Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Na zitazidi izo nyota 😹Wataona nyota nyinigi kuliko zilizo kwenye bendera yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zitazidi izo nyota 😹Wataona nyota nyinigi kuliko zilizo kwenye bendera yao.
Mwache Jamaa AmepagawaHawana viwanda 😳😳
Shaka ondoa, we jipige maji kwa sanaaSawa bills on you tunaenda😹
SawaShaka ondoa, we jipige maji kwa sanaa
Wameshaanza kulalamika wengine hukoMpaka miaka minne iishe 🙌🏾🙌🏾
MuhimuWameshaanza kulalamika wengine huko
Trump ana shida fulani. Kwani yeye tarriffs anazowawekea haviwaathiri innocent people?Baada ya Canada kujibu vikwazo vya ushuru vilivyoweka na Trump kwa kuongeza kiasi cha ushuru katika umeme wanaoiuzia Marekani Trump amekuwa mbogo akiuliza kwa nini Marekani inanunua umeme kwa nchi yoyote na na nani alifanya hayo maamuzi!
View attachment 3267218
HII YA KUNUNUA UMEME ETHIOPIA MBONA ISHATOLEWA MAELEZO YA KUTOSHA MKUU UNATAKA UMEME USAFIRISHWE KM 1000 WAKATI HAPO KM 10 KUNA UMEME? UNAKUA UMEOKOA GHARAMA NGAPI?HATA TANGA KUNA WILAYA YA MKINGA IPO JIRANI NA KENYA UMEME WAO UNATOKA KENYA HAKUNA JIPYA HATA USA HAYO MAJIMBO YANAYOTUMIA UMEME WA CANADA SIO KUWA USA HAWANA UMEME WAMEPUNGUZA GHARAMA YA KUUSAFIRISHA WAMEANGALIA HAYO MAJIMBO KUCHUKULIA UMEME CANADA NI NAFUU ZAIDITrump anatakiwa awashauri wachawi wa maendeleo Tanzania ambao wanaona sifa kununua Ethiopia Kwa gharama kubwa wakati huohuo tunamradi mkubwa umekamilika wa JNHEPP