joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sasa mimi nikielewa then what? Trump kaitoa WHO sababu kaona hamna faida anapoteza hela na hivyo anataka kuitoa UN au humsikiagi Trump?Unaelewa maana ya hasara au inavyopatikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mimi nikielewa then what? Trump kaitoa WHO sababu kaona hamna faida anapoteza hela na hivyo anataka kuitoa UN au humsikiagi Trump?Unaelewa maana ya hasara au inavyopatikana?
Kupigwa msasa nani??
Mamlaka za kitaasisi. Rais kama taasisi anazungukwa na watu wa kumpa miongozo na ushauri katika kila nyanja.Akumbushwe na nani??
Vipi kama hao wanaomzunguka ndio wamemshauri hivyo ??Mamlaka za kitaasisi. Rais kama taasisi anazungukwa na watu wa kumpa miongozo na ushauri katika kila nyanja.
Trump ni egoist mwenye madaraka na umaarufu, kuwa kwake yupo juu muda huu hakuondoi ukweli wowote wenye kuyahusu maisha yake mpaka kufikisha miaka 79.Hakubadilika akiwa Rais term yake ya kwanza....
Hakubadilika baada ya kushindwa uchaguzi mkuu ...
Abadilike leo baada ya kupambana na kuingia tena ikulu?!!! Ha ha ha hata ingekuwa ni wewe ukaamua KUBADILIKA basi wachokonozi wa hoja tungekushangaa ,sitaki kumshangaa mh.Rais Trump....
Yeye ni GAME CHANGER na hao. viongozi wanaokuja watajua wenyewe njia za kupita.......
#Beyond Horizon!
25% ya bajeti ya tanzania inategemea misaada ya wazungu, wakikata misaada tutaishi vipi?Kila sekunde iendayo inazidi kuniongezea mapenzi makubwa kwa taifa langu JMT....nje huko hatuna wajomba....ninawashangaa vyama vya upinzani Tanzania kuhangaika kutusemea kwa wajomba....ha ha ha ha
Tanzania iendelee kusimamia mambo ya maslahi yake kwani mh.Rais Trump anatutia KIBURI cha kila mtu asimamie lake/chake bila ya KUTETEREKA na bila ya kumuogopa yeyote na chochote kile.....
*Trump ni mpango wa Mwenyezi Mungu !
*********************
#Tanzania is a sovereign nation!
#Twende na Samia 2025 !!
Sasa kama zelensky hakutaka kusaini mkataba alienda marekani kufanya nini?Elimu ndogo Trump anaongozwa na chuki na mawazo mengi ya kihuni tu.
Walitaka wamlazimishe Zelensky asaini mkataba mbaya kwa Ukraine kwa maslahi ya makampuni ya kimarekani na akawashtukia wakaanza kumshambulia kwa maneno ya hasira na dharau zile zile za kizungu.
Waliomchagua wanaona yuko sawaAwamu zote mbili nilikuwa namshambikia Trump lkn tangu aanze figisu figisu zake dhidi ya Canada, Iceland na Ukraine nimeanza kumchukia huyu mzee,
Na sina uhakika km atamaliza muhula wake huu.
....kabla ya misaada tuliishi vipi?!!25% ya bajeti ya tanzania inategemea misaada ya wazungu, wakikata misaada tutaishi vipi?
In political critics ,one can say anything against the opponent.....Trump ni egoist mwenye madaraka na umaarufu, kuwa kwake yupo juu muda huu hakuondoi ukweli wowote wenye kuyahusu maisha yake mpaka kufikisha miaka 79.
Msikilize Tom Bolton aliyekuwa kwenye baraza lake la mawaziri namna anavyomuongelea jinsi anavyoiharibu foreign policy ya USA.
Tatizo letu wabongo ni kuziamini hizi habari za whatsapp na kuingia kwenye ushabiki maandazi wa siasa za kidunia.
Huku kwenye Maralia na Mpox...? Tena walete specifically Tanzania kwenye Taifa la machawa. Wakutane na Stive Nyerere na MwijakuMakao makuu ya UN yahamishiwe Afrika.
Alikwenda kusaini mkataba mkubwa zaidi, wao wakatanguliza akili za kibiashara wakataka asaini mkataba wa madini muda huu nchi yake ikiwa na vita kubwa dhidi ya Russia, ambao ungeitia utumwani Ukraine kwa miaka mingi ijayo.Sasa kama zelensky hakutaka kusaini mkataba alienda marekani kufanya nini?
Yaani USA itegemee pesa za kwenye vikao 🤣🤣vNew York ilikuwa inafanya biashara sana wakati wa vikao vya UNGA na mahoteli yalikuwa yakiingiza fedha nyingi sasa watu wa New York watakuwa wamepoteza biashara aisee hivi huyu Trump bado anafanya biashara za Hoteli?
Kwa Tanzania Arusha ndio kitovu Cha office za kimataifa ,dar ni jiji la kibiashara mikoa mingine yote ni wasindikizajiArusha haina hadhi labda yaamishiwe Kigali
Dar jiji au kichaka kilichochangamka😁😁Kwa Tanzania Arusha ndio kitovu Cha office za kimataifa ,dar ni jiji la kibiashara mikoa mingine yote ni wasindikizaji