Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Sio kasitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
Alikuwa analishwa ndio maana akawa anafulishwa hadi vyupi na kunyimwa mbunye😂,,,Wanawake ni viumbe hatari sana kipindi ukiwa unatubu wanaweza kukufanya kama dekio tu. Usiombe uwe unasota na mke ana mishe zake.
 
Nutamudu tu mkuu, way back kabla magu hajafanya uharibifu na kabla yeye kuwa wakala wa USAID mm ndio nilikuwa naleta mkate mkuu na amani ilikuwepo nyumbani, kwahiyo sioni shida wkt huu kikubwa heshima iwepo tu, sema nn naye awe mvumilivu tu vi matukio vya hapa na pale ajiandae kukabiliana navyo kwani wkt ananipitisha msotoni kuna wenzake nje huko walikuwa wananionea huruma, so goes around comes around
Hahahahah muda wa kumsomesha namba umewadia😁,,,Waisilamu tuna msemo wetu "Kamata Din Tudan".
 
Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.

Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.

Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,


Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.

Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi

Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.

Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,

Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.

kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.

God bless America, God bless donald trump.

Inaonekana huu uzi Umetaka tu wadada wasome, sisi wakaka na wazee hatuna mawifi, tuna Shemeji; Ngoja hao Wadada wako uliokusudia wasome wakupe Maoni yao!

Uzi Mzima unatuita wanawake; hauna Adabu! Ndo maana ulikuwa unafua chupi pumbavu!

Na funga na kuomba huyo apate kazi akunyoshe tena maana hauna Adabu kwa wanaume wenzako!

Inaonekana washauri wako wakubwa ni wanawake!!!!!

  • wifi yenu
  • wifi yenu
  • wifi yenu!!!!!!

Shenzy wahedi!
 
Dah unafurahia mkeo ubavu wa kushoto wa kufa na kuzikana kupoteza kazi?? Haiko sawa mzee kuna sehemu unapwaya kwenye mamlaka yako ya ki mume humo ndani. Ilitakiwa udhibiti hizo dharau tangu uko jobless, wewe unatia yeye anatiwa..act like mtiaji basi
Kama hujawahi kuishi na mke anayecheza mchezo wa laki 7 kwa mwezi na bado anabadilisha mawigi na kucha kila weekend na shopping kila baada ya week 2 bila kukutegemea wewe hapo bado hujasema. Mbaya zaidi uwe unaishi nae na huna mchongo unaweza kufa kwa stress.

Mwanamke wa kibongo akimudu kushika million 2 yake tu kila mwezi ndoa lazma iwe inamtetemo wa hatari. Hapo ni roho mtakatifu awe ndani yake kuepusha kiburi na dharau kali juu ya mume.
 
Sasa hv me najipakulia tu minyama kusema ukweli sikuwahi kumfaidi wifi yenu kipindi chote nikiwa jobless na yy akiwa job, angalau sasa hv ile taste ya ndoa naiona, heshima fulani hv ya baba wa nyumba inakuja.

Kweli trump amejua kuniheshimisha
Unajipakulia kama boss lilivyokuwa linajipakulia kipindi uko lockup! Mapenzi ya kazini huwa ni balaa, mara mmebaki wawili mnagalagazana kwenye makochi, siku zingine kwenye meza!
 
Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.

Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.

Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,


Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.

Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi

Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.

Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,

Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.

kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.

God bless America, God bless donald trump.
Pole sana,ila wote sio wifi,ni shemeji mkuu!
 
Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.

Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.

Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,


Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.

Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi

Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.

Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,

Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.

kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.

God bless America, God bless donald trump.
Wewe jamaa!

Ulimuomba mungu msamaha Kwa kuanzisha uhusiano na mtu asie sahihi!!?

Huna ndoa mkuu!ilivunjika kipindi unanyimwa unyumba !nakuibia siri!Mwanamke akikunyima unyumba tu Ndoa imevunjika hapo hapo!haihitaji talaka ya mahakama!

HUYO SIO MKEO ,ULICHUKUA MKE WA MTU!OA TENA IKIBIDI!HUYO SIO MKEO!USIJIPE MATUMAINI YEYOTE COZ MAISHA NI MILIMA NA MABONDE!ATAKUJA TENA KUKUTESA KWA MARA NYINGINE KWA SASA AMEKUA SLEEPING GIANT!!
 
Wewe jamaa!

Ulimuomba mungu msamaha Kwa kuanzisha uhusiano na mtu asie sahihi!!?

Huna ndoa mkuu!ilivunjika kipindi unanyimwa unyumba !nakuibia siri!Mwanamke akikunyima unyumba tu Ndoa imevunjika hapo hapo!haihitaji talaka ya mahakama!

HUYO SIO MKEO ,ULICHUKUA MKE WA MTU!OA TENA IKIBIDI!HUYO SIO MKEO!USIJIPE MATUMAINI YEYOTE COZ MAISHA NI MILIMA NA MABONDE!ATAKUJA TENA KUKUTESA KWA MARA NYINGINE KWA SASA AMEKUA SLEEPING GIANT!!
Siwezi sema haupo sahihi lkn wacha tuone
 
Unajipakulia kama boss lilivyokuwa linajipakulia kipindi uko lockup! Mapenzi ya kazini huwa ni balaa, mara mmebaki wawili mnagalagazana kwenye makochi, siku zingine kwenye meza!
Hahaha sijui kama ilikuwa hivyo, all in all ni muda wng sasa wa kujipakulia minyama
 
Inaonekana huu uzi Umetaka tu wadada wasome, sisi wakaka na wazee hatuna mawifi, tuna Shemeji; Ngoja hao Wadada wako uliokusudia wasome wakupe Maoni yao!

Uzi Mzima unatuita wanawake; hauna Adabu! Ndo maana ulikuwa unafua chupi pumbavu!

Na funga na kuomba huyo apate kazi akunyoshe tena maana hauna Adabu kwa wanaume wenzako!

Inaonekana washauri wako wakubwa ni wanawake!!!!!

  • wifi yenu
  • wifi yenu
  • wifi yenu!!!!!!

Shenzy wahedi!
Pia anaweza kuwa wifi kwako acha makasiriko mkuu
 
Pole na Hongera..Wanawake siku zote wanaishi kwa mahesabu kama ulikuwa hujui, ukiona mwanamke anakuonesha jino lake la mwisho ujue kuna kitu kipo vizuri ndani, kinyume chake kuna kitu hakija kaa sawa..ushauri fanya yako kwa faida yako ya baadaye nasio kumfurahisha mwanamke.
 
Pole na Hongera..Wanawake siku zote wanaishi kwa mahesabu kama ulikuwa hujui, ukiona mwanamke anakuonesha jino lake la mwisho ujue kuna kitu kipo vizuri ndani, kinyume chake kuna kitu hakija kaa sawa..ushauri fanya yako kwa faida yako ya baadaye nasio kumfurahisha mwanamke.
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom