Hii umetoa wapi?Halafu deni liko pale pale bado marekani atamdai ukraine mabilion aliyotumia wakati wa vita. Na je ulaya itamsapoti mpaka aweze kumshinda mrusi? Ulaya ikiungana na ukraine dhidi ya urusi na china itaungana na urus ndo kitaumana wakati huo mmarekani amdkaa pembeni anaangalia hiyo movie,
Tulisema Urusi anapigana ma Marekani siyo Ukraine. Leo imethibitika.Point ya TRUMP "ANATAKA AMANI"
Wamarekani wajinga tu kama sisi wala hakuna tofautiZile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.
Tumeshajionea.
Asee hii point kubwa sana. Baada ya hii U turn iliyopigwa na US ni uhakika kwamba raisi aliyepo madarakani ndio anaamua afuafe uelekeo gani hakuna cha system wala nini.Zile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.
Tumeshajionea.
HahahaWamarekani wajinga tu kama sisi wala hakuna tofauti
Kabisa mkuu.Asee hii point kubwa sana. Baada ya hii U turn iliyopigwa na US ni uhakika kwamba raisi aliyepo madarakani ndio anaamua afuafe uelekeo gani hakuna cha system wala nini.
Nyie wana ccm bhana 🤣🤣🤣🤣Mifumo inatekeleza maagizo ya muendesha nchi mkuu Kama huku kwetu tu, akili ya aliyepo madarakani na kakikundi kake ndo wafanya maamuzi na wakitoka wanakuja wengine wanaoweza kubadili maamuzi.
Before kuna tuliokuwa tunaaminishana kuwa nchi kama USA ina mipango ya muda mrefu sana iliyoandaliwa kitaalam na wenye akili kubwa(system) na raisi ni msimamizi wa hiyo mipango tu.
Hata Magufuli mlimuita ana visasi sababu alikuwa anafanya mambo sahihi kwa wakati sahihi. Wadanganyika mshazoea propoganda za Veggies hamuwezi kuelewa viongozi wenye mamlaka from within.Trump anafanya kazi kama mwanamke Kila kitu visasi
Hahaha.Nyie wana ccm bhana 🤣🤣🤣🤣
Pointi anataka Rafiki yake Putin ashinde vita😀😀😀 angetaka amani angesitisha misaada kama hiyo kwa Israel.Point ya TRUMP "ANATAKA AMANI"
Huu ujinga ulikuwa unazungumzwa sana humu, ooh nchi inaendeshwa kwa mifumo sijui mpaka congress wakubali🤣!!!Mifumo inatekeleza maagizo ya muendesha nchi mkuu Kama huku kwetu tu, akili ya aliyepo madarakani na kakikundi kake ndo wafanya maamuzi na wakitoka wanakuja wengine wanaoweza kubadili maamuzi.
Before kuna tuliokuwa tunaaminishana kuwa nchi kama USA ina mipango ya muda mrefu sana iliyoandaliwa kitaalam na wenye akili kubwa(system) na raisi ni msimamizi wa hiyo mipango tu.
Kuna mwamba hapo juu anadai Wamarekani ni sawa tu na yeye mmatumbi😂😂Hahaha.
Kila mmoja ashinde mechi zake Mkuu...Nimeanza kumdharau
Sisi tuna rais mwanamke, anafanya kazi kama Trump?Trump anafanya kazi kama mwanamke Kila kitu visasi
Hahaha, sasa hizi nywele zina uhusiano gani na serikali kama si unaleta taharuki tu?Sahizi hakuna cha Congress wala mavuzi, raisi ndiye final say popote pale duniani🤣
Waliorudishwa bongo toka marekani wamefika wangap mkuu?Huu ujinga ulikuwa unazungumzwa sana humu, ooh nchi inaendeshwa kwa mifumo sijui mpaka congress wakubali🤣!!!
Sahizi hakuna cha Congress wala mavuzi, raisi ndiye final say popote pale duniani🤣
Pointi anataka Rafiki yake Putin ashinde vita😀😀😀 angetaka amani angesitisha misaada kama hiyo kwa Israel badala yake anawaongezea siraha na anawaambie wafanye kile wanachoona kinafaaSafi sana Trump Sasa si mnaona Trump anataka amani ila Volodymyr Zelenskyy yeye anafanya ubishi tu
🤣🤣🤣🤣🤣 Utasikia kule mpaka Congress ipitishe, raisi hana maamuzi ya moja kwa moja bila Congress. Funzo: Raisi ndio final say hio mifumo ni porojo tu.Zile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.
Tumeshajionea.