Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Halafu deni liko pale pale bado marekani atamdai ukraine mabilion aliyotumia wakati wa vita. Na je ulaya itamsapoti mpaka aweze kumshinda mrusi? Ulaya ikiungana na ukraine dhidi ya urusi na china itaungana na urus ndo kitaumana wakati huo mmarekani amdkaa pembeni anaangalia hiyo movie,
Hii umetoa wapi?
 
Zile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.

Tumeshajionea.
Asee hii point kubwa sana. Baada ya hii U turn iliyopigwa na US ni uhakika kwamba raisi aliyepo madarakani ndio anaamua afuafe uelekeo gani hakuna cha system wala nini.
 
Mifumo inatekeleza maagizo ya muendesha nchi mkuu Kama huku kwetu tu, akili ya aliyepo madarakani na kakikundi kake ndo wafanya maamuzi na wakitoka wanakuja wengine wanaoweza kubadili maamuzi.

Before kuna tuliokuwa tunaaminishana kuwa nchi kama USA ina mipango ya muda mrefu sana iliyoandaliwa kitaalam na wenye akili kubwa(system) na raisi ni msimamizi wa hiyo mipango tu.
Nyie wana ccm bhana 🤣🤣🤣🤣
 
Mifumo inatekeleza maagizo ya muendesha nchi mkuu Kama huku kwetu tu, akili ya aliyepo madarakani na kakikundi kake ndo wafanya maamuzi na wakitoka wanakuja wengine wanaoweza kubadili maamuzi.

Before kuna tuliokuwa tunaaminishana kuwa nchi kama USA ina mipango ya muda mrefu sana iliyoandaliwa kitaalam na wenye akili kubwa(system) na raisi ni msimamizi wa hiyo mipango tu.
Huu ujinga ulikuwa unazungumzwa sana humu, ooh nchi inaendeshwa kwa mifumo sijui mpaka congress wakubali🤣!!!
Sahizi hakuna cha Congress wala mavuzi, raisi ndiye final say popote pale duniani🤣
 
Zile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.

Tumeshajionea.
🤣🤣🤣🤣🤣 Utasikia kule mpaka Congress ipitishe, raisi hana maamuzi ya moja kwa moja bila Congress. Funzo: Raisi ndio final say hio mifumo ni porojo tu.
 
Back
Top Bottom