Trump: Biden kapeleka dola bilioni 60 za walipa kodi wa USA nchini Ukraine, kununua silaha ambazo zaishia kuharibiwa vibaya na Urusi

Trump: Biden kapeleka dola bilioni 60 za walipa kodi wa USA nchini Ukraine, kununua silaha ambazo zaishia kuharibiwa vibaya na Urusi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Rais mstaafu wa Marekani Donald Trump kamkemea na kumkosoa vikali rais Biden kwa kutumia vibaya pesa za walipa kodi wa Marekani dola bilioni 60 kununulia silaha na kuzipeleka Ukraine, ambapo silaha za mahela yote hayo zinaishia kuharibiwa vibaya na kuangamizwa na majeshi ya Urusi. Wakati huo huo waMarekani wakiendelea kulia ukata wa maisha kutokana na gharama za wese, chakula na madawa kupanda zaidi.

=====

Screenshot_20220726-092446_Chrome.jpg
 
Hayo ni maneno ya kisiasa kwa sababu ukiangalia mmarekani alivyo shikiria uchumi wa dunia inamaana kila mtu hiyo pesa amechangia.
Watu tunavyo lalamika vitu kupanda bei hivyo ndivyo tulivyo changia kuisaidia Ukraine automatic
 
Bro pesa hazipelekwi Ukraine zinabaki hapohapo USA kwa makampuni ya silaha kama Lockheed Martin ndo maana wameongeza production ya silaha ambazo zinaenda Ukraine kama Javellin,nk. Kinachoenda Ukraine ni silaha tu Ila Dola zinabaki hapohapo kwa uncle Sam na kuongeza ajira kwenye hizo kampuni
 
Hayo ni maneno ya kisiasa kwa sababu ukiangalia mmarekani alivyo shikiria uchumi wa dunia inamaana kila mtu hiyo pesa amechangia.
Watu tunavyo lalamika vitu kupanda bei hivyo ndivyo tulivyo changia kuisaidia Ukraine automatic
Kweli kbs
 
Back
Top Bottom