Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Rais Trump wa Marekani anatarajiwa kukutana na Rais Zelensky wa Ukraine, siku ya leo, ikulu ya Marekani White House.
Jana, Rais Trump akisubiria ujio wa Rais Zelensky, alimsifia kiongozi huyo kuwa ni kiongozi jasiri, na kwamba anamheshimu sana.
Rais Trump, alipoulizwa kama yupo tayari kumwomba msamaha kwa kumwita dikteta, Trump alisema kuwa kwanza haamini kama aliwahi kutamka hivyo.
Rais Trump amesema kuwa anatarajia kikao chake cha leo na Zelensky kitakuwa kikao kizuri, na kwamba mipango ya kuleta amani inakwenda vizuri.
Habari kamili toka BBC, hii hapa:
Asked by the BBC if he would apologise for recently calling him a "dictator", he said he could not believe he had said this. He also called Zelensky "very brave".
Trump was speaking after talks with UK Prime Minister Sir Keir Starmer about ending the war between Ukraine and Russia.
He predicted a "very good meeting" with Zelensky on Friday, saying efforts to achieve peace were "moving along pretty rapidly".
Jana, Rais Trump akisubiria ujio wa Rais Zelensky, alimsifia kiongozi huyo kuwa ni kiongozi jasiri, na kwamba anamheshimu sana.
Rais Trump, alipoulizwa kama yupo tayari kumwomba msamaha kwa kumwita dikteta, Trump alisema kuwa kwanza haamini kama aliwahi kutamka hivyo.
Rais Trump amesema kuwa anatarajia kikao chake cha leo na Zelensky kitakuwa kikao kizuri, na kwamba mipango ya kuleta amani inakwenda vizuri.
Habari kamili toka BBC, hii hapa:
- BBC News
Asked by the BBC if he would apologise for recently calling him a "dictator", he said he could not believe he had said this. He also called Zelensky "very brave".
Trump was speaking after talks with UK Prime Minister Sir Keir Starmer about ending the war between Ukraine and Russia.
He predicted a "very good meeting" with Zelensky on Friday, saying efforts to achieve peace were "moving along pretty rapidly".