kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
urusi endapo gas yake itakatwa ulaya atakuwa na Hali mbaya sana .....kingine kilichobakia nikusikia kuvunjika kwa brics
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona unakuwa kimbinyiko, mkuu? Kuwa ^very interested^ na ^kuwa tayari kwa mazungumzo ya amani,^ havitegemei kivyovyote vile maslahi ya Urusi kuheshimiwa.Hapo na. 8 hujamalizia taarifa ya Kremlin kuwa "ikiwa tu kama maslahi yake yataheshimiwa".
Licha ya kutomkubali Joe Biden, sababu kubwa ni wale hasa waliokuwa wakiiongoza serikali ya Marekani. JB alikuwa kama kivuli tu - rais asiye na kucha wala meno.Kuna kauli nyingi kutoka kila kona ya dunia kuanzia Japan, South Korea, German, UK, Zelensky, Orban etc. kila mahali wanatamani utawala wa Trump. Inaonesha Biden walikuwa hawamkubali ila kinafiki tu waliishi naye
Mkuu, Joe Biden alipoingia madarakani, wala hakuna mtu aliyejua kama kuna rais kachaguliwa Marekani. Dunia ilishuhudia fujofujo tu na vumbi kutimka.vipi lakini biden nae alipoingia madarakani hakukua na matamko?
Ngoja tuone atakachofanyaRonaldo J Trump japokuwa sio professional kama Obama au Kamala but ana kipaji cha uongozi na utendaji kazi
Tumia akili ...ujasema ila logic ya hoja yako ndiyo imeonyesha hivyo ...ukioanisha mtiririko wa hoja zako...umesema trump anatetemesha watu au ujasema hivyo wewe tumbiliWe ni mpumbavu eeh?
Wapi nimesema Russia inamwogopa Trump?
Hakuipata kuandikwa kwamba ncha ya upanga heleta pia amani? Wamekimbilia option nyingine badala ya hiyo!Siyo kwamba wanapenda amani wameona watabondwa vibaya sana.
nikuwekee article ya cnn au al jazeera mkuu. mimi sitaki kuweka hata nukta yanguMkuu, Joe Biden alipoingia madarakani, wala hakuna mtu aliyejua kama kuna rais kachaguliwa Marekani.
Wengi walikuwa wanamngojea Trump ashinde zile kesi alizofungua dhidi ya udanganyifu mkubwa sana wa kura. Usisahau ndicho kipindi ambacho mdudu korona alibisha hodi katika kila pembe ya dunia.
Akiwa madarakani alikutana nao na wakajadiliana hali ya baadaye baada ya US kuondoka, Biden and the company wakafanya otherwise.List ya mambo yaliyotokea baada ya Donald J Trump kutangazwa kushindwa uchaguzi;
- Taleban kutangaza kwamba wanataka amani na USA na kikundi chao kuondolewa kweny list ya terrorist groups.
Hana namna, maana huyo ajaye ukitaka uchizi yeye ni zaidi halafu ni New Yorker by nature
- Rais Putin kajitokeza na kusema "western civilization is not an enemy" (hii ni ajabu kwa sababu kipindi cha Biden alikuwa anaiponda US kila akipanda jukwaani)
Kipindi cha kampeni aliwaambia, Mexico nimajirani na ni muhimu kwa US, ila hana ujumbe mzuri kwao sababu ya kutolinda mipaka na kuachia illegal immigrants kupitia Mexico na kuingia US. Hivyo hana ujumbe mzuri kwao.
- Mexican government wameimarisha ulinzi kweny border zake na USA.
- Qatar imewaambia viongozi wa Hammas kwamba "they're no longer welcomed in their country" (kumbuka Qatar ndo walikuwa wanamhifadhi Ismail Haniyeh na viongozi wengine wa Hammas kipindi cha Biden) sasa hivi wamewapiga marufuku nchini mwao.
Uwepo wa Sanctuary cities huko New York ndiyo hupelekea illegal immigrants wengi kukimbilia huko, miji ya Chicago na Los Angeles ni destinations kubwa za illigal immigrants ingawa miji mingine pia zipo, kuna jumla ya sanctuary zaidi ya 500US. Trump ameahidi ku deL nalo hili
- Mayor wa Newyork ameanza kushughulikia tatizo la "Illegal Immigrants" waliojaa New York kwa kuwawekea vikwazo vikali.
China ameshaona nyakati ngumu zinakuja
- Rais wa China amesema wanataka "Peaceful coexistence" with America, wanataka waishi kwa amani na USA na wanaheshimu maamuzi ya wamarekani kumchagua Trump.
Kabla hata hajausikia tayari yupo interested
- European Union Cheif (Ursula) amemwambia Trump kwamba wanataka marekani awe ana supply Liquefied Natural Gas (LNG) to Europe ili waache kununua kutoka kwa Russia.
- Rais Putin amesema yuko very interested na mpango wa Trump wa kumaliza vita yake against Ukraine, na amesema yuko tayar kwa maongezi na Trump, pia kasema Russia ita support huo mpango.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
- Houthi wamesema operations zake kweny international waters zilikuwa ni za kujilinda tuu(which is Ironic) na wametangaza kusitisha hizo operations.
Wanaelewa vizuri somo linalikuja ni complicated.
- Hammas kutangaza "Immediate End of War" baada ya Trump kushinda uchaguzi.
kwani china si juzi kati tu hapo jinping alikutana na biden? putin habari zinasema team ya trump inamueleza ukraine akubali dili miaka 20 hakuna kufikiria nato inatengenezwa buffer zone, putin land aliyogain anabaki nayo, kuhusu negotiations mara kadhaa putin kashasema west wanamtumia uturuki kuna na proposal lakini hawako serious. muda wa kusubiri utekelezaji tuAkiwa madarakani alikutana nao na wakajadiliana hali ya baadaye baada ya IS kuondoka
alopata anabaki nayo
Hana namna, maana huyo ajaye ukitaka uchizi yeye ni zaidi halafu ni New Yorker by nature
Kipindi cha kampeni aliwaambia, Mexico nimajirani na ni muhimu kwa US, ila hana ujumbe mzuri kwao sababu ya kutolinda mipaka na kuachia illegal immigrants kupitia Mexico na kuingia US. Hivyo hana ujumbe mzuri kwao.
Uwepo wa Sanctuary cities huko New York ndiyo hupelekea illegal immigrants wengi kukimbilia huko, miji ya Chicago na Los Angeles ni destinations kubwa za illigal immigrants ingawa miji mingine pia zipo, kuna jumla ya sanctuary zaidi ya 500US. Trump ameahidi ku deL nalo hili
China ameshaona nyakati ngumu zinakuja
Kabla hata hajausikia tayari yupo interested
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
zile meli walizokuwa wakizishambulia wakati zikipita zake njia ilikuwa ni kujikinda?
Wanaelewa vizuri somo linalikuja ni complicated.
Mkuu, kama hivyo vyombo vya habari ndivyo vyanzo vyako, basi kazi unayo.nikuwekee article ya cnn au al jazeera mkuu. mimi sitaki kuweka hata nukta yangu