Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Duh kwa hiyo hapo kidume lazima uwe unaingiza kama mil 10 hivi
 
Kwa hiyo mwana mpotevu amejirudisha?

Kuna wanaume mbingu zinawaheshimu sana
 
Turampet kawashika watu pabaya ata ikija kurudi haitakuwa uSAID ILE ile itakuwa yenye ka ubahili
Kabisa hata ikirudi itakuwa haina tena marupu rupu kama ilivyokuwa awali, kwanza hata budget yake itakuwa ni ndogo sana maana imegundulika pesa inayotumika ni kama 30% ya fungu zima linalotoka na zilikuwa zinaanzia kupigwa panga huko huko marekani..
 
Wanaume wengine sawa tu na witches, Ngoja uone Ukuu wa Mungu atakavyomuinua. Tunaogopa kufa tu hayo mengine ni mbwembwe tu
Ukuu wa Mungu hauwezi kumuinua mwanamke aliyekiuka maagizo ya Huyo Mungu mwenyewe...

"Enye wanawake watiini waume zenu, na nyie wanaume wapendeni wake zenu"

Yeye kadharau mpaka hilo agizo la Mungu kwa kushindwa kumtii kumewe kwa sababu ya kajimshaara ka 7 figures za kibongo halafu Leo hii etii Mungu huyo huyo ndio amuinue?? Hakuna kitu kama hicho...

Wanawake huwa mnaishi kwa kufuata willing za shetani kwenye ndoa zenu halafu mkipata matatizo ndio mnaanza kumkubuka Mungu na kumtaka awanusuru kwenye shida zenu binafsi?? Hakuna Mungu wa hivyo...

Kwanza mimi namshangaa sana huyu jamaa kuendelea kuishi na huyo mwanamke humo ndani, yaani huu ulikuwa ndio muda wa kumuacha huyo mke wake hili akome kabisa..!!

Ana bahati sana hajakutana na mwanaume mwenye roho nyeusi kama mimi.
 
Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Uchakavu wa mtu inategemea lishe yake, na mastress anayokuwa nayo ila akijitunza vizuri hata akipata mimba baada ya miezi6 kujifungua hachakai ng'o
 
Uchakavu wa mtu inategemea lishe yake, na mastress anayokuwa nayo ila akijitunza vizuri hata akipata mimba baada ya miezi6 kujifungua hachakai ng'o
Ahhaaa unamtetea mwenzio sio? au na wewe ndio walewale wanaobagaza wenza wao kwa sababu ya vipato vyao, wacha hayo mambo mdada
 
Mama anarudi kazini, jamaa yetu anarudi tena kwenye taabu yake ya kulingishiwa uke! Na hivi mama amesoma meseji zake humu ndani cha moto atakiona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…