nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Marekani wapo Syria kulinda usalama wa nchi yaoHapa Trump kaongea ujinga Sana
Hivi aliyevamiwa ndo dictator au aliyevamia mwenzake
Ni aibu Rais wa Taifa kubwa kuwa pupet wa Russia
Russia yupo Donbas kulinda usalama wake...
Ukraine wakubali kuwa neutral(wasijiunge Nato),wakomeshe uNazi Russia ataondoka.