Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kama ana sura, tako na shape atapata kazi fasta. Waajiri wengi hupenda hivyo vitu kupendezeshea ofisi zao.Na mimba atabeba mfululizo sitaki ujinga tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana sura, tako na shape atapata kazi fasta. Waajiri wengi hupenda hivyo vitu kupendezeshea ofisi zao.Na mimba atabeba mfululizo sitaki ujinga tena
Alikuwa analishwa ndio maana akawa anafulishwa hadi vyupi na kunyimwa mbunye😂,,,Wanawake ni viumbe hatari sana kipindi ukiwa unatubu wanaweza kukufanya kama dekio tu. Usiombe uwe unasota na mke ana mishe zake.Sio kasitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
Alikuwa anakuona ng'ombe tu 😀 ila wanaume wenzio wanaompa Lunch ofisini ndio vidume. Kikubwa endelea kujimegea tunda la mti wa kati hilo kabla hajapata chaka jingine.Mimi sijui mkuu kama kuna boss alikuwa anamkula au vp siwezi kulisemea ila ninavyokwambia alikuwa kiburi na jeuri sn
Hahahahah muda wa kumsomesha namba umewadia😁,,,Waisilamu tuna msemo wetu "Kamata Din Tudan".Nutamudu tu mkuu, way back kabla magu hajafanya uharibifu na kabla yeye kuwa wakala wa USAID mm ndio nilikuwa naleta mkate mkuu na amani ilikuwepo nyumbani, kwahiyo sioni shida wkt huu kikubwa heshima iwepo tu, sema nn naye awe mvumilivu tu vi matukio vya hapa na pale ajiandae kukabiliana navyo kwani wkt ananipitisha msotoni kuna wenzake nje huko walikuwa wananionea huruma, so goes around comes around
Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Kama hujawahi kuishi na mke anayecheza mchezo wa laki 7 kwa mwezi na bado anabadilisha mawigi na kucha kila weekend na shopping kila baada ya week 2 bila kukutegemea wewe hapo bado hujasema. Mbaya zaidi uwe unaishi nae na huna mchongo unaweza kufa kwa stress.Dah unafurahia mkeo ubavu wa kushoto wa kufa na kuzikana kupoteza kazi?? Haiko sawa mzee kuna sehemu unapwaya kwenye mamlaka yako ya ki mume humo ndani. Ilitakiwa udhibiti hizo dharau tangu uko jobless, wewe unatia yeye anatiwa..act like mtiaji basi
Unajipakulia kama boss lilivyokuwa linajipakulia kipindi uko lockup! Mapenzi ya kazini huwa ni balaa, mara mmebaki wawili mnagalagazana kwenye makochi, siku zingine kwenye meza!Sasa hv me najipakulia tu minyama kusema ukweli sikuwahi kumfaidi wifi yenu kipindi chote nikiwa jobless na yy akiwa job, angalau sasa hv ile taste ya ndoa naiona, heshima fulani hv ya baba wa nyumba inakuja.
Kweli trump amejua kuniheshimisha
Pole sana,ila wote sio wifi,ni shemeji mkuu!Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Ainyanyukie na sturi!Ichape sana kupoza machungu
Wewe jamaa!Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Ausio bhanaAinyanyukie na sturi!
aitandike kweli kweli afidie yote yaliyo pitaIchape sana kupoza machungu
Siwezi sema haupo sahihi lkn wacha tuoneWewe jamaa!
Ulimuomba mungu msamaha Kwa kuanzisha uhusiano na mtu asie sahihi!!?
Huna ndoa mkuu!ilivunjika kipindi unanyimwa unyumba !nakuibia siri!Mwanamke akikunyima unyumba tu Ndoa imevunjika hapo hapo!haihitaji talaka ya mahakama!
HUYO SIO MKEO ,ULICHUKUA MKE WA MTU!OA TENA IKIBIDI!HUYO SIO MKEO!USIJIPE MATUMAINI YEYOTE COZ MAISHA NI MILIMA NA MABONDE!ATAKUJA TENA KUKUTESA KWA MARA NYINGINE KWA SASA AMEKUA SLEEPING GIANT!!
Tupo tumejaa huku Liwale...Tupo wengi mnoWanaume kama nyie mnapatikanaga wapi? Yaani hadi kyupi yake umefua😅😅
Hahaha sijui kama ilikuwa hivyo, all in all ni muda wng sasa wa kujipakulia minyamaUnajipakulia kama boss lilivyokuwa linajipakulia kipindi uko lockup! Mapenzi ya kazini huwa ni balaa, mara mmebaki wawili mnagalagazana kwenye makochi, siku zingine kwenye meza!
Pia anaweza kuwa wifi kwako acha makasiriko mkuuInaonekana huu uzi Umetaka tu wadada wasome, sisi wakaka na wazee hatuna mawifi, tuna Shemeji; Ngoja hao Wadada wako uliokusudia wasome wakupe Maoni yao!
Uzi Mzima unatuita wanawake; hauna Adabu! Ndo maana ulikuwa unafua chupi pumbavu!
Na funga na kuomba huyo apate kazi akunyoshe tena maana hauna Adabu kwa wanaume wenzako!
Inaonekana washauri wako wakubwa ni wanawake!!!!!
- wifi yenu
- wifi yenu
- wifi yenu!!!!!!
Shenzy wahedi!
Pakua mwanangu! Hata sasa hivi kabla hujaenda kazini pakua! Saa 6 tena urudi home upakue!Hahaha sijui kama ilikuwa hivyo, all in all ni muda wng sasa wa kujipakulia minyama
Kila siku tunajifunza kitu mkuuBado huna mke wa ukweli mkuu, Yani mpaka Trump aingilie kati ndoa yako bado unaona una mke
Kweli mkuuPole na Hongera..Wanawake siku zote wanaishi kwa mahesabu kama ulikuwa hujui, ukiona mwanamke anakuonesha jino lake la mwisho ujue kuna kitu kipo vizuri ndani, kinyume chake kuna kitu hakija kaa sawa..ushauri fanya yako kwa faida yako ya baadaye nasio kumfurahisha mwanamke.