dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Ilitegemewa Papa aikemee hiyo dhambi kwa uzito unaostahili badala ya kukimbilia kuwabariki.Kidini ushoga ni dhambi sawa na uzinzi pamoja na uasherati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitegemewa Papa aikemee hiyo dhambi kwa uzito unaostahili badala ya kukimbilia kuwabariki.Kidini ushoga ni dhambi sawa na uzinzi pamoja na uasherati
Papa huwa anabariki wazinzi na waasherati piaIlitegemewa Papa aikemee hiyo dhambi kwa uzito unaostahili badala ya kukimbilia kuwabariki.
Huo Mkataba wa Kanisa wa Gay rights ni wa kanisa lipi?Huyo nashaka sana hana dini, sababu angekuwa mkristo lazima akubaliane na mkataba wa kanisa, gay rights 😄
Masajid ndio nini? Sema MasjidSwali kama bibilia zenu zinakataza kwanini nchi za Western, USA na Israel wana promote gay rights?
Wapi kwenye nchi za Kislam uliona wana promoting gay rights?
Je hakuna ndoa za jinsia moja zinafungwa kanisani?
Uliwahi kuona ndoa za jinsia moja zinafungwa kwenye Masajid?
Mkumbushe kuwa kaka zake wa Zenji wanatembea na viberiti vyenye maviWale kaka zenu wa Zenji ni wakristo??
Inaonekana unasumbuliwa sana na Udini na ndo mana unakashifu ukristo. Uwezo wako wa kupambanua mambo unatia mashaka. Naomba utupe mstari unao himiza huo mkataba kwa kutumia Biblia.Huyo nashaka sana hana dini, sababu angekuwa mkristo lazima akubaliane na mkataba wa kanisa, gay rights 😄
Hivi Papa alisema Mungu aliumba jinsia ngapi kweli?Trump ana hofu ya Mungu kuliko Papa for sure! Anakemea ushenzi hadharani bila kuzungusha zungusha maneno. Straight to the point - God Created Two Genders; nothing less, nothing more.
Wapi kwenye biblia inaruhusu ndoa ya njinsia moja wewe.Huyo nashaka sana hana dini, sababu angekuwa mkristo lazima akubaliane na mkataba wa kanisa, gay rights 😄
Hakutaja jinsia; aliwatakia baraka.Hivi Papa alisema Mungu aliumba jinsia ngapi kweli?
Na yule mwalimu aliyemshawishi mwanafunzi wake.Wale kaka zenu wa Zenji ni wakristo??
Sasa mbona umewasilisha hapo kama alikataa uwepo wa jinsia mbili?Hakutaja jinsia; aliwatakia baraka.