Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #41
Nimefurahi sana kwa kuligundua hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli zama zetu zimeisha
Jumla ya Ma Rais wa Marekan waliotembelea Africa wakiwa Madarakan ni watatu, Clinton, Bush na Obama
Hakuna Safari ambayo walikuja Africa bila ya kuzuru Tanzania
Hata Obama alipoingia Madaran basi Muungwana wa Msoga ndie alikuwa Rais wa Kwanza kualikwa Kwa State visit
Role ya JK kimataifa imeibiwa na Kenyata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app