Trump ana wenge!anashusha heshima yake na taifa lake

Trump ana wenge!anashusha heshima yake na taifa lake

Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.

Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.

Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.

Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.​
Hawataweza hata siku 1 kukutana uso kwa uso ndo maana hao jamaa wanapendaga sana kupigana kwa kutumia vivuli vya wengine,,siku wakikutana wao kwa wao tena ile wazi wazi basi ndo vita kuu ya 3 imeanza hao jamaa wenye makombora ya nuclear wanajitahidi wakwepane sana kwenye zile 1 to 1 ndo maana kuna maeneo wanawalipa "mercenaries" kama wale wagner au Blackwater ili wasikutane uso kwa uso kama taifa bali proxies tu.........na kuna dalili kati ya Mchina au Mrusi mmojawapo anaweza akakutana na bepari kule DRC
 
Inaonekana viongozi wa irani huwajui vizuri, maana ",Ayatollah khomeini ameshakufa aliyemrithi ambaye ndio kiongozi mkuu wa irani kwa sasa ni Ayatolla khamenei."
 
Salaam wakuu.

Rais Donld trump wa marekani yupo kasi sana,anaunadi ukubwa wa taifa lake,anatamani kuwa na mamlaka mbele ya wenye mamlaka wenzie na anatumia nguvu na hadaa kuwaongoza viongozi wa mataifa mengine kufuata maono yake!

Kabla mzozo wake na rais Zele wa ukreine haujapoa tayati ameshadai kuwasiliana na kiongozi mkuu wa Iran Imam khomenei,madai ambayo yamekanushwa na utawala wa Iran.

Siku chache baada ya kuhitalifiana na Rais wa Ukreine akatangaza kuwa wasaidizi wake watakutana na wawakilishi wa Rais Putin wa Urusi huko Saudi arabia,tayari rais Zele kishatangulia Saudia,waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mshauri wa masuala ya kiusalama wa rais Trump wapo hewani wanaelekea Saudia, chakushtua nikwamba Urusi imekana kuwa na taarifa za mkutano huo,kwahiyo hawatahudhuria.
Hii imeekaaje!?

Nakumbuka wiki iliyopita kiongozi Muadham wa taifa kubwa la Iran Sayid Al khomenei akiwahutubu Wairan aliiwaambia"mazungumzo na Marekani sio jambo lakujivunia,si jambo la heshima bali ni kujidhalilisha na kujidunisha na kwamba taifa la Iran halina mpango wowote wakufanya mazungumzo na Marekani mpaka pale watakapoondoa vikwazo vyao na kuacha kuitishia Iran.

Kwa khutba hiyo napata hisia kuwa huenda hata Putin na viongozi wenzie wa Urusi wamewaidhika na kuamua kula kona,kuchukua tahadhari dhidi ya Trump na viongozi wenzie wasioaminika wa Marekani.
Trump anataka aonekane yey anaiweza MAGA! Madini ya Ukrain ameyaomba yeye, lakini ya DRC anasema DRC ndio wameiomba USA iwasaidie ulinzi. Ilimradi tu ionekane USA haijipendekezi kwa DRC!
 
Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.

Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.

Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.

Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.​
Kama wangekua na akili matope kama zako c zele angesain mkataba pale alipoitwa na trump ..
 
Anakuza heshima ya taifa lake na ndiyo maana ya MAGA, walioshusha heshima ya Amerika ni akina Biden na maswahiba wao.Wenge analo Siri ya Sufuri.Kwani Mzee huenda kasha minya mahali
MAGA ni code ya “white supremacy”. Kwa Trump na maswahiba wake hiyo ndiyo heshima ya Marekani.

Kichocheo kikubwa ni tishio walilopata kwa Obama kushinda uRais wa USA mwaka 2008 na 2012. Hawakutarajia kabisa; iliwatibua sana. Mengine ni vibwagizo tu. Sasa hivi wanajivunia “Trump country” na kutishia wenye asili nyingine hasa weusi kwamba “warudi kwao”.
 
Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.

Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.

Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.

Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.​
wamemuwezaje ilihali kashakamata maeneo?
 
Trump ana mbinu za kijambazi. Zele alipogoma akakata msaada urusi akaanza shusha vitu pale kwa bw zele, zele ikabidi atume barua ya kukubali kusaini deal la madini.
Ulaya hawawezi kumsaidia zele hata budget waliyopitisha eti wameomgeza ya ulinzi haifiki hata budget nusu ya ulinzi ya marekani.
Now pia bw trump naona anataka wageuka wajapan na mkata wao wa ulinzi
Anatumia stile za ujambazi za miaka ya ukoloni kulazimisha watu japo kwa Sasa Bado walikua wanatumia NEO-COLONIALISM.
Kinachomuumiza akili na wahuni/matajiri wenzao hapo marekani wakiongozwa na kina Elon musk ni ukuaji wa kistaarbu kidogo wa nchi kama China,India n.k
Wao wanataman wawatishe dunia nzima China aporomoke,kwa sasa wanajarbu kupunguza vita ya hasara na mrusi ili wamgeukie adui wanaemtafuta(China)
Walimkosa kwenye vita na Urus,chokochoko ya mwaka juzi ya Taiwan,na sasa wanataka kumkabili mchina maana after 10yrs mchina atakua the most worl super power
 
Samaki ana vipande vingapi “vitatu” vitaje kichwa,tumbo na mkia.
 
Back
Top Bottom