Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Sijawahesabu mkuuWaliorudishwa bongo toka marekani wamefika wangap mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahesabu mkuuWaliorudishwa bongo toka marekani wamefika wangap mkuu?
Hahahaha, ndo ujue watu wamekataa kuwa shithole.Kuna mwamba hapo juu anadai Wamarekani ni sawa tu na yeye mmatumbi😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Trump ndio analeta taharuki maana anapitia Code zile zile za Magufuli kumtimua DGIS wa Marekani ili kuweka mambo sawa.Hahaha, sasa hizi nywele zina uhusiano gani na serikali kama si unaleta taharuki tu?
Hata fisi hawezi kubali kama anaonekana ni mnyama wa hovyo wakati ni asili yake🤣Hahahaha, ndo ujue watu wamekataa kuwa shithole.
Hahaaha. Tushapata kete muhimu.🤣🤣🤣🤣🤣 Utasikia kule mpaka Congress ipitishe, raisi hana maamuzi ya moja kwa moja bila Congress. Funzo: Raisi ndio final say hio mifumo ni porojo tu.
Yani natamani JPM angekuwa hai ili wamatumbi wajifunze kitu kupitia yeye.Hahaaha. Tushapata kete muhimu.
Jamaa anapindua juu chini, chini juu watu wamechanganyikiwa si Ulaya, Africa, wote vululuvululu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Trump ndio analeta taharuki maana anapitia Code zile zile za Magufuli kumtimua DGIS wa Marekani ili kuweka mambo sawa.
Amelala.Yani natamani JPM angekuwa hai ili wamatumbi wajifunze kitu kupitia yeye.
Fisi ujue hajali wala hajui wengine wanamuoanaje.Hata fisi hawezi kubali kama anaonekana ni mnyama wa hovyo wakati ni asili yake🤣
Anainyoosha nchi😄Jamaa anapindua juu chini, chini juu watu wamechanganyikiwa si Ulaya, Africa, wote vululuvululu.
😂😂😂 unapiga kwenye mshono sana bro , ngoja wakubebe mzobe mzobe, utayatapiga hayo makande😂😂Fisi ujue hajali wala hajui wengine wanamuoanaje.
Ni mzungu mwenye tabia za kiafrikaNimeanza kumdharau
Mkuu kwani hapa si tunamuongelea fisi lakini? Hahaha.😂😂😂 unapiga kwenye mshono sana bro , ngoja wakubebe mzobe mzobe, utayatapiga hayo makande😂😂
kosa la Zelesky ni nini kumbuka amevamiwa na ni haki kujitetea sema sisi wa Africa tunaongwa na hisia na ushabiki hata kama Putin ana makosa mnakuwa vipofu kwake mnamhukumu mwathiriwa na kumsifia mvamizi anaepora ardhi ya watu na kuua watu wa Ukraine tujitahidi kusimamia haki na ukweliSiku ya kufa nyani miti yote huteleza... Zelensky mpumbavu atengwe ikiwezekana anyongwe.
Kailetea Marekani hasara kubwa pamoja na nchi yake
Ilidukua liniNimegundua ni Kwa nini Urusi ilidukua uchaguzi wa Marekani ili Trump ashinde
Iliudukua lini? Kamara alishindwa kwa haki kwa sababu alikiwa ashindwe tuNimegundua ni Kwa nini Urusi ilidukua uchaguzi wa Marekani ili Trump ashinde
Makubaliano ni kwamba nchi zilizo karibu na urusi zisiungwe nato ili wasisogeze silaha karibu yake.kosa la Zelesky ni nini kumbuka amevamiwa na ni haki kujitetea sema sisi wa Africa tunaongwa na hisia na ushabiki hata kama Putin ana makosa mnakuwa vipofu kwake mnamhukumu mwathiriwa na kumsifia mvamizi anaepora ardhi ya watu na kuua watu wa Ukraine tujitahidi kusimamia haki na ukweli
Poa ulaya watachangia