Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Kweli zama zetu zimeisha


Jumla ya Ma Rais wa Marekan waliotembelea Africa wakiwa Madarakan ni watatu, Clinton, Bush na Obama

Hakuna Safari ambayo walikuja Africa bila ya kuzuru Tanzania

Hata Obama alipoingia Madaran basi Muungwana wa Msoga ndie alikuwa Rais wa Kwanza kualikwa Kwa State visit

Role ya JK kimataifa imeibiwa na Kenyata

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa yetu anazingua na serikali yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona leo hii mataga mtalala na viatu kisa kusifiwa kwa KENYATTA
Uwe unaleta kwangu hizo propaganda zako nakusaidia kuhariri kwanza.

Unadhani wewe pekee upo Twitter?

"A fruitful bilateral TALKS"
Ni English ya Ufipa tu,Rudi shule Elimu Ni bure!

Rubbish!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaamini tu
Ndoto anyway
Screenshot_20200208-224137.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasaidia nni, hata enzi za kikwete alikuja obama mkasafisha na mabarabara lakini hakuna njaa iliyoisha, hakuna mzungu anataka nyie muwe kama wao, bali wao ni kututumia kama ngazi zao, kama wanataka nasi tufaidi uchumi waje wanunue bidhaa zetu kwa bei zetu ili tujitegemee tuwe sawa.
Sifa upewe kisha wao wapitishe mabomu na mabundiki na vita ipiganwe kwenye nchi yako wao huko wanalala usingizi eti diplomasia?
Nadhani hukunielewa vyema.
 
Sidhani kama hizo kashifa zako kwa waafrika wenzako zitauondoa ukweli kuwa rais wa USA [emoji1259] amemsifia rais wa Kenya [emoji1139].
Hizo fikra za kijinga sina,yaani Rais wa taifa USA kumsifia kiongozi wa Africa ni prestige? Miafrica nmezidi uzuzu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya imekuwa strategic partner wa Marekani toka ilipopata uhuru 1963 kabla hata haijajulikana Al Shabab watakuwepo.

Hata kabla ya uhuru huo Kenya tayari iliishanufaika na misaada mbali mbali toka Marekani kama Student Scholarships iliyowanufaisha akina baba yake Barack Obama marehemu Barack Obama Sr aliyeenda masomoni Marekani mwishoni mwa miaka ya hamsini.

Kenya sasa hivi, sawa na Tanzania, inakabiliwa na mzigo wa madeni na wanahitaji mikopo muhimu kutoka Multinational Financial Institutions kama World Bank na IMF hali inayowafanya waihitaji mno Marekani.

Hata sisi huko tuendako itabidi tupige tu magoti kwani jamaa wana mbinu nyingi za kudhoofisha uchumi wa nchi yoyote ile duniani. Lazima tucheze ngoma yao.
 
Mfungua uzi jana nilikuambia nenda kwenye account yake copy hiyo tweet kisha njoo upost hiyo link humu hutaki zaidi ya kujifanya huoni comment yangu,
Sema kuwadanganya watu kama wewe ni kazi rahisi sana.
 
Sidhani kama hizo kashifa zako kwa waafrika wenzako zitauondoa ukweli kuwa rais wa USA [emoji1259] amemsifia rais wa Kenya [emoji1139].

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kumsifia kiongozi wa africa au kenya inaisaidia nini? Wananchi wa kibera pale? Hii siyo story lazima tujikomboe ktk fikra zetu maana zimetawaliwa sana
 
Back
Top Bottom