Mtukufu...??Heh hehee! nilizungukwa demu na huyo jamaa? demu yupi huyo?
Sijawahi kufikiria kuhusu demu wa JF hata siku moja, kama yupo a screenshot PM aweke hapa.Maana nadhani ndo zitakuwa fikra za wengi.
Cha kuwaambia ni ''Muwe mnamshauri huyo mtukufu wenu'' panapotokea pa kusifiwa au kukosolewa apokee kwa mikono miwili.
pole dear naona watu wanamuatack shemela kupitia weweeAiseeeeeeeee sikuwahi kufikiri kama nyie watu mna chuki kubwa kiasi hiki!
Japo hatufahamiani lakini tumekuwa tukiishi kwa upendo humu kwa kuquoteana na kupeana likes ktk threads mbalimbali kwa furaha kumbe hizi ndio rangi zenu halisi?
Suala la hii mada na case ya kucopy makala kutoka group la WhatsApp linahusiana vipi na mimi au hadi mfikie kumuambia The bold kajawa kiburi cha wanawake?
Hii ni mara ya kwanza yeye kulalamikia suala la makala zake kukopiwa?
Lakini kama ilivyo ada ya mja kunena hamkosi sababu.
Malalamiko yake mengine yaliyopita wapo waliosema anatafuta kick,hivyo hata sasa baada ya yeye kuwa nami sababu zimekuwa mimi ndiye niliyetumia ID yake hapa,anatumia makala zake kama chambo,anajitafutia credits za Ke.
Poor you guys,I used to respect you nikidhani ni watu wa maana kumbe ni wapuuzi fulani wenye wivu na chuki kali.
Mngekuwa maGT wa ukweli mngelumbana hoja kwa hoja bila kuingiza masuala mliyoyaingiza.
Mmejishushia heshima na nimewadharau kupita kiasi.
Hayakuwa malumbano ya hoja bali personal attack.
Nifah I wanna tell u this,hv ndivyo watu tulivyo machoni na tofauti I know its not the first time to be dissapointed with jf members..right??!!Mkuu nimeshangaa sana,mtu anatoa malalamiko yake wanakuja watu wanamshambulia na kumkejeli.
Hata hivyo hii imekuwa nafasi nzuri ya kuwatambua wenye chuki na wivu waliokuwa wanajiweka kama watu wema.
Hakika ubaya haujifichi,na unafiki hauna siri...utajidhihiri wakati ukifika.
Nilidhani na nimekuwa nikiamini JF ni ya watu waliopevuka kiakili kumbe ni tofauti kabisa.
So sad indeed.
Nimekuwa dissapointed sana, bora wangekuwa members wengine sio hao wawili niliokuwa nikiwaona kama watu makini.
Nilisha anzaUnaanza lini kuandika hizi makala?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmaaa!!!!!
Na wewe uliandika ulipoitoa?japo hii si makala.ni post kama post nyingine.makala unatakiwa ukae chini utulie.ndo uandike.Nilisha anza
Huwa naandika nikitaka
Nenda hapo
Electoral votes na namna rais wa Marekani anavyopatikana
Na kuna jamaa ali ipeleka fb sija wahi mind.
Ndio maana nilvo ikuta fb skutoa povu. Nilichill tu hayo ni maarifa tuna share.Na wewe uliandika ulipoitoa?japo hii si makala.ni post kama post nyingine.makala unatakiwa ukae chini utulie.ndo uandike.
t[emoji101] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ah ah ah ah ah ah we jamaa fala kweli umewapa za uso huku unatabasamu..
Wasipo helewa na. Hapa basi wanabeef binafsi
Ila nifan wengi walikuwa wanamtaman naisi...
True.na tumuache the bold afanye kazi yake.Sie wengine tubaki wasomaji tupunguze ujuaji.bhas poa.Ndio maana nilvo ikuta fb skutoa povu. Nilichill tu hayo ni maarifa tuna share.
Its alryt guyz, hebu tuache maisha yaendelee
asanteHahahaa....pole.
Sawa nduguTrue.na tumuache the bold afanye kazi yake.Sie wengine tubaki wasomaji tupunguze ujuaji.bhas poa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenisomeshaaaa????
Jamanii wengine hatujuii huko mwacheni bold atutafasirie tuSawa ndugu
Usku mwema, tutakutana kwenye mijadala mingine. Ngoja nikale ugali now
HahahaJamanii wengine hatujuii huko mwacheni bold atutafasirie tu
In one of your stories The Bold (sikumbuki vizuri ni ipi) uliwahi kuandika kuwa ukitaka kumficha mtu kitu hasa Muafrika ....weka kitu katika maandishi..Hahahaaa ndo ivo mkuu, watu wanatengeneza interests hata sehemu isiyokuwa na umuhimu, eti wanatumia fursaπππππππ.......Hizo story za google awatafsirie hao hao aliowateka na wasio na uwezo wa kuzisoma kutoka vyanzo vingine.
Halafu bila aibu kabisa anatokwa povu,.........huyu jamaa kajiondolea credibility aliyokuwa nayo.
Credit source.Kwan kuna ubaya gan ????
A lovely gentle comment.....Uandishi ni arts Mkuu
Japo mtu ka copy ambayo nawe ume copy toka reliable source , si vizuri kuwatukana na kuona wenzako ni [ b]ndezi[/b] , jitahidi kuheshimu mawazo ya watu hata kama wamekuchallenge
Huwezi fahamu uwezo wa mtu JF kwa comments zake wengine wako Ku comments pumba lakini majukumu yao katika taifa hili ni mazito na wanajua kila kitu ukiandikacho hata kabla ya mapinduzi ya mitandao Tanzania
Hivyo ,kubali challenge ,
Nakubali unaandika vizuri lakini kubali unachotafsiri kila mtu aliyeenda shule anaweza
Ila uandishi ni Art na wewe hapo umemudu