Trump Asema Anamheshimu Sana Zelensky, ni Kiongozi Jasiri. Haamini Alimwita Dikteta

Trump Asema Anamheshimu Sana Zelensky, ni Kiongozi Jasiri. Haamini Alimwita Dikteta

Rais Trump wa Marekani anatarajiwa kukutana na Rais Zelensky wa Ukraine, siku ya leo, ikulu ya Marekani White House.

Jana, Rais Trump akisubiria ujio wa Rais Zelensky, alimsifia kiongozi huyo kuwa ni kiongozi jasiri, na kwamba anamheshimu sana.

Rais Trump, alipoulizwa kama yupo tayari kumwomba msamaha kwa kumwita dikteta, Trump alisema kuwa kwanza haamini kama aliwahi kutamka hivyo.

Rais Trump amesema kuwa anatarajia kikao chake cha leo na Zelensky kitakuwa kikao kizuri, na kwamba mipango ya kuleta amani inakwenda vizuri.

Habari kamili toka BBC, hii hapa:


  • BBC News
US President Donald Trump has said he has a "lot of respect" for Ukrainian President Volodymyr Zelensky, on the eve of their talks at the White House.
Asked by the BBC if he would apologise for recently calling him a "dictator", he said he could not believe he had said this. He also called Zelensky "very brave".
Trump was speaking after talks with UK Prime Minister Sir Keir Starmer about ending the war between Ukraine and Russia.
He predicted a "very good meeting" with Zelensky on Friday, saying efforts to achieve peace were "moving along pretty rapidly".

Na Hapa Wanamdharau Live


View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895528687787000034?t=rdnh7D-UHNIMjrUxT5ZPbA&s=19
 
Trump labda anaumwa akili. Moja ya dalili za magonjwa ya akili kwa wazee ni kusahausahau, labda kashasahau kwamba alimwita Zelensky dikteta.

Au pengine ni muongo tu anajifanya kasahau.

Yote mawili ni majanga.
🤣🤣🤣
 
Congo naye nasikia anataka atoe madini ili apate ulinzi kutoka marekani
😭😭😭😭
 

Wenzetu rangi nyeupe wako smart sana vitu wanaongelea open sana...huku kwetu ungeona tu pua ya mama imezama mezani bila kusema anachora nini...lakini Rais wa Ukraine wamewapa Boss na msaidizi wake wa USA makavu hadi wakasema hana nadhani na maneno yake hayaoneshi matumaini.
Jamaa wako live debate kabisa.
Sisi hadi mkuu wa kitongoji huko majuu anamvimbia mama yetu.
 
Kwa kilichotokea jana ni wakati muafaka sasa wa Europe kuangana na Russia ili wawe against USA.
 
Back
Top Bottom