel!!!!!!
 
Wanaukumbi.

⚡️🇺🇸🇮🇱JUST IN: Journalist Lior Kordner said in a podcast for Haaretz newspaper:

Trump intervened forcefully to end the war, and all the right-wing supporters were living in a dream world about his return. They were saying that as soon as Trump came back, the entire population of Gaza would be displaced, Hamas would kneel, and we would unleash hell on them.

But what actually happened was that hell was unleashed on us. Trump, with complete coldness, sent his envoy, Whitcoff, who acted like a landlord whose rent hadn’t been paid and came to collect his money. He called Netanyahu on Friday evening and informed him that he would arrive the next day at 10 a.m. Netanyahu tried to explain that it was Saturday and that he couldn’t meet anyone, but Whitcoff arrogantly and rudely replied that Netanyahu had to be there and that the issue of Saturday didn’t concern him.

What followed was unprecedented. Netanyahu came to his office on Saturday at 10 a.m., something that had never happened before. All Whitcoff said at the time was: “Trump wants the deal.” And that was the end of it.

Credit: @tamerqdh
===============
⚡️🇺🇸🇮🇱 Mwanahabari Lior Kordner alisema katika podikasti ya gazeti la Haaretz:

Trump aliingilia kati kwa nguvu ili kumaliza vita, na wafuasi wote wa mrengo wa kulia walikuwa wakiishi katika ulimwengu wa ndoto kuhusu kurudi kwake. Walikuwa wakisema kwamba mara tu Trump atakaporudi, wakazi wote wa Gaza watahamishwa, Hamas watapiga magoti, na tutawaangushia jehanamu.

Lakini kilichotokea ni kwamba kuzimu iliachiliwa juu yetu. Trump, akiwa na baridi kali, alimtuma mjumbe wake, Whitcoff, ambaye alijifanya kama mwenye nyumba ambaye kodi yake haikulipwa na akaja kuchukua pesa zake. Alimpigia simu Netanyahu siku ya Ijumaa jioni na kumfahamisha kwamba angefika kesho yake saa 10 alfajiri. Netanyahu alijaribu kueleza kuwa ilikuwa Jumamosi na kwamba hawezi kukutana na mtu yeyote, lakini Whitcoff kwa kiburi na jeuri alijibu kwamba Netanyahu lazima awepo na kwamba. suala la Jumamosi halikumhusu.

Kilichofuata kilikuwa kisicho na kifani. Netanyahu alifika ofisini kwake Jumamosi saa 10 alfajiri, jambo ambalo halikuwahi kutokea. Yote Whitcoff alisema wakati huo ni: "Trump anataka mpango huo." Na huo ndio ukawa mwisho wake. hawa viongozi wa Israel walizoe kudekezwa kama Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben-Gvir ametangaza katika mkutano na waandishi wa habari kujiuzulu kutoka kwa serikali ya Netanyahu kufuatia kupitishwa kwake kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza. Kaambia wewe jiuzulu sisi tunataka Mateka warudi hamuezi kupamgana na Hamas mnapewa silaha mnaenda kuuwa watoto na wanawake.

Credit: @tamerqdh


View: https://x.com/suppressednws/status/1879941172623286574?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Bora cease fire.
 
halafu kuna wapuuzi kutoka mwanarumango wanakwambia Rais wa Marekani ndiye rais wa dunia, ndio maana Trump kamaliza vita haraka. Sasa Biden mbona alishindwa? au yeye alikuwa raisi wa Djibouti???
Tramp ndio keshokutwa ndio anaapishwa kuwa rais wa marekani ivo yeye lazima kabla Israel ajasitisha vita aseme mtazamo wake sasa nayeye kaafiki uwo upango wa mtangulizi wake ivyo Netanyahu awezi tena kudandia tawi lengine zaid ya kula matapishi yake kwa asala kubwa kawaingiza kwenye vita ambavo awakushinda zaid ya kupoteza vijana wengi vitani kupata ulemavu wa kudumu uchumi umesinyaa biashara zawatu wengi zimekufa mwisho ndio ivo kafata yaleyale Hamas walitaka kabla ya hii vita!!!! Aibu kubwa kwa Israel ICC inawasaka daaaaa wachungaji jumamosi hii na jumapili watuombee tu yanga na simba tushinde match zetu waachane na Israel!!!!!!

Uyu ITAMAR kiongozi kama uyu wamchague awe PM waone watavyolimia meno pamoja Palestina na wao waisrael uyu alitakiwa awe kiongozi wa Dini lkn sio mwanasiasa tatizo ktk uchaguzi Netanyahu alibanwa kende sana ikabidi atafute washilika ilo aunde serikali sasa kajizolea tu vyama vidogo.
 
🇾🇪 Update: Massive explosions reported in Jerusalem, West Bank settlements, Tel Aviv, Ramla, and Lod following the launch of Yemeni missiles.

🔹@enemywatch
 
Hivi kumbe na Hamas walikuwa bado wana nguvu hadi makubariano yamefikiwa,hii vita imetuonyesha ubora na udhaifu wa Israel, kuanzia Leo sitasimulia tena story ya Israel kuzipiga nchi za kiarabu kwa siku sita kumbe aliefanya hivyo ni US kwa jina la ISRAEL
 
😂 😂 😂 Ila kobaz wajinga sana aisee!..

Yani kupigika kote kule kwa hamas na Gaza ila mtu bado anaona Israel kaishiwa?
 
Back
Top Bottom