Kwani ukrain waliwaomba si walijitolea kwa usalama wao na wa usa piaHalafu deni liko pale pale bado marekani atamdai ukraine mabilion aliyotumia wakati wa vita. Na je ulaya itamsapoti mpaka aweze kumshinda mrusi? Ulaya ikiungana na ukraine dhidi ya urusi na china itaungana na urus ndo kitaumana wakati huo mmarekani amdkaa pembeni anaangalia hiyo movie,
Hakwenda kumpigia kampeini Kamala; na wewe usidakie maneno usiyojua. JD Vance anaongea uwongo na wewe unaurudia.Aliyeanza kumchokoza mwenzie ni Zelenskyy mwenyewe - kwa kufunga safari kutoka Ukreni na kwenda kumpigia kampeni Kamala Harris dhidi ya Trump.
Kwa maneno mengine alikuwa anautangazia umma kwamba Trump hafai hata jino moja.
Kwa mantiki hiyo, Trump naye anamjibu - inakuwaje mtu asiyefaa leo awe bora?
Zelenskyy ni kibaraka, na daima anaburuzwa na mabwana zake wanaompangia nini afanye, lipi aachane nalo.
Jamaa anashikiwa akili, hana maamuzi yake mwenyewe.
Ww ndo unaangalia mambo kwa jicho la tatu .. ukubww wa usa huwezi kuutofautisha na Eu . Eu ikianguka usa lazima awe weak kuwenye kushinikiza vikwazo vyakeapo a
hapo anaepoteza ni USA , miaka 10 mbele tutakuja elewa , Ukraine haiez poteza sababu UKRAINE ni mwanamke ambae alikuwa anagombaniwa , yaan UKRAINE ndo ilikuwa reference nan ni mbabe wa dunia , Urusi kajiongezea ushawishi duniani kwa kusimamia msimamo wake licha ya kukosea , hakuna taifa lenye kiongoz timamu litakuja msikiliza USA tena
Lakini vyote alivyo vifanya vipo ndani ya mamlaka yake kwa mujibu wa katiba yao.Na kujitoa kwenye misaada na mashirika ya kidunia walipanga lini? Mkuu, hapa ni Trump kaja na maono yake.
mkataba wa madini ya ukraine una lengo la kuilipa marekan garama walizotumia wakati wa vita. Hakuna cha bure.Kwani ukrain waliwaomba si walijitolea kwa usalama wao na wa usa pia
trump alipomwambhiaCHINA Hana huo ujinga wa kupigana vita
Mona kama unajipinga mwenyewe. Mambo yako wazi marekani anataka alipwe garama alizotumia ukraine kwa njia ya madini. Hakuna cha bure.Hakuna deni. Mikopo yote huwa ina documents zizosainiwa. Hata Trump hajawahi kutamka kuwa Ukraine ilikopa kitu chochote toka USA.
Mnaokoteza maneno yasiyo halisia na kuyapa uzito.
Trump alisema kuwa kama Ukraine haitaki kuipa UZA madini yake, USA inaweza kutaka ilipwe msaada ambao imeisaidia wakati wa vita.
Kama una akili timamu, tangu lini msaada ukadaiwa ulipwe!!
OK mkuu. Sikusema ni mvunja katiba.Lakini vyote alivyo vifanya vipo ndani ya mamlaka yake kwa mujibu wa katiba yao.
Tungejua kuwa Trump yuko juu ya mfumo iwapo angekuwa anafanya mambo yaliyo nje ya mamlaka yake.