Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Inasaidia nni, hata enzi za kikwete alikuja obama mkasafisha na mabarabara lakini hakuna njaa iliyoisha, hakuna mzungu anataka nyie muwe kama wao, bali wao ni kututumia kama ngazi zao, kama wanataka nasi tufaidi uchumi waje wanunue bidhaa zetu kwa bei zetu ili tujitegemee tuwe sawa.
Sifa upewe kisha wao wapitishe mabomu na mabundiki na vita ipiganwe kwenye nchi yako wao huko wanalala usingizi eti diplomasia?
Huu ni ukweli mchungu...hakuna mzungu anataka tuwe kama yeye.
 
Naona bado upo usingizini sana, yaani kwa taarifa yako bila kushirikiana na hao walio endelea kiuchumi kamwe hamuwezi kusonga hata kwa dama.
Inasaidia nni, hata enzi za kikwete alikuja obama mkasafisha na mabarabara lakini hakuna njaa iliyoisha, hakuna mzungu anataka nyie muwe kama wao, bali wao ni kututumia kama ngazi zao, kama wanataka nasi tufaidi uchumi waje wanunue bidhaa zetu kwa bei zetu ili tujitegemee tuwe sawa.
Sifa upewe kisha wao wapitishe mabomu na mabundiki na vita ipiganwe kwenye nchi yako wao huko wanalala usingizi eti diplomasia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya inakimbia speed ya ndege. Sisi tunarudi nyuma kwa speed ya mwanga.

Clinton alikuja hapa
Bush mwenyewe alikuja akakaa wiki
Obama alikuja

Wakenya walikuwa wanatuonea wivu.

Sasa tuna kimavi

Tunanuka

Nchi wamepewa washamba (Zitto)

Pole yetu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Marekani uwa atembelei nchi zisizo za kidemocrasia. kipindi kile Kikwete alipo boresha democrasia obama akaja. kuna shida sana kwenye democrasia africa mashariki ukiondoa Kenya.
Demokrasia ya kuiba mariasiri za Africa?

Hatuna shida nae! Obama alipokuja alitusaidia nini zaidi ya kuogeza wizi wa wanyama ktk vitaru vya mbuga zetu wakati huo Rais akipewa ofa ya suti, kutolewa tezi dumee na kuachiwa gari!!!! Waziri wa mariasiri nae akapewa ofa yakutemberea marekani na watembo.

Tena akomee hukohuko kenya.
 
Tusisahau.
Screenshot_2020-01-12-17-37-43-1.jpeg


dodge
 
Unaweza kusema kuwa sasa nyota ya Kenya inazidi kuwaka kuelekea kuimarisha uchumi wao. Hii yote inatokana na rais wa nchi yao kuwa karibu sana na Rais wa dunia yaani rais wa USA [emoji1259].

Wenzetu nawaona kama wanakimbia zile mbio za nyika ambazo kwao kila mashindano ya dunia huwa ni washindi tu.

Mwezi wa nne mwaka huu wakenya watakuwa na ugeni mkubwa sana kwa kumpokea rais Trump.

Ushahidi wa haya someni hapo chini, isiwe kesi sisi Kagame anatutosha. View attachment 1351105

Sent using Jamii Forums mobile app
Trump ndio nani tunamagufuli hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fake tweet, wala huu ujinga haujaandikwa kwake,
Yaani hamfuatilii vitu kabla ya kupost mnapenda kukurupuka ovyo,
Ndio maana upinzani unazidi kupoteza muelekeo kila siku.
 
Katika habari hii hakuna sehemu imeitaja cdm au chama chochote cha siasa, sasa wewe hizi habari za upinzani unazitoa wapi?
Fake tweet, wala huu ujinga haujaandikwa kwake,
Yaani hamfuatilii vitu kabla ya kupost mnapenda kukurupuka ovyo,
Ndio maana upinzani unazidi kupoteza muelekeo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtu anaongea pekee yake njiani kama wewe basi ujue kuna tatizo kwenye ubongo wake
Fake tweet, wala huu ujinga haujaandikwa kwake,
Yaani hamfuatilii vitu kabla ya kupost mnapenda kukurupuka ovyo,
Ndio maana upinzani unazidi kupoteza muelekeo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom