Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Anachofanyiwa Zelensky ni kudhalilishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Trump wa Marekani anatarajiwa kukutana na Rais Zelensky wa Ukraine, siku ya leo, ikulu ya Marekani White House.
Jana, Rais Trump akisubiria ujio wa Rais Zelensky, alimsifia kiongozi huyo kuwa ni kiongozi jasiri, na kwamba anamheshimu sana.
Rais Trump, alipoulizwa kama yupo tayari kumwomba msamaha kwa kumwita dikteta, Trump alisema kuwa kwanza haamini kama aliwahi kutamka hivyo.
Rais Trump amesema kuwa anatarajia kikao chake cha leo na Zelensky kitakuwa kikao kizuri, na kwamba mipango ya kuleta amani inakwenda vizuri.
Habari kamili toka BBC, hii hapa:
US President Donald Trump has said he has a "lot of respect" for Ukrainian President Volodymyr Zelensky, on the eve of their talks at the White House.
- BBC News
Asked by the BBC if he would apologise for recently calling him a "dictator", he said he could not believe he had said this. He also called Zelensky "very brave".
Trump was speaking after talks with UK Prime Minister Sir Keir Starmer about ending the war between Ukraine and Russia.
He predicted a "very good meeting" with Zelensky on Friday, saying efforts to achieve peace were "moving along pretty rapidly".
Tena Udhalilishaji MkubwaAnachofanyiwa Zelensky ni kudhalilishwa
kwa hiyo Zele ana loseNo hiyo ni win-lose
🤣🤣🤣Trump labda anaumwa akili. Moja ya dalili za magonjwa ya akili kwa wazee ni kusahausahau, labda kashasahau kwamba alimwita Zelensky dikteta.
Au pengine ni muongo tu anajifanya kasahau.
Yote mawili ni majanga.
Tena Udhalilishaji Mkubwa
View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895528687787000034?t=rdnh7D-UHNIMjrUxT5ZPbA&s=19
Tena ka lose pakubwa sanakwa hiyo Zele ana lose
Kazi anayo
Trump ka change gia hewaniJamaa ni kama mwanamke malaya, akiona wallet imenona atakuita kila jina zuri ili tu ujae kwenye mfumo akupige
Tena Udhalilishaji Mkubwa
View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895528687787000034?t=rdnh7D-UHNIMjrUxT5ZPbA&s=19
Tena Udhalilishaji Mkubwa
View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895528687787000034?t=rdnh7D-UHNIMjrUxT5ZPbA&s=19
Nini tena kimetokea huko?🤣🤣 kilichotokea ikulu baina yao wote hawa kuamini
Nadhani atamuita tena dictator
Trump vence na zele siwametoleana mapovu 🤣🤣🤣🤣Nini tena kimetokea huko?