Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Text yako haina majibu ya ulichoulizwa/kuombwa. Uliombwa hili:

"Sasa wewe mjuvi weka link ya sifa alizotoa Putin kumsifu rais yeyote wa Marekani kwamba katumia akili kubwa ktk kudili na changamoto fulani nzito na tete. Sio ulete stori za marais wanatembeleana nchini mwao kisha wapiga stori za mtu na mgeni wake huku wakisifiana kinafiki".
Hoja nzito hio ataiweza wapi, hilo swali hawezi kukujibu mkuu
 
Sio kila kitu lazima ujibu, vingine wajipa muda wa kutafakari

Sikukujibu kwa kuwa niliona ulichokoti (ulichoulizwa) na maelezo uliyoleta havina uhusiano.

Btw: hapa huyu rais G.W. Bush wa US ktk mahojiano amsifia Putin, naye alikuwa akifanya siasa gani?
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] mbona unauwa mbu kwa kutumia nyundo mkuu, huyo jamaa kwanza kila kitu anajifanya anajua, sisi tunamuelewa vizuri sn, kwanza jamaa anasifa ya URONGO
 
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba, hivi vikwazo vya kiuchumi alivyolimwa Russia madhara yake kwa uhakika zaidi yataanza kuonekana kwenye miaka 2-3 ijayo na hivi vikwazo vyenyewe naona ni very calculated and punitive.

Kwa vyovyote vile endapo Russia ataendelea kukomaa na uvamizi wake ukweli ni kwamba wapende wasipende kamwe hawataweza kuhimili madhara ya hivyo vikwazo na lazima watakuja waombe tu poo.

Kama kuna mtu atabisha hili basi ni kwa kutokufahamu tu uzito wa vikwazo hivyo anavyowekewa Russia kwa sasa na athari zake kwa uchumi wa taifa hilo.

Madhara watakayopata kutokana na athari za vikwazo hivyo ni afadhali ya hasara watakayopata kutokana na Ukraine kujiunga na Nato.

Time will reveal what I'm saying here.
Ushauri dhaifu kabisa huu.
Hii ni sawasaw na kuwaambia watu Fulani ruhusuni ndoa za jinsiaoja tutawapa misaada.
Kwamba wakubali Ukraine kujiunga na NATO ili wasipigwe na vikwazo?
Huo ni ufala mkubwa sana.
 
Usipozifahamu vizuri siasa za taifa kama Marekani, ni rahisi sana kuziamini hizo sifa.
Jen Psaki ni afisa mwandamizi ktk serikali ya sasa ya Marekani, akihudumu ndani ya White House . Anajua siasa za Marekani kuliko Mmatumbi yeyote hapa JF. Yeye (Jen Psaki) kamuelewa Trump kama wengine walivyomuelewa, kuwa anamsifia Putin kwa hatua alizochukua dhidi ya Ukraine. Na kwa sababu hiyo kaamua kumshambulia Trump kwa kumsifia Putin.

Wewe Mmarekani mmatumbi endelea kudai ni mwerevu mno wa siasa za Marekani kuliko viongozi wenyewe wa serikali ya Marekani wanavyoijua siasa ya nchi yao.

 
Mkuu kuwekewa vikwazo ni bora kuliko kuzingirwa kutekwa na kuwa mtumwa. Yaani uwe roboti la matope. Hakuna mtu mwenye akili timamu ataruhusu kuzungukwa kwa makombora na mizinga. Aza waisi labda hatuna braini.
Huyo jamaa ni mzembe sana.hajui alichokiandika.hata Nyerere weru alikataa ujinga kama huu.
 
Haya mambo ya kusifiana yanawashangaza sana kwa sababu tu ya kutokufahamu jinsi siasa za kimataifa zilivyo. Ushamba!

Ni mambo ya kawaida sana haya katika siasa za kimataifa hasa za haya mataifa makubwa. Of course ni mambo mageni kwa watu wasiofuatilia haya mambo! Hata Putin naye ana tabia ya muda mrefu tu ya kusifia marais wa Marekani.

