Trump bado hajaingia madarakani lakini Impact yake ni kubwa zaidi ya watu wanavofikiri, anatetemesha watu

Trump bado hajaingia madarakani lakini Impact yake ni kubwa zaidi ya watu wanavofikiri, anatetemesha watu

We ni mpumbavu eeh?

Wapi nimesema Russia inamwogopa Trump?
Wewe ndio mpumbavu,umesema Trump anateremesha watu,hivi una umri gani wewe?

Umeandika huu uzi kwa ushabiki wa kijinga sana,weka source ya hayo matamko uliyo yaandika wewe hapa,hakuna nchi inayotetemeshwa na rais wa nchi nyingine,inaonekana umetawaliwa na fikra za kitumwa,

Halafu si kila siku hapa hua mnasema kua US hua ina mipango yake haijalishi rais ni nani? Naona unapiga ngoma na kuicheza wewe mwenyewe.
 
Akiwa madarakani alikutana nao na wakajadiliana hali ya baadaye baada ya IS kuondoka

Hana namna, maana huyo ajaye ukitaka uchizi yeye ni zaidi halafu ni New Yorker by nature

Kipindi cha kampeni aliwaambia, Mexico nimajirani na ni muhimu kwa US, ila hana ujumbe mzuri kwao sababu ya kutolinda mipaka na kuachia illegal immigrants kupitia Mexico na kuingia US. Hivyo hana ujumbe mzuri kwao.



Uwepo wa Sanctuary cities huko New York ndiyo hupelekea illegal immigrants wengi kukimbilia huko, miji ya Chicago na Los Angeles ni destinations kubwa za illigal immigrants ingawa miji mingine pia zipo, kuna jumla ya sanctuary zaidi ya 500US. Trump ameahidi ku deL nalo hili

China ameshaona nyakati ngumu zinakuja

Kabla hata hajausikia tayari yupo interested

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
zile meli walizokuwa wakizishambulia wakati zikipita zake njia ilikuwa ni kujikinda?

Wanaelewa vizuri somo linalikuja ni complicated.
Mkuu, mimi namuunga mkono Trump haswa! Ila ukimgusa Mchina na Russia, mapema sana naruka na wewe, hata vifuti utapata. Sikuachi!

China na Urusi zimekuwa zikitumia busara muda wote. Hata kabla ya vita vya Ukreni, Putin aliwaalika hao vichwa-ngumu wa West wakae meza moja wazungumze, ila wao wakavimba - wakiongozwa na Boris Johnson, RIP - retired in pity.

Busara hiyohiyo ndiyo waitumiayo sasa kwa sababu wanamwona huyu mpya ni rais na kiongozi anayetumia akili (yake binafsi) kuliko mabavu kama wale.

Halafu wenzio wanawaza kukuza uchumi na biashara kwa njia ya maafikiano, maridhiano na amani. Marekani yenyewe mara zote inaonekana kufanikiwa kwa kuyaanzishia timbwili mataifa mengine.
 
Hakuipata kuandikwa kwamba ncha ya upanga heleta pia amani? Wamekimbilia option nyingine badala ya hiyo!
Nilijua tu lazima uje kwenye huu uzi mmarekani mweusi wa Nzega,huyo Trump alipokua rais alifanya nini? Aliwapiga kina nani? Trump sio mtu wa vita,kwa mfano alisema akichaguliwa atafanya jitihada kumaliza vita ya Russia na Ukraine,

Nyie wamarekani weusi wa Nzega ndio mnashobokea vitu msivyovijua.
 
List ya mambo yaliyotokea baada ya Donald J Trump kutangazwa kushindwa uchaguzi;

  1. Taleban kutangaza kwamba wanataka amani na USA na kikundi chao kuondolewa kweny list ya terrorist groups.
  2. Rais Putin kajitokeza na kusema "western civilization is not an enemy" (hii ni ajabu kwa sababu kipindi cha Biden alikuwa anaiponda US kila akipanda jukwaani)
  3. Mexican government wameimarisha ulinzi kweny border zake na USA.
  4. Qatar imewaambia viongozi wa Hammas kwamba "they're no longer welcomed in their country" (kumbuka Qatar ndo walikuwa wanamhifadhi Ismail Haniyeh na viongozi wengine wa Hammas kipindi cha Biden) sasa hivi wamewapiga marufuku nchini kwao.
  5. Mayor wa Newyork ameanza kushughulikia tatizo la "Illegal Immigrants" waliojaa New York kwa kuwawekea vikwazo vikali.
  6. Rais wa China amesema wanataka "Peaceful coexistence" with America, wanataka waishi kwa amani na USA na wanaheshimu maamuzi ya wamarekani kumchagua Trump.
  7. European Union Cheif (Ursula) amemwambia Trump kwamba wanataka marekani awe ana supply Liquefied Natural Gas (LNG) to Europe ili waache kununua kutoka kwa Russia.
  8. Rais Putin amesema yuko very interested na mpango wa Trump wa kumaliza vita yake against Ukraine, na amesema yuko tayar kwa maongezi na Trump, pia kasema Russia ita support huo mpango.
  9. Houthi wamesema operations zake kweny international waters zilikuwa ni za kujilinda tuu(which is Ironic) na wametangaza kusitisha hizo operations.
  10. Hammas kutangaza "Immediate End of War" baada ya Trump kushinda uchaguzi.
  11. Stock markets na Crypto(Bitcoin, Ethereum etc) charts kupanda mara dufu.
  12. Kuitwa misogynist na baada ya kushinda uchaguzi kamteua mwanamke wa kwanza kuwa "White House Chief of Staff", hakukuwahi kuwa Chief of Staff mwanamke.
Ukiwa na mtu mweny ushawishi kama Donald J. Trump as your President inaleta faraja sana, Tanzania tunahitaji mtu kama huyu.
Tanzania tumewahi kuwa naye, naye si mwongine, ni JPM

