NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 797
- 1,653
Europe haiwezi kuruhusu Russia ishinde lazima watatwanganawapi hiyo tena? Ilivuma sana lakini imepotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Europe haiwezi kuruhusu Russia ishinde lazima watatwanganawapi hiyo tena? Ilivuma sana lakini imepotea
itaanzaje wakati tramp anaidharau ulaya na kuiona ni kenge tu mfa maji?Europe haiwezi kuruhusu Russia ishinde lazima watatwangana
Hajanyimwa kwa maana walisaini mikataba kabla ya silaha kupelekwa KievHaya yote baada ya kunyimwa zile 50% za madini yote ukraine
sera yake ya MAGA ni kitisho kwa ulaya. Ulaya itaifanya nini marekani inayotitimua kuwa kubwa kuliko wao? Wakimfanyia assassin si itakuwa balaa?Trump wanaweza kumfanyia assassination huu mchezo bado mbichi.
Europe kamwe haiwezi kubali kushindwa na Russia watatumia hata goli la mkono. Time will tell
Ha
Hallooo mwehu gani Tena? Mbana Muna maneno mabaya kwa trampu?
Huyu ni bepari haswa.Trump ni tapeli sana, mbwembwe zote kumbe anamendea rasilimali za Ukraine?
Nimemchukia ghafla na hana utu kabisa
Nimeona mambo mawwili hapa:Huyu ni bepari haswa.
Kwa hiyo Wamarekani ni dhaifa kwa kiwango kwamba Viongozi wao wanaweza kuchaguliwa kwa ushawishi wa Raia wasio-wamarekani? Kama ni hivyo, hii ni hatarUle uchaguzi wa mwanzo uliomwingiza Trump madarakani, taarifa ya CIA ilieleza kuwa KGB kitengo cha udukuzi kilimsaidia Trump kudukia taarifa za washindani wake.
Urafiki wa mtu na mtu ni kitu kizur!Yumkoni Trump ni rafiki au puppet wa Putin. Kauli yake ya karibuni amemsifia sana Putin
Kuna kosa Urusi kuongozwa na Raisi mwenye akili sana?na kumtaja kuwa ni kiongozi mwenye akili kubwa. Hii ina maana hata yeye Putin anautamani utawala ule wa kidikteta na wa kilaghai wa Putin.
Kwani udikiteta ni nini?Putin ni bahati tu ametawala nchi kama Marekani, angekuwa kama huku Afrika angrkuwadikteta wa kiwango ambacho huenda Dunia nzima haijawahi kushuhudia.
Trump na Putin naona kama wameshagawana Ukraine kikwazo ni bwana mdogo Zelensky, hapa wanataka kuweka kibaraka wao.Nimeona mambo mawwili hapa:
1. US anayataka madini ya Ukraine.
2. Hapo hapo anataka akiyapata madini atakuwa na kisingizio cha kuingia Ukraine kwa mgongo wa kulinda maslahi yake.
3. Naona Urusi inatendwa kwa akili pia
Tupo pamoja mkuu. Lakini nakuomba fafanua juu ya Trump kuzitaka rasilimali za ukraine. Huenda habari ilinipita kidogo.Trump ni tapeli sana, mbwembwe zote kumbe anamendea rasilimali za Ukraine?
Nimemchukia ghafla na hana utu kabisa
Alimwambia rais wa Ukraine kuwa atoa madini zaidi ya 50% ya madini yote ili asaidiwe hii vita kuisha sijui na silaha?Tupo pamoja mkuu. Lakini nakuomba fafanua juu ya Trump kuzitaka rasilimali za ukraine. Huenda habari ilinipita kidogo.
Trump alitaka uchaguzi uendeshwe katikati ya vita, wapi aliwahi kuona utaratibu huo ukitumika duniani?Trump calls Zelensky a 'dictator' as he hits back at 'disinformation' criticism
Watch live
![]()
Advertisement
Summary
- Donald Trump launches a fresh attack on Ukrainian President Volodymyr Zelensky, calling him a "dictator" and saying he has done a "terrible job"
- Trump also repeats a claim that Zelensky "refuses to have elections" - BBC Verify analysis shows Ukraine has been under martial law since Russia invaded it in February 2022, meaning elections are suspended
- Zelensky earlier accused the US president of "living in a disinformation space" created by Russia following US-Moscow talks in Saudi Arabia, from which Kyiv was excluded
- Asked afterwards by the BBC how he would respond to Ukrainians who felt "betrayed" over not having a seat at the table, Trump said Ukraine "could have made a deal" earlier
- Russian President Vladimir Putin later said "nobody is excluding Ukraine" from talks on ending the war
![]()
Ukraine latest: Trump calls Zelensky a 'dictator' as he hits back at 'disinformation' criticism
It comes after the Ukrainian president suggested Donald Trump was "living in a disinformation space" created by Russia.www.bbc.com
Ulitakaje?Trump ni tapeli sana, mbwembwe zote kumbe anamendea rasilimali za Ukraine?
Nimemchukia ghafla na hana utu kabisa
Hapa Trump kaongea ujinga Sana
Kuna watu tuliwaambia wakawa wakali. Trump ni pandikizi la Urusi. Amewekwa whitehouse na Putin.Trump ni tapeli sana, mbwembwe zote kumbe anamendea rasilimali za Ukraine?
Nimemchukia ghafla na hana utu kabisa