Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Mwenzio amesoma mkuu atapata kazi nzuri tu hutasahau! Na huu ujinga wako sasa hivi hapa jukwaani anausoma! Halafu hii tabia ya kutuambia sisi ni mawifi wa mkeo umeitoa wapi?
 
Mwenzio amesoma mkuu atapata kazi nzuri tu hutasahau! Na huu ujinga wako sasa hivi hapa jukwaani anausoma!
Kwamba mm sijasoma au vp, kwanza aliyekwambia kasoma kunizidi mm ni nani? kama anasoma ujumbe huu ndio vizuri maana anasoma na michango positive ya wachangiaji wengine abadilike
 
Kwamba mm sijasoma au vp, kwanza aliyekwambia kasoma kunizidi mm ni nani? kama anasoma ujumbe huu ndio vizuri maana anasoma na michango positive ya wachangiaji wengine abadilike
Inawezekana umeungaunga mkuu ndiyo maana una ka mshahara ka digit 6! Lakini mkuu usije matumaini sana maana Trump hana ubavu wa kuiua USAID!
 
Kwa hiyo akipata kazi nyingine ya seven figure na wew ukapoteza kibarua chako unarudi tena utumwani (vicious circle). Toka usingizini.
 
Itumie hii nafasi kumpa makavu yake sasa
 
Itumie hii nafasi kumpa makavu yake sasa
Sasa hv me najipakulia tu minyama kusema ukweli sikuwahi kumfaidi wifi yenu kipindi chote nikiwa jobless na yy akiwa job, angalau sasa hv ile taste ya ndoa naiona, heshima fulani hv ya baba wa nyumba inakuja.

Kweli trump amejua kuniheshimisha
 
Ndoto za abunuwasi
 
Fala we we
 
Fala we we
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…