Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wakati Trump anamsubiria Narendra Modi Waziri mkuu wa India kufika White House Trump akawa anapiga story na waandishi wa habari, wakumuuliza vipi kuhusu BRICS, amewajibu kwa tambo na makeke sana.

Trump anasema BRICS imekufa baada ya kauli yake kuwaambia wakigusia tu kwenye vikao vyao wanataka kucheza na dollar($) atawapiga na kitu kizito, tariffs 100%, hawataweza kufanya biashara na Marekani tena kiasi kwamba watarudi kuomba msamaha kwa magoti. Anasema tangu ametoa kauli hiyo wamesambaratika, hakuna hata anayetaka kujulikana aliwahi kuwa BRICS!

Screenshot_20250215-071302_X.jpg
 
Ngoja iendelee kunyesha...., Wakati yeye anapenda sifa za palepale na kuonekana mbabe wengine wanaangalia mutual benefits, sasa USA ilikuwa inaonekana kama partner na mtu wa kuaminika sasa kama ni kigeugeu na anaweza aka ku-back stab anytime ni kwamba watu wataanza kuangalia alternative (Hivi kipindi cha Cold War alikuwa wapi huyu, atadhani ndio leo amedondoka kutoka Mars) Anyway the man does not care about long term effects...

A Recap from Game of Thrones, about Power

Varys:
“Power is a curious thing, my lord. Are you fond of riddles?”
Tyrion: “Why? Am I about to hear one?”
V: “Three great men sit in a room: a king, a priest and a rich man. Between them stands a common sellsword. Each great man bids the sellsword to kill the other two. Who lives? Who dies?”
T: “Depends on the sellsword”
V: “Does it? He’s not the crown, no gold, no favor with the gods”
T: “He’s got the sword, the power of life and death”
V: “But if it’s the swordsman who rules, why do we pretend kings hold all the power? When Ned Stark lost his head, who was truly responsible: Joffrey, the executioner, or something else?”
T: “I have decided I don’t like riddles”
V: “Power resides where men believe it resides, it’s a trick, a shadow on the wall, and a very small man can cast a very large shadow”

View: https://youtu.be/FpL6Fwu0wkw?si=pKnSDk2DpOc5i5qq
 
Ukiwa tajiri kila mtu atadhani una majivuno kumbe unajiamini tu.
Trump has always been blowing his own Trumpet, na utajiri wake umekuwa ni wa janja janja na kuchukua credit hata ambazo si zako (kwa hilo hata Musk na yeye ni mulemule) pia fraud za hapa na pale case in point alidanganya kuhusu utajiri wake (net worth) baada ya habari hio kuwa printed kwenye gazeti kubwa katumia hio kama nyenzo ya kupata mkopo..., Ni Rais gani ana boast kuhusu ukubwa wa his manhood sababu tu kuna watu wanasema ana vimikono vidogo...., Kuna mambo anasema kama angeyasema Obama we would never have heard the end of it.....


View: https://youtu.be/swcJzacZkWU?si=RkcEs0bfbIJ8KghI
 
Trump has always been blowing his own Trumpet, na utajiri wake umekuwa ni wa janja janja na kuchukua credit hata ambazo si zako (kwa hilo hata Musk na yeye ni mulemule) pia fraud za hapa na pale case in point alidanganya kuhusu utajiri wake (net worth) baada ya habari hio kuwa printed kwenye gazeti kubwa katumia hio kama nyenzