Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Nuclear na hypesonic missile ndio zinampa jeuri.
Wanacho muogopa Putini wanajua ni mwehu kwamba anaouwezo wa kutumia hizo silaha kama akizidiwa kidogo ndio maana wanamuogopa.

Kingine ni silaha za kutungulia ndege hayo ma s-400 nk.

Kimsingi amejipanga kikamilifu.

Kibabu Bide sio kijinga,kinajua vita ikianza haitakuwa kama zamani sababu moto utawaka mbaka newyork.

Mkuu hypersonic hazitunguliki na kitu chochote ndio mana ukiingia vitani na nchi yenye hypersonic ujue huna namna ya kuzizuia hizo silaha,zisi kutwange.

Sasa babu akiangalia magotofa ya newyork jinsi yanavyo pendeza alafu anajua kabisa akijichanganya yanashushwa jumlisha uzee ndio presha inapanda anaona atakufa bure hahahahaaa.
Mkuu kwani kipindi cha Boris Yeltsin Urusi haikuwa na silaha za kinyuklia ???
Lakini mbona CIA na MI6 waliichezea sana Urusi,....!
 
Mko hapa mnashabiki ujinga eti Russia ina akili!!!💩
Mnajua kwamba trump angetaka pia wamerika weusi wafukuzwe,ni racist kabisa na ndio maana ni rafiki wake Putin,sababu Russia is a no blackmans land!😬😬😬😬
Trump republicans wanatuitaga Clowns,and illegal immigrants!
 
Sio kila kitu lazima ujibu, vingine wajipa muda wa kutafakari

Sikukujibu kwa kuwa niliona ulichokoti (ulichoulizwa) na maelezo uliyoleta havina uhusiano.

Btw: hapa huyu rais G.W. Bush wa US ktk mahojiano amsifia Putin, naye alikuwa akifanya siasa gani?

Nimesema kuwa, marais kusifiana ni kawaida. Putin ameshawahi kuwasifia marais wa Marekani mara kadhaa, hakuna cha ajabu hapo!

Suala la kuzichunguza hizo sifa zinatolewa kwa madhumuni gani, ni mjadala mwingine!
 
Jen Psaki ni afisa mwandamizi ktk serikali ya sasa ya Marekani, akihudumu ndani ya White House . Anajua siasa za Marekani kuliko Mmatumbi yeyote hapa JF. Yeye (Jen Psaki) kamuelewa Trump kama wengine walivyomuelewa, kuwa anamsifia Putin kwa hatua alizochukua dhidi ya Ukraine. Na kwa sababu hiyo kaamua kumshambulia Trump kwa kumsifia Putin.

Wewe Mmarekani mmatumbi endelea kudai ni mwerevu mno wa siasa za Marekani kuliko viongozi wenyewe wa serikali ya Marekani wanavyoijua siasa ya nchi yao.

Psaki amemshambulia Trump kwa sababu ya jambo ama tukio lililosifiwa. Sio kwa sababu Trump amemsifia Putin. Sidhani kama unaelewa ninachosema! Suala ama jambo lililosifiwa na Trump, kwa maoni ya Psaki, ni la kipuuzi. Suala linalosemwa hapo ni hiyo "invasion plan".

Hiyo taarifa inasema: "She also said it was up to Republicans to ensure the issue doesn't become more politicized".

Nilisema awali kuwa hili suala limefanywa na Trump kisiasa kwa maslahi yake dhidi ya mpinzani wake wa kisiasa, Biden. Jen Psaki ameonesha hapo kuwa suala hilo limekuwa la kisiasa na linaweza kuchochea migawanyiko kuhusu suala la kui-support Ukraine, na amewaachia Republicans washughulike nalo. Yeye anaamini approach ya Biden dhidi ya Urusi ni sahihi kuliko ambavyo Trump alifanya akiwa madarakani. Siasa tupu hizo!

Kusifiana kwa viongozi ni suala la kawaida na ndiyo hoja yangu ya msingi. Ila jambo lililosifiwa na Trump, kwa maoni ya wanaomshambulia, wanaona ni jambo lisilostahili kusifiwa.

Trump angemsifia Putin kwa sababu zingine ama katika masuala mengine, reaction dhidi yake kutoka kwa watu kama Jen Psaki ingekuwa tofauti.
 
Liz Cheney ni mmarekani OG, mwanachama wa Republican (chama cha Trump) na mwakilishi ktk bunge la marekani toka mwaka 2017.

Yeye kaelewa kuwa Trump kamsifia Putin kwa hatua ya kuingia Ukraine, ameona si jambo la kawaida hata kidogo (pamoja na kuwa wapo chama kimoja) na hivyo kamshambulia Trump kwa kauli hiyo.

Je, Mmarekani huyo OG, tena mwanachama wa Republican party, naye ni mshamba (kwa kutoona sifa hizo za Trump kwa Putin sio jambo la kawaida)? ila wewe Mmarekani wa Buza ndio mwerevu wa kuona hilo ni jambo dogoo?


Wewe umeelewa kwamba Trump anashambuliwa kwa sababu tu ya kumsifia Putin. Hapana!

Kinachofanya Trump ashambuliwe ni jambo ambalo Trump amelisifia (uvamizi wa Ukraine). Wanaomshambulia wanadai kuwa jambo hilo halina maslahi kwa taifa. Issue sio kusifia, maana hilo ni suala la kawaida miaka yote katika siasa. Shida ipo katika kile kilichosifiwa!

Liz Cheney anasema: "Trump's interests don't seem to align with the interests of the United States of America".

Ndio maana nilisema awali kwamba, Trump amemsifia Putin kisiasa dhidi ya Biden, kama umefuatilia ile interview. Nyuma ya hizo sifa kuna "interests" zake ambazo kina Liz Cheney wanaona haziko aligned na interests za nchi, hivyo zinaweza kusababisha mgawanyiko katika nchi kisiasa kuhusu suala la Ukraine.

Tatizo sio kusifia mtu. Tatizo ni sababu ama kile kinachosifiwa!
 
Ha ha haa .kwa hiyo siasa za Marekani zinahitaji kozi maalumu kuzifaham.
Aisee .Marekani ni viumbe tofauti na sisi rest of the world
Kila taifa lina siasa zake tofauti na mataifa mengine, ingawa miundo/mifumo ya kiutawala inaweza kufanana. Hilo suala kwamba "Marekani ni viumbe tofauti na rest of the world" ni mjadala mwingine.
 
kwasababu atawauzia UCHINA kwahio hakuna shida MKUU hayo unayoyasema RUSSIA na PUTIN waliishayajua kabla hawaja yafanya yaaani
China wanazalisha ges kw wing, na ikibidi china kushirikiana na russia na yeye maslahi yake kwa marekani yataporomoka ataekewa vikwazo pia
 
Kama muengereza hakuwakusanya ulaya huko walipokua hawatakiwi kutokana na ufisadi wao kupelekea kila nchi kuwakataa basi zingekua zimebaki koba zao tu huko ulaya

Hakuna nchi inayoitwa Israel hata kama viongozi wote wa dunia watie saini[emoji16], ni sawa na kulazimisha ndoa za jinsia moja, Mungu ameahidi kuwapiga laana mpaka dunia itaisha hata Bible yako ya kale imeongea hivyo ndio maana poulo akaiupdate kuwa agano jipya [emoji23], hata Yesu wako wanamkataa ww unawashobokea [emoji1]
Wapalestina kwa Jina jingine wanaitwa wafilisti walikuwa ni adui wa Israel miaka na miaka,Mungu wa wapalestina aliitwa Baali.Jerusalem haijawahi kuwa mji wao.Ukisoma kitabu Cha Wafalme ambacho kilikuwepo kabla hata ya kurani,kinaelezea "Mfalme Daudi Kutawala Israel hiyo ilikuwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita",Mfalme Daudi Alikuwa ametawala Israeli kwa muda wa miaka arubaini; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akiwa Yerusalemu"
1 Wafalme 2:11
Hata Hebron inayoitwa ukingo wa magharibi huko Ramallah ni maeneo ya Israel.
Wapalestina eneo lao ni Gaza Toka enzi na enzi ,ndipo hupo Gaza Samson alipambana na wapalestina na alikotoka Delila.
Daudi na Samson wale walikuwa ni wayahudi na sio wapalestina!
 
Wapalestina kwa Jina jingine wanaitwa wafilisti walikuwa ni adui wa Israel miaka na miaka,Mungu wa wapalestina aliitwa Baali.Jerusalem haijawahi kuwa mji wao.Ukisoma kitabu Cha Wafalme ambacho kilikuwepo kabla hata ya kurani,kinaelezea "Mfalme Daudi Kutawala Israel hiyo ilikuwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita",Mfalme Daudi Alikuwa ametawala Israeli kwa muda wa miaka arubaini; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akiwa Yerusalemu"
1 Wafalme 2:11
Hata Hebron inayoitwa ukingo wa magharibi huko Ramallah ni maeneo ya Israel.
Wapalestina eneo lao ni Gaza Toka enzi na enzi ,ndipo hupo Gaza Samson alipambana na wapalestina na alikotoka Delila.
Daudi na Samson wale walikuwa ni wayahudi na sio wapalestina!
Blabalabalaaa ukweli hautobadilika
 
Back
Top Bottom