Huyu alikuwa mfano wa Trump kwa nchi zetu hizi za watu weusi na mioyo myeusi
 
Mkuu, kwani kutetemeka lazima mtu awe anaogopa?

Kuna wengine wanatetemeka kwa sababu ya degedege. Wengine wanatetema kama Mayelle. Na wengine wanatetemeka kwa furaha.

Emu rudi shule kidogo, unatia aibu hapa jukwaani. Ebo!
Wewe nae ni mpumbavu tu,huna akili kabisa,hiyo mifano yako ya kijinga wapelekee familia yako,usinifanye mimi kua mpumbavu mwenzako,

Ungekua na akili timamu ungejua kua hii mada na neno kutetemesha ina maanisha nini,hebu kaa mbali na mimi na usirudie kuniquote kabla hujaharibikiwa zaidi,usije kusema sikukwambia.
 
Nilijua tu lazima uje kwenye huu uzi mmarekani mweusi wa Nzega,huyo Trump alipokua rais alifanya nini? Aliwapiga kina nani? Trump sio mtu wa vita,kwa mfano alisema akichaguliwa atafanya jitihada kumaliza vita ya Russia na Ukraine,

Nyie wamarekani weusi wa Nzega ndio mnashobokea vitu msivyovijua.
Wewe nilishakupuuza!
 
Wewe nilishakupuuza!
Umejipuuza mwenyewe kwa kujishtukia kwa kutingisha makalio yako hapa kwa hoja za kijinga na ushabiki wa hovyo,jadili vitu kwa akili na sio kufuata upepo tu,toka huko Kijijini uone Dunia inavyokwenda kuliko kila siku kukariri upumbavu ule ule tu.
 
Kamtetemesha nani?
Ajabu kwelu kweli, kiongozi wa Al Houthi anamwambia akija aje kwa adabu, kiongozi wa Hezbullah pia kamwambia aje kiongozi yeyote wa US hawababaishwi nae, Iran kamwambia akija abadilishe siasa ya US ama sivyo hakuna atakacho fanikiwa.

Labda ni Israel na Europe ndio atakao watingisha
 
List ya mambo yaliyotokea baada ya Donald J Trump kutangazwa kushindwa uchaguzi;

  1. Taleban kutangaza kwamba wanataka amani na USA na kikundi chao kuondolewa kweny list ya terrorist groups.
  2. Rais Putin kajitokeza na kusema "western civilization is not an enemy" (hii ni ajabu kwa sababu kipindi cha Biden alikuwa anaiponda US kila akipanda jukwaani)
  3. Mexican government wameimarisha ulinzi kweny border zake na USA.
  4. Qatar imewaambia viongozi wa Hammas kwamba "they're no longer welcomed in their country" (kumbuka Qatar ndo walikuwa wanamhifadhi Ismail Haniyeh na viongozi wengine wa Hammas kipindi cha Biden) sasa hivi wamewapiga marufuku nchini kwao.
  5. Mayor wa Newyork ameanza kushughulikia tatizo la "Illegal Immigrants" waliojaa New York kwa kuwawekea vikwazo vikali.
  6. Rais wa China amesema wanataka "Peaceful coexistence" with America, wanataka waishi kwa amani na USA na wanaheshimu maamuzi ya wamarekani kumchagua Trump.
  7. European Union Cheif (Ursula) amemwambia Trump kwamba wanataka marekani awe ana supply Liquefied Natural Gas (LNG) to Europe ili waache kununua kutoka kwa Russia.
  8. Rais Putin amesema yuko very interested na mpango wa Trump wa kumaliza vita yake against Ukraine, na amesema yuko tayar kwa maongezi na Trump, pia kasema Russia ita support huo mpango.
  9. Houthi wamesema operations zake kweny international waters zilikuwa ni za kujilinda tuu(which is Ironic) na wametangaza kusitisha hizo operations.
  10. Hammas kutangaza "Immediate End of War" baada ya Trump kushinda uchaguzi.
  11. Stock markets na Crypto(Bitcoin, Ethereum etc) charts kupanda mara dufu.
  12. Kuitwa misogynist na baada ya kushinda uchaguzi kamteua mwanamke wa kwanza kuwa "White House Chief of Staff", hakukuwahi kuwa Chief of Staff mwanamke.
Ukiwa na mtu mweny ushawishi kama Donald J. Trump as your President inaleta faraja sana, Tanzania tunahitaji mtu kama huyu.
Sambamba na Hilo, Billion wa Dunia, Elon Musk, Utajiri wake uliongezeka Kwa zaidi ya Billion 27.5 za kimarekan.

