Haya mambo ya kusifiana yanawashangaza sana kwa sababu tu ya kutokufahamu jinsi siasa za kimataifa zilivyo. Ushamba!
Ni mambo ya kawaida sana haya katika siasa za kimataifa hasa za haya mataifa makubwa. Of course ni mambo mageni kwa watu wasiofuatilia haya mambo! Hata Putin naye ana tabia ya muda mrefu tu ya kusifia marais wa Marekani.
Putin amewahi kumsifia Joe Biden kuwa ni mtu "professional" na akaongeza kuwa Biden ni "completely knowledgeable on all issues".
Link hii hapa, utakuta video humo:
Russian President Vladimir Putin praised US President Joe Biden Thursday, describing him as a "professional" who is "completely knowledgeable on all issues," according to a Kremlin transcript of Putin's televised remarks.
edition.cnn.com
Nanukuu kwa uchache maneno ya Putin aliyowahi kuyasema kumhusu Biden:
"Mr. Biden is a professional, and you need to be very careful when working with him so as not to miss something."
Mwisho wa kunukuu! Sijaongeza neno wala sijapunguza neno!
Wakati fulani, Putin pia amewahi kumsifia Trump kwamba ni mtu mwenye kipaji cha hali ya juu (very colourful, talented person):
US presidential hopeful Donald Trump says it is a "great honour" to receive a compliment from Russian President Vladimir Putin.
www.bbc.com
Donald Trump has said that he would "get along very well" with Russian President Vladimir Putin.
edition.cnn.com
Haya ni mambo ya kawaida sana katika siasa ndugu zangu[ni]. Jitahidini kuzifahamu siasa hasa za kimataifa kwa undani zaidi, inasaidia sana kuondokana na ushamba juu ya mambo madogomadogo kama haya.