Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Kwa kweli Trump sio mnafiki, ameamua kutoa ya moyoni kwa jinsi alivyokoshwa mnoo na hatua ambazo zimechukuliwa na Putin ambazo zimetumia akili isiyo ya kawaida.

Kisha kuna wamarekani wachache wa huko 'Nanyamba' na 'Tandahimba' wanaona ati Putin ni wa kawaida kawaida ktk Ulimwengu huu
Ulimwengu una Mambo Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Trump msenge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Eti wanaenda kutunza Amani, !!!

Eti ameona vifaru vingi ambavyo hajawahi kuviona hapo kabla, !! Hii anamaanisha kwamba ni kweli Russia Wana nguvu kubwa ya kijeshi , Sasa hapo Ina maana Trump anamtisha Biden au !?
Kuna wakati niliamini wewe ni mojawapo ya watu clever kumbe wapi! Rudia kusoma utamwelewa Trump.
 
Kama Trump angekuwa Rais wa Marekani Urusi wasingechukua haya majimbo. Trump ni genius sana. No wonder a genius has recognised a fellow genius.
Ila angeifanya Israel ikachukua Jérusalem. Trump na Putin wote sawa.
 
Hivi huyu Biden anatokea chama gani na yule Obama alitkua chama gani? Mana wakati wa Obama Cremia ikaenda na maji, leo Biden majimbo mawili, Trump hakupoteza jimbo hata moja na alijua anadeal na mtu wa aina gani, kwenda kwake Moscow kuzungumza hakuwa mjinga, sasa wajanja wanawatia wenzao matatizoni kila siku.

Inawezekana siku akija mtu mwingine wa icho chama basi nae atasababisha majimbo mengine kumegwa tena kwa kujifanya wababe
 
Ukweli mchungu ambao wengi wetu hatupendi kuusikia ni kwamba Raisi Vladmir Putin ni moja kati ya binadamu wenye akili mno. Tutabishana sana lakini uhalisia wa kihistoria umetuthibitishia hilo. Nafahamu wengi watasema Urusi inajificha nyuma ya mgongo wa silaha za kinyuklia, lakini mbona Urusi ilikuwa ina nyuklia tokea kipindi cha Chernenko, Gorbachev na Yeltsin. Hii ni hoja rahisi mno kwasababu kuna mataifa mangapi duniani yana silaha za kinyuklia lakini hayafanya kama Urusi ???

Leo nimesikiliza alichokisema Donald Trump kuhusu Vladmir Putin, kwamba "That was a genius move" and "I know him, he's a very savvy guy". Unaweza kumshambulia Donald Trump kwamba anasema haya kwasababu anamchuki Joe Biden, lakini hata Raisi Bill Clinton aliwahi kusema "Putin is smart, really smart". Donald Trump kasema anamfahamu Vladmir Putin baada ya kufanya naye kazi kwa kipindi kifupi kwamba ni mtu ambaye akisema kitu ni lazima akitekeleze.

Hapa siangaliaa suala la kimaadili "A Moral Side" lakini naangalia uwezo binafsi wa mtu. Hate Him or Love Him, Vladmir Putin is a very smart person.
 
Pamoja na kuwa Trump huwa anapenda fascistic fashist wenzake ila trump alikuwa kidogo anaonesha power kwa marekan na alikuwa anafanya mambo kwa akili ila hichi kibabu kibiden wamarekan wamepigwa mchana kweupe
Kabisa, na mataifa mengi yaliufyata kwa Trump Kama China na Iran
 
Hivi huyu Biden anatokea chama gani na yule Obama alitkua chama gani? Mana wakati wa Obama Cremia ikaenda na maji, leo Biden majimbo mawili, Trump hakupoteza jimbo hata moja na alijua anadeal na mtu wa aina gani, kwenda kwake Moscow kuzungumza hakuwa mjinga, sasa wajanja wanawatia wenzao matatizoni kila siku.

Inawezekana siku akija mtu mwingine wa icho chama basi nae atasababisha majimbo mengine kumegwa tena kwa kujifanya wababe
Maraisi wa Republican wanaogopwaga Sana, example Trump, Bush Jr na Bush Senior
 
Trump anasema kuwa namna Rais Putin alivyotangaza majimbo mawili makubwa ya Ukraine kuwa huru, hayapo ndani ya Ukraine, ni namna ya kipekee iliyotumia akili kubwa mno (Genius).

Trump akaendelea kusema kuwa Putin anaenda ingia ndani ya Ukraine na kuwa mlinda amani..."hilo ni jeshi imara zaidi la kutunza amani...tungeweza kulitumia jeshi hilo kwenye mpaka wetu (Marekani) wa kusini".

Trump akaendelea kuongea "Nimeona vifaru vingi (vya Russia) kwa idadi ambayo sijapata kuona kabla. Kwa kweli wanaenda kutunza amani kiukamilifu kabisa".
======



“I said, ‘This is genius,'” Trump said on a right-wing podcast. “Putin declared a big portion of … Ukraine … as independent. Oh, that’s wonderful. … I said, ‘How smart is that?’ And he’s going to go in and be a peacekeeper. That’s strongest peace force. … We could use that on our southern border. That’s the strongest peace force I’ve ever seen. There were more army tanks than I’ve ever seen. They’re going to keep the peace all right. Here’s a guy who’s very savvy … I know him very well. Very, very well.”
Putin can not be Genius, otherwise tumuone akiweza kuhimili vikwazo alivyoekewa na wananchi wake wasijekufa njaa
 
Kama China alikuwa mdogo Kama piriton
Daaaa mkuu nakumbuka aisee Wachina hawatamsahau Trump aliwapiga sunctions wakawa wapole,, juzi eti nao wamempiga Pompeo sunctions,,,but 2024 Trump anaweza shinda tena
 
Daaaa mkuu nakumbuka aisee Wachina hawatamsahau Trump aliwapiga sunctions wakawa wapole,, juzi eti nao wamempiga Pompeo sunctions,,,but 2024 Trump anaweza shinda tena
atashinda mchana kweupe wamarekan wameshazinduka kuwa wamepigwa kwa kibabu Biden kaz kusinzia tu marekan wanahitaj kiongoz shupavu Kama akina Reagan Roosevelt akina Bush
 
Pamoja na kuwa Trump huwa anapenda fascistic fashist wenzake ila trump alikuwa kidogo anaonesha power kwa marekan na alikuwa anafanya mambo kwa akili ila hichi kibabu kibiden wamarekan wamepigwa mchana kweupe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
atashinda mchana kweupe wamarekan wameshazinduka kuwa wamepigwa kwa kibabu Biden kaz kusinzia tu marekan wanahitaj kiongoz shupavu Kama akina Reagan Roosevelt akina Bush
Biden hawez gombea Tena, Trump atamshinda kiuraisi,
 
Kwa kweli Trump sio mnafiki, ameamua kutoa ya moyoni kwa jinsi alivyokoshwa mnoo na hatua ambazo zimechukuliwa na Putin ambazo zimetumia akili isiyo ya kawaida.

Kisha kuna wamarekani wachache wa huko 'Nanyamba' na 'Tandahimba' wanaona ati Putin ni wa kawaida kawaida ktk Ulimwengu huu
Putin ni jasusi, mwanasiasa halafu zaidi ya yote umpende umchukie jamaa kichwa sana tu anajuwa kila afanyalo na zaidi ana personality.
 
Back
Top Bottom