Vita ya Ukraine Sasa Inaisha.

Ugonv na Uchina utaongezeka na ambapo Musk ataziddi kua Tajiri.

Wa Iran watapigwa vikwazo kwelikweli.

Wapalestina wajiandae

Mashogaa wajiandae +LGBT

Watoa mimba wajiandaeee
 
Umejipuuza mwenyewe kwa kujishtukia kwa kutingisha makalio yako hapa kwa hoja za kijinga na ushabiki wa hovyo,jadili vitu kwa akili na sio kufuata upepo tu,toka huko Kijijini uone Dunia inavyokwenda kuliko kila siku kukariri upumbavu ule ule tu.
Endelea kutukana tu kana kwamba una hatimiliki ya matusi!

Ulivyo mpumbavu kwa uzi huu tu hesabu post zako then uone ulizotukana ni ngapi? It shows who you're.
 
List ya mambo yaliyotokea baada ya Donald J Trump kutangazwa kushindwa uchaguzi;

  1. Taleban kutangaza kwamba wanataka amani na USA na kikundi chao kuondolewa kweny list ya terrorist groups.
  2. Rais Putin kajitokeza na kusema "western civilization is not an enemy" (hii ni ajabu kwa sababu kipindi cha Biden alikuwa anaiponda US kila akipanda jukwaani)
  3. Mexican government wameimarisha ulinzi kweny border zake na USA.
  4. Qatar imewaambia viongozi wa Hammas kwamba "they're no longer welcomed in their country" (kumbuka Qatar ndo walikuwa wanamhifadhi Ismail Haniyeh na viongozi wengine wa Hammas kipindi cha Biden) sasa hivi wamewapiga marufuku nchini kwao.
  5. Mayor wa Newyork ameanza kushughulikia tatizo la "Illegal Immigrants" waliojaa New York kwa kuwawekea vikwazo vikali.
  6. Rais wa China amesema wanataka "Peaceful coexistence" with America, wanataka waishi kwa amani na USA na wanaheshimu maamuzi ya wamarekani kumchagua Trump.
  7. European Union Cheif (Ursula) amemwambia Trump kwamba wanataka marekani awe ana supply Liquefied Natural Gas (LNG) to Europe ili waache kununua kutoka kwa Russia.
  8. Rais Putin amesema yuko very interested na mpango wa Trump wa kumaliza vita yake against Ukraine, na amesema yuko tayar kwa maongezi na Trump, pia kasema Russia ita support huo mpango.
  9. Houthi wamesema operations zake kweny international waters zilikuwa ni za kujilinda tuu(which is Ironic) na wametangaza kusitisha hizo operations.
  10. Hammas kutangaza "Immediate End of War" baada ya Trump kushinda uchaguzi.
  11. Stock markets na Crypto(Bitcoin, Ethereum etc) charts kupanda mara dufu.
  12. Kuitwa misogynist na baada ya kushinda uchaguzi kamteua mwanamke wa kwanza kuwa "White House Chief of Staff", hakukuwahi kuwa Chief of Staff mwanamke.
Ukiwa na mtu mweny ushawishi kama Donald J. Trump as your President inaleta faraja sana, Tanzania tunahitaji mtu kama huyu.

Mkuu mnatetemeka wewe na nani? Labda kama mliomsabiria maisha beberu:

IMG_20241109_141039.jpg


HAMAS kaambiwa kuondoka Qatar siku kumi zilizopita. Kumbe Trump kachaguliwa lini?

Nani wapi au lini alishasema anataka vita?

Kwani Tanzania ikisema leo haitaki vita na Marekani utasema ni Kwa sababu kaingia Trump? Kwani lini ilisema ilitaka vita? Uliwahi kumsikia hata Marekani mwenyewe akisema anataka vita?

Hizi ngonjera si za kuwapa watoto wa chekechea?

Kwamba umeorodhesha misimamo ya sehemu mbalimbali duniani ambayo ipo na kuipa unyunyu kuwa wanatetemeka?

Looh!

Mkuu labda kama mnatetemeka nyie lakini si wenye kujitambua wakiwamo Taleban, HAMAS, Hezbollah, Houthi, North Korea, Russia, China, SA, Venezuela, Cuba, Guinea, Burkina Faso au Iran huko!

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Back
Top Bottom