Trump apewe nuclear codes

Mtukufu...??

Basi sawaa wewe wasema tusije anza lugha mbaya mida vyombo hii



Pambaneni.na hali yenu nami.napambana na.hali yangu



Sijui hii nakala ikiisha mtasem jamaa kakcopy

Anyway
Uzi wenyewe ushaharibika anajadiliwa the bold badala ya kichwa uzi...
 
pole dear naona watu wanamuatack shemela kupitia wewee

binadamu tuna husda

ama kweli huu msemo'nilimuomba Mungu aniweke mbali na maadui zangu ghafla nkaanza kupoteza marafiki zangu kumbe kweli'

haya ni machache mengi yaja
 
Nifah I wanna tell u this,hv ndivyo watu tulivyo machoni na tofauti I know its not the first time to be dissapointed with jf members..right??!!

unajua mwenyewe vzr!!

hebu shikaneni imara Jambo la kheyr lazima liwe na Shari!
 
Na wewe uliandika ulipoitoa?japo hii si makala.ni post kama post nyingine.makala unatakiwa ukae chini utulie.ndo uandike.
Ndio maana nilvo ikuta fb skutoa povu. Nilichill tu hayo ni maarifa tuna share.
Its alryt guyz, hebu tuache maisha yaendelee
 
Ah ah ah ah ah ah we jamaa fala kweli umewapa za uso huku unatabasamu..


Wasipo helewa na. Hapa basi wanabeef binafsi

Ila nifan wengi walikuwa wanamtaman naisi...
t[emoji101] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndio maana nilvo ikuta fb skutoa povu. Nilichill tu hayo ni maarifa tuna share.
Its alryt guyz, hebu tuache maisha yaendelee
True.na tumuache the bold afanye kazi yake.Sie wengine tubaki wasomaji tupunguze ujuaji.bhas poa.
 
In one of your stories The Bold (sikumbuki vizuri ni ipi) uliwahi kuandika kuwa ukitaka kumficha mtu kitu hasa Muafrika ....weka kitu katika maandishi..
Sasa kama wewe huwa unazipata hizi stories( na ninaamin kuwandiko unakozitoa)Google,Wikipedia na vyanzo vngn....accept kuwa hizo sources are universal and open to every one....
Nasema haya sababu there is no any copy right aspect yoyote ambayo ume-acknowledge....hivi vitu vipo na vmeshaandikwa years back...they are not original piece of work from you....unless otherwise this is just a pladgiarism like any other pladgiarism.....
Kama unafikiri kuwa amekuibia kazi yake basi kuna kitu lzm kipo nyuma...BTW i like your stories though nakuwa nmeshazpata from other sources
 
A lovely gentle comment.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…