Haya ni mambo ya kawaida sana katika siasa ndugu zangu[ni]. Jitahidini kuzifahamu siasa hasa za kimataifa kwa undani zaidi, inasaidia sana kuondokana na ushamba juu ya mambo madogomadogo kama haya.
Liz Cheney ni mmarekani OG, mwanachama wa Republican (chama cha Trump) na mwakilishi ktk bunge la marekani toka mwaka 2017.

Yeye kaelewa kuwa Trump kamsifia Putin kwa hatua ya kuingia Ukraine, ameona si jambo la kawaida hata kidogo (pamoja na kuwa wapo chama kimoja) na hivyo kamshambulia Trump kwa kauli hiyo.

Je, Mmarekani huyo OG, tena mwanachama wa Republican party, naye ni mshamba (kwa kutoona sifa hizo za Trump kwa Putin sio jambo la kawaida)? ila wewe Mmarekani wa Buza ndio mwerevu wa kuona hilo ni jambo dogoo?

 
Trump +Clinton wana malengo yao kisiasa kutamka hayo maneno., wanalenga kumdharau Biden ionekane ni advantage kwa uchaguzi wa Marekani utakaokuja, lakini Trump mbona wale North Korea wamekuwa wakivunja makubaliano ya umoja wa mataifa wazi wazi yeye akiwa madarakani ambapo Marekani ndio mdau mkuu , Trump akiwa ni rais kwanini hakuchukua hatua?

Huwezi kuwa Genius kwa vile Russia bado uchumi wake unaoanza kukua ni unategemea nchi nyingi za ulaya pamoja na Marekani ambazo saivi wameshatangaza kumuwekea vikwazo., Biden na Marekani wameona njia ya vikwazo ndio njia pekee ya kumkwamisha Putin kiuchumi ambalo ndio lengo kuu Marekani., Ni vile Putin amepigwa vita ambavyo vitaendelea kumuathiri siku hadi siku na uchumi wake kuporomoka

Kwa mfano ule mradi Norde Stream 2 bomba la gesi litokalo Russia kwenda Germany jana ujerumani wameshazuia kibali cha kuendelea na sanctions nyengine zinafuata. Hii vita ni ya kiuchumi sio ya hivyo vifaru alivyoviona trump na clinton
Watu wengi humu wanaandika kwa ushabiki, hivi mmarekani na yeye akiamua kufungua turubo ya silaha zake dunia itabaki salama? mmarekani anapigana vita kwa maarifa makubwa kama hizo sanctions ili kuifanya dunia kuendelea kuwa sehemu salama ya kuishi.
 
Ila angeifanya Israel ikachukua Jérusalem. Trump na Putin wote sawa.
Jerusalem ni mji wa Israel kwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita,kabla ya kuwepo hata Taifa la Palestine!
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] mbona unauwa mbu kwa kutumia nyundo mkuu, huyo jamaa kwanza kila kitu anajifanya anajua, sisi tunamuelewa vizuri sn, kwanza jamaa anasifa ya URONGO
Asante kwa kunijuza hilo nitakuwa natunza energy yangu.
 
Hivi vikwazo alivyoekewa Cuba vilimuathiri kwa kiwango gani?
Libya kwenye ile issue ya kuangusha ndege kule scotland baada ya sheikh Ghadaffi kukataa kuwatoa kina Abelbezat Allmagray Libya wakalimwa vikwazo vilivyodumu kwa miaka minane. Waliathirika kwa kiwango gani.?

Iran inatwangwa vikwazo miaka nenda rudi, bado wanaonekana stable na miradi mikubwa kama ya nyuklia inaendea. Nani ali/ana nunua mafuta na gesi ya iran?

Nani alikuwa akinunua mafuta ya walibya?
Korea ya kaskazini tangu naanza kupata akili hawa jamaa wapo kwenye vikwazo. Hawauzi nje? Hawanunui nje? Cha ajabu wanaolalamika kuwa wananchi wa korea ya kaskazini wanalia njaa ni CNN, BBC, BLOOMBERGER, na vyombo vingine mumiani vya hawa makaburu. Full propaganda.

Mwisho. Kwenye hili looser ni ukraine. Mpaka sasa kashapigwa 2-0. Asipokuwa makini atapoteza yote kama palestina.
Umemaliza kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jerusalem ni mji wa Israel kwa zaidi ya miaka 3000 iliyopita,kabla ya kuwepo hata Taifa la Palestine!
Kama muengereza hakuwakusanya ulaya huko walipokua hawatakiwi kutokana na ufisadi wao kupelekea kila nchi kuwakataa basi zingekua zimebaki koba zao tu huko ulaya

Hakuna nchi inayoitwa Israel hata kama viongozi wote wa dunia watie saini[emoji16], ni sawa na kulazimisha ndoa za jinsia moja, Mungu ameahidi kuwapiga laana mpaka dunia itaisha hata Bible yako ya kale imeongea hivyo ndio maana poulo akaiupdate kuwa agano jipya [emoji23], hata Yesu wako wanamkataa ww unawashobokea [emoji1]
 
Ni kisiasa zaidi Marekani ya sasa narudia tena na tena vita ya kukandamiza kiuchumi wao wameona ndio njia pekee endelevu itakayowasulubu kina Putini, uzuri wa Putini kisilaha haimaanishi kwamba Marekani hawezi kumshughulikia Russia chini ya dakika 5 kama Marekani itaamua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
iache iamue basi[emoji23][emoji23]
 
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba, hivi vikwazo vya kiuchumi alivyolimwa Russia madhara yake kwa uhakika zaidi yataanza kuonekana kwenye miaka 2-3 ijayo na hivi vikwazo vyenyewe naona ni very calculated and punitive.

Kwa vyovyote vile endapo Russia ataendelea kukomaa na uvamizi wake ukweli ni kwamba wapende wasipende kamwe hawataweza kuhimili madhara ya hivyo vikwazo na lazima watakuja waombe tu poo.

Kama kuna mtu atabisha hili basi ni kwa kutokufahamu tu uzito wa vikwazo hivyo anavyowekewa Russia kwa sasa na athari zake kwa uchumi wa taifa hilo.

Madhara watakayopata kutokana na athari za vikwazo hivyo ni afadhali ya hasara watakayopata kutokana na Ukraine kujiunga na Nato.

Time will reveal what I'm saying here.
wewe unajua zaidi kuliko PUTIN hongera kijana
ila kama ungekua umemskiliza BIDEN vyema usingeongea hizi mboyoyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe shida yako ni vita itokee., lakini wenzetu hawako uko uliko wewe Unaambiwa 40% ya gesi ya Russia anauza ulaya sasa niambie ni kwa vipi Russia hataanguka kiuchumi? na kuanzia ile juz alivyovamia sasa ameanza rasmi russia kulipa gharma yake ya uvamizi.
kwasababu atawauzia UCHINA kwahio hakuna shida MKUU hayo unayoyasema RUSSIA na PUTIN waliishayajua kabla hawaja yafanya yaaani
 
Trump +Clinton wana malengo yao kisiasa kutamka hayo maneno., wanalenga kumdharau Biden ionekane ni advantage kwa uchaguzi wa Marekani utakaokuja, lakini Trump mbona wale North Korea wamekuwa wakivunja makubaliano ya umoja wa mataifa wazi wazi yeye akiwa madarakani ambapo Marekani ndio mdau mkuu , Trump akiwa ni rais kwanini hakuchukua hatua?

Huwezi kuwa Genius kwa vile Russia bado uchumi wake unaoanza kukua ni unategemea nchi nyingi za ulaya pamoja na Marekani ambazo saivi wameshatangaza kumuwekea vikwazo., Biden na Marekani wameona njia ya vikwazo ndio njia pekee ya kumkwamisha Putin kiuchumi ambalo ndio lengo kuu Marekani., Ni vile Putin amepigwa vita ambavyo vitaendelea kumuathiri siku hadi siku na uchumi wake kuporomoka

Kwa mfano ule mradi Norde Stream 2 bomba la gesi litokalo Russia kwenda Germany jana ujerumani wameshazuia kibali cha kuendelea na sanctions nyengine zinafuata. Hii vita ni ya kiuchumi sio ya hivyo vifaru alivyoviona trump na clinton
we jamaa unazingua clinton alisema hyo maneno miaka zaidi ya mitano nyuma kbla biden hajawa rais, hata bush alikiri ni jamaa n smart ht trump mwaka huu
 
Back
Top Bottom