Trump apewe nuclear codes

Mkuu ukitaka kuelewa kwa nini analalamika, nenda katafute source aliyoipata hiyo habari, isome na uilewe afu itafsiri kwa lugha nzuri ya kiswahili, kisha ipost humu afu unitag. Ukiona hayo yote au mojawapo huwezi kulifanya basi jua hiyo ndo sababu inayomfanya The bold alalamike.
 
Hiyo kazi anayoclaim anayo patent, copyright? Isije kuwa kama ile kujiita simba?

Nahitaji The bold atuoneshe registration ya hiyo kazi yake kabla sijaanza kumsaidia kutoa povu pamoja naye.

Maana povu analotoa sio la nchi hii
 
Sipendi kuona MTU akitetea haki yake.alafu kuna watu wanampinga.jamaa alikuwa sahihi kulalamika.kama mleta mada angeileta hii mada kwa kiingereza jamaa asingelalamika.ila jamaa amekopi kitu cha mwenzie.alaf amekaa kimya sio fair.
Hata hao wanaomlalamikia The bold kwa kulalamika kwake, wangetuletea basi hiyo ya ki english ili waonekane hata wana point robo, lakini wamekalia kulalamika tu bila sababu za msingi.
 
Ukitaka kujua kama ni big deal au sio big deal, siku ukiwa chuo hasa chuo kikuu either degree au master, copy reseach ya mtu bila kucredit uliyemcopy, hapo ndo utajua kama ku copy ni big deal au small deal. Tena atakayekutoa machozi sio aliyeandika hicho ulichocopy bali aliyegundua kuwa umecopy somewhere tena kwa mtu ambaye hata yeye hajawahi kumuona.
 
Sina chuki yoyote usilete mapenzi kwenye maswala ya msingi ,
Mimi silali naye kitandani huyo kwamba kila anachosema lazima nikubaliane naye
Ya kwamba kwa kuwa niffah k yake inakuwa operated daily na mkuu The Bold basi kila kisemwacho ni ndioooooooooooo kama wale wabunge wa wanaopata command kutoka Lumumba
 
Mkuu Kama uko Bar ita waitress akupe kinywaji ntapita kulipa, jamaa ni mbanafsi too much utadhani hizi makala hajazitoa Internet na kuzitafisiri tu
 
Kwa hiyo hata the bold anakopy sehemu na kututafsiria sisi wavivu si ndio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana wengine hata hatuyajuiii
 
Kuna vitu navichunguza kubaini uhusiano wako na The Bold, kuna fact naikosa ili kuhitimisha kuwa wewe ndio yeye
 
Na tumejua rangi halisi ya mkuu the bold, kitabia cha Leo alichokionesha ni Sawa kabisa na ulivyosema
 
Halafu akishapewa ili iweje!? Acha mawazo mgando
 

Mkuu wewe inaezekana ulikuwa na nia njema tu ya kumchangia The bold ili anapoandaa makala zake awe anapoza hata kwa sharubati lakini kitendo cha kuanzisha group na wengine kulipia ili wapate makala mie naona kinanyima fursa ya wale wasio na fedha/shekeli kupata hizo makala.

Na huu ndiyo ugomvi unaoonekana humu, wengine wanabeza kwamba wanazijua hizi makala lakini kwanini nao hawaziweki humu ili watu wazisome pia? Lakini hawa wanaona tu kuwa wamekosa hiyo fursa ya kuendelea kusoma makala ambazo sasa zinalipiwa huko kwa group.

Mie sio muumini wa fedha lakini ni MUUMINI WA UTU NA HAKI na nafahamu kuwa fedha sio kila kitu katika maisha ya binadamu.

Ushauri wako wa kuchangia fedha umeleta tafrani humu sasa kwani kama shida ya The bold ni pesa mie nipo tayari kumchangia ili aendelee kutuletea makala humu.
Kupitia makala zake tunajifunza na tunaburudika.
 
Kwa hiyo hata the bold anakopy sehemu na kututafsiria sisi wavivu si ndio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana wengine hata hatuyajuiii

Oh yeah...hayo mambo yapo kwenye public domain [kiasi fulani tu ambacho wanaweza kuachia/ kuweka hadharani].

Ona kwa mfano hii documentary ya History Channel....


Cheki hiki kipande cha PBS News Hour...


MSNBC majuzi tu hapa wameliongelea hilo la nuclear codes...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…