Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump msenge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Eti wanaenda kutunza Amani, !!!

Eti ameona vifaru vingi ambavyo hajawahi kuviona hapo kabla, !! Hii anamaanisha kwamba ni kweli Russia Wana nguvu kubwa ya kijeshi , Sasa hapo Ina maana Trump anamtisha Biden au !?
Trump dares Biden to ^chokozafy^ & even left-foot Putin ili mambo yakiguyuguzika, apate mileage za kisiasa. Sisi tuliofanya kazi karibu na Trump tunamfahamu kuwa huyu bilionea ni professional political opportunist!
 
hichi kibabu hakina nguvu hiyo kuongea kwenyewe shida tupu
Nani alikwambia nguvu iko kwenye eloquence ya maneno? Ingekuwa hivyo, basi Bi Mikopo sasa hivi angeshaipaisha Tanzania katika hadhi ya kuwa voluntary sponsor mkuu wa IMF & WB.

Anyways: Trump4President!
 
Hivi huyu Biden anatokea chama gani na yule Obama alitkua chama gani? Mana wakati wa Obama Cremia ikaenda na maji, leo Biden majimbo mawili, Trump hakupoteza jimbo hata moja na alijua anadeal na mtu wa aina gani, kwenda kwake Moscow kuzungumza hakuwa mjinga, sasa wajanja wanawatia wenzao matatizoni kila siku.

Inawezekana siku akija mtu mwingine wa icho chama basi nae atasababisha majimbo mengine kumegwa tena kwa kujifanya wababe
Trump ni Republican

Obama & Biden ni Democrats
 
Annexation has been promoted everywhere. who knows about tomorrow? probably Xinjiang will invade Taiwan before sunset. China is extremely yearning to do as putin does.
I bought my popcorns already. [emoji3][emoji3]
China hana haraka anaendelea kupandikiza majasus mdogomdogo ili atimize ule msemo wa SunTzu wa kupindua meza kibabe bila kuumizana
 
Putin can not be Genius, otherwise tumuone akiweza kuhimili vikwazo alivyoekewa na wananchi wake wasijekufa njaa
Mkuu kati ya wewe na marais wawili wa US kwa pamoja, Trump+Clinton, tuchukue maneno ya nani? Hao marais wote wawili wanasema Putin ni smart a.k.a. genius

 
Mkuu kati ya wewe na marais wawili wa US kwa pamoja, Trump+Clinton, tuchukue maneno ya nani? Hao marais wote wawili wanasema Putin ni smart a.k.a. genius

Trump +Clinton wana malengo yao kisiasa kutamka hayo maneno., wanalenga kumdharau Biden ionekane ni advantage kwa uchaguzi wa Marekani utakaokuja, lakini Trump mbona wale North Korea wamekuwa wakivunja makubaliano ya umoja wa mataifa wazi wazi yeye akiwa madarakani ambapo Marekani ndio mdau mkuu , Trump akiwa ni rais kwanini hakuchukua hatua?

Huwezi kuwa Genius kwa vile Russia bado uchumi wake unaoanza kukua ni unategemea nchi nyingi za ulaya pamoja na Marekani ambazo saivi wameshatangaza kumuwekea vikwazo., Biden na Marekani wameona njia ya vikwazo ndio njia pekee ya kumkwamisha Putin kiuchumi ambalo ndio lengo kuu Marekani., Ni vile Putin amepigwa vita ambavyo vitaendelea kumuathiri siku hadi siku na uchumi wake kuporomoka

Kwa mfano ule mradi Norde Stream 2 bomba la gesi litokalo Russia kwenda Germany jana ujerumani wameshazuia kibali cha kuendelea na sanctions nyengine zinafuata. Hii vita ni ya kiuchumi sio ya hivyo vifaru alivyoviona trump na clinton
 
Trump with sarcasm on the Russian invasion of the Ukrainian eastern renegade provinces.

Russian president is reveling in the US Democratic Party presidency. He had to wait for the party to ascend to power before carrying out an invasion on the Ukrainian island of Crimea and now the country's two eastern renegade provinces.

To add salt to a raw wound, China raised its intention to invade Taiwan more in this era of Democratic Party presidency. It seems these countries view the Democratic Party presidency as nothing but a mere walk in the park.
 
Trump +Clinton wana malengo yao kisiasa kutamka hayo maneno., wanalenga kumdharau Biden ionekane ni advantage kwa uchaguzi wa Marekani utakaokuja
Mkuu huyo Clinton ni Bill Clinton na alimsifia Putin mwaka 2014, miaka mingi kabla hata Biden hajawa Rais wa US.

Lakini pia hata George W. Bush alishawahi kumuelezea Putin kuwa ni mtu smart sana (cheki video hii kuanzia sekunde ya 30)

 
Mkuu huyo Clinton ni Bill Clinton na alimsifia Putin mwaka 2014, miaka mingi kabla hata Biden hajawa Rais wa US
Ni kisiasa zaidi Marekani ya sasa narudia tena na tena vita ya kukandamiza kiuchumi wao wameona ndio njia pekee endelevu itakayowasulubu kina Putini, uzuri wa Putini kisilaha haimaanishi kwamba Marekani hawezi kumshughulikia Russia chini ya dakika 5 kama Marekani itaamua.
 
Mkuu huyo Clinton ni Bill Clinton na alimsifia Putin mwaka 2014, miaka mingi kabla hata Biden hajawa Rais wa US.

Lakini pia hata George W. Bush alishawahi kumuelezea Putin kuwa ni mtu smart sana (cheki video hii kuanzia sekunde ya 30)


Kama ni smart tuone namna anavyoweza kukuza uchumi wake chini ya vikwazo anavyoendelea kuwekewa na magharibi
 
Ni kisiasa zaidi Marekani ya sasa narudia tena na tena vita ya kukandamiza kiuchumi wao wameona ndio njia pekee endelevu itakayowasulubu kina Putini, uzuri wa Putini kisilaha haimaanishi kwamba Marekani hawezi kumshughulikia Russia chini ya dakika 5 kama Marekani itaamua.
Hizo chini ya dakika tano angetumia sysria au vietnam ningeamin!
 
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba, hivi vikwazo vya kiuchumi alivyolimwa Russia madhara yake kwa uhakika zaidi yataanza kuonekana kwenye miaka 2-3 ijayo na hivi vikwazo vyenyewe naona ni very calculated and punitive.

Kwa vyovyote vile endapo Russia ataendelea kukomaa na uvamizi wake ukweli ni kwamba wapende wasipende kamwe hawataweza kuhimili madhara ya hivyo vikwazo na lazima watakuja waombe tu poo.

Kama kuna mtu atabisha hili basi ni kwa kutokufahamu tu uzito wa vikwazo hivyo anavyowekewa Russia kwa sasa na athari zake kwa uchumi wa taifa hilo.

Madhara watakayopata kutokana na athari za vikwazo hivyo ni afadhali ya hasara watakayopata kutokana na Ukraine kujiunga na Nato.

Time will reveal what I'm saying here.
 
Back
Top Bottom