Kwanza mimi sina wivu na
The bold namkubali
Lakin leo sija muunga mkono, kwani hizi info zipo hata wikipeidia na kwenye websites za congress au za ikula ya Marekani, na dogo alicho kosea ni kuto sema tu labda imetoka kwa the bold, ila otherwise hizo information ni za public, na acknowldge katumia muda wake kuziunganisha na kutafsiri but, kwa kuwa haja i publish popote, na hata yeye haja acknowldge source zake ni zipi, ni jambo la kawaida tu. Ingekuwa ni hadithi mnyama umejiumiza kuitunga hapo ningesema uko sahihi, au ungekuwa uli take time ukaenda US ukafanya uchunguzi hapo ningesema pia its a big deal.
Mbona watu wanatumaga makala za washington post humu au NY times Na hawasemi, hii jf ni public realm kama kuna knowldge wacheni watu tushare, labda tu anaye share aseme kaitoa kwako.
Halafu kwa the bold na mashabiki wake na wapenzi wake, the bold naye anaweza kukosolewa tu. Na si kila anaye mkosoa ni hater. Kubalini kushangiliwa na kuzomewa pia ndio life.
Naruhusu masahihisho.