Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Halafu deni liko pale pale bado marekani atamdai ukraine mabilion aliyotumia wakati wa vita. Na je ulaya itamsapoti mpaka aweze kumshinda mrusi? Ulaya ikiungana na ukraine dhidi ya urusi na china itaungana na urus ndo kitaumana wakati huo mmarekani amdkaa pembeni anaangalia hiyo movie,
Kwani ukrain waliwaomba si walijitolea kwa usalama wao na wa usa pia
 
Aliyeanza kumchokoza mwenzie ni Zelenskyy mwenyewe - kwa kufunga safari kutoka Ukreni na kwenda kumpigia kampeni Kamala Harris dhidi ya Trump.

Kwa maneno mengine alikuwa anautangazia umma kwamba Trump hafai hata jino moja.

Kwa mantiki hiyo, Trump naye anamjibu - inakuwaje mtu asiyefaa leo awe bora?

Zelenskyy ni kibaraka, na daima anaburuzwa na mabwana zake wanaompangia nini afanye, lipi aachane nalo.

Jamaa anashikiwa akili, hana maamuzi yake mwenyewe.
Hakwenda kumpigia kampeini Kamala; na wewe usidakie maneno usiyojua. JD Vance anaongea uwongo na wewe unaurudia.

Zelensky alikwenda Scranton kutembelea kiwanda cha mizinga tarahe 23 September na kukuta Kamala akiwa kwenye kampeini zake huko, hivyo akaongea naye. Yeye hakusimama jukwaani kusema watu wampigie Kamala, bali ni Kamala ayesema kwenye press kuwa akichaguliwa ataendelea kuisaidianUkraine. Alipotoka huko akaenda kumtembelea Trump tarehe 28 September naye akiwa kwenye kampein New York; akaongea naye wakiwa Trump Tower.
 
apo a

hapo anaepoteza ni USA , miaka 10 mbele tutakuja elewa , Ukraine haiez poteza sababu UKRAINE ni mwanamke ambae alikuwa anagombaniwa , yaan UKRAINE ndo ilikuwa reference nan ni mbabe wa dunia , Urusi kajiongezea ushawishi duniani kwa kusimamia msimamo wake licha ya kukosea , hakuna taifa lenye kiongoz timamu litakuja msikiliza USA tena
Ww ndo unaangalia mambo kwa jicho la tatu .. ukubww wa usa huwezi kuutofautisha na Eu . Eu ikianguka usa lazima awe weak kuwenye kushinikiza vikwazo vyake
 
Putin katulia zake,mzee Trump anafyeka vichaka vyote akirudi akute uwanja uko safi.
images (1).jpeg
 
Na kujitoa kwenye misaada na mashirika ya kidunia walipanga lini? Mkuu, hapa ni Trump kaja na maono yake.
Lakini vyote alivyo vifanya vipo ndani ya mamlaka yake kwa mujibu wa katiba yao.
Tungejua kuwa Trump yuko juu ya mfumo iwapo angekuwa anafanya mambo yaliyo nje ya mamlaka yake.
 
Ukraine wapigane tu, kama watashindwa ndio uanaume huo, lakini wasiache ardhi yao ikachukuliwa kienyeji kwasababu ya vitisho vya USA.
 
Hakuna deni. Mikopo yote huwa ina documents zizosainiwa. Hata Trump hajawahi kutamka kuwa Ukraine ilikopa kitu chochote toka USA.

Mnaokoteza maneno yasiyo halisia na kuyapa uzito.

Trump alisema kuwa kama Ukraine haitaki kuipa UZA madini yake, USA inaweza kutaka ilipwe msaada ambao imeisaidia wakati wa vita.

Kama una akili timamu, tangu lini msaada ukadaiwa ulipwe!!
Mona kama unajipinga mwenyewe. Mambo yako wazi marekani anataka alipwe garama alizotumia ukraine kwa njia ya madini. Hakuna cha bure.
 
Lakini vyote alivyo vifanya vipo ndani ya mamlaka yake kwa mujibu wa katiba yao.
Tungejua kuwa Trump yuko juu ya mfumo iwapo angekuwa anafanya mambo yaliyo nje ya mamlaka yake.
OK mkuu. Sikusema ni mvunja katiba.
 
Back
Top Bottom