Trump apinga Marekani kununua umeme kwa nchi yoyote.

Trump apinga Marekani kununua umeme kwa nchi yoyote.

Ushirikiano wa nini kama akiamua kutawala kwa mabavu anaweza ?
Hawezi. US Sasa Ina deni la kukata na shoka na wao wanajua sana badala ya kuwekeza kwenye miundo mbinu na viwanda wao ilikuwa ni vita tu kutoka moja kwenda nyingine na zote mwishowe hawakufaidika na wakachoka na wakatimuliwa kutoka hizi nchi. Ya mwisho ni Afghanistani baada ya kupoteza $ dollar trillion mbili na nusu wakaamua kukimbia na kuwaachia Taliban.
 
Hawezi. US Sasa Ina deni la kukata na shoka na wao wanajua sana badala ya kuwekeza kwenye miundo mbinu na viwanda wao ilikuwa ni vita tu kutoka moja kwenda nyingine na zote mwishowe hawakufaidika na wakachoka na wakatimuliwa kutoka hizi nchi. Ya mwisho ni Afghanistani baada ya kupoteza $ dollar trillion mbili na nusu wakaamua kukimbia na kuwaachia Taliban.
Mkuu, dollar ya Marekani ndio inaitwa "global reserve currency", kusema ana deni kubwa wala sio ishu maana anaweza kuprint pesa na akalilipa bila wananchi kubebeshwa mzigo wa Kodi maradufu
Mazingira ya mmarekani kiuchumi kutokana na thamani ya pesa yake unaweza kusema ana "infinity money glitch"
 
Baada ya Canada kujibu vikwazo vya ushuru vilivyoweka na Trump kwa kuongeza kiasi cha ushuru katika umeme wanaoiuzia Marekani Trump amekuwa mbogo akiuliza kwa nini Marekani inanunua umeme kwa nchi yoyote na na nani alifanya hayo maamuzi!
View attachment 3267218
Mzee Trump anataka kuigeuza nchi yake kisiwa kilichojitenga.
 
ivi inakuwaje superpower anaomba umeme kwa jirani miaka yote. na wakati huo huo ametoa misaada kwa Ukraine dola b350
Unadhani anafadhili bila kujua faida atakayopata?

Juzi kwenye kikao kilichovurugika na Rais wa Ukraine ilikuwa wasaini mkataba wa kuchimba madini muhimu kule ukraine km compasation ya misaada yake.

Nb: Hakuna Bepari anapigana vita visivyo na maslahi ya kiuchumi kwake. Katoa bilioni 350 lkn anajua atapata pengine mara tatu au nne ya hizo.

Ukitumia Mathematical reasoning unapata jibu ni hilo.

MAREKANI HAINA RAFIKI WA KUDUMU BALI INA MASLAHI YA KUDUMU.
 
Usije ukadanganyika hayo ni maamuzi ya peke yake. Huko sio Wakanda.
hata mwehu mmoja huko Urusi alikuwa na kiburi cha kujitenga na baadhi ya majimbo ya USSR ila kilitokea nini baadae , walikuja kuwa kama msumbiji mpk USA ilipoanza isaidia , Trump anaipeleka huko USA
 
Mkuu, dollar ya Marekani ndio inaitwa "global reserve currency", kusema ana deni kubwa wala sio ishu maana anaweza kuprint pesa na akalilipa bila wananchi kubebeshwa mzigo wa Kodi maradufu
Mazingira ya mmarekani kiuchumi kutokana na thamani ya pesa yake unaweza kusema ana "infinity money glitch"
sasa hv watu hawatumii huo uchafu
 
Ndo hivyo wamerekan wajiandae kwa mfumuko wa bei .. hawwna advantage yoyote maana hawana viwanda labda vya F35
Ana vibaraka wa kutosha kumzalishia bidhaa cheaply, Vietnam huko , Thailand, Indonesia, Philippines etc
Ukizingua anakuulia uchumi afu nafasi Yako katika mipango yake anakaa mtu mwingine
Nchi pekee inayomuumiza mmarekani kichwa kimataifa ni China BASI
 
Back
Top Bottom