Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Sio kasitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
 
Anakuchora huyo akipata tena ajira ya maaana dhararu zinarudi kwa Sasa na wewe onesha msimamo kama mwanaume ACHA kujiweka chini tayari ameshaonesha makucha huyo
 
Sio kashitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
Mungu hamtupi mja wake angalau sasa narudi na mkate nyumbani, njia ya kuelekea msalani haioti majani
 
Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Epige na yass aka 0717 mix atakuheshim milele.

Ukipiga mtanange hakikisha dole gumba ninasalimia yas mix
 
Anakuchora huyo akipata tena ajira ya maaana dhararu zinarudi kwa Sasa na wewe onesha msimamo kama mwanaume ACHA kujiweka chini tayari ameshaonesha makucha huyo
Sijiweki chini mkuu sasa hv heshima imerudi na majukumu yake kama mwanamke anayatekeleza vyema
 
Hapana shehe,namanisha tabia ya mtu kubadilika ni ngumu sana maana yake kama ulikuwa unafua akirudi tena job itakuwa mara mbili yake.
Nilimanisha hivo kaka
Sijui kama atarudi kulekule lkn najua kuna kitu atajifunza
 
Kwahiyo unashauri nn?
Muheshimu Zaidi ya alivyokuwa na KAZI mfanye kama mpya usiishi kwa kukumbuka makosa yake ongeza care binadamu Wana Tabia ya aibu pale wanapofanyiwa mema kwa watu waliowafanyia mabaya Sasa wewe kuwa tofauti na matarajio yake Fanya kama hajawai kukukosea lolote mfanye wa Thamani pia na wewe ongeza juhud mwanamke asikuzidi kipato daima
 
You have a point comrade.
 
Msichukulie poa hii issue, zaidi ya trillion 1.5 za USAID zilikuwa zinaingia kwenye Economy ya Tanzania kila mwaka, biashara nyingi sana zitafungwa na maelfu ya watu watapoteza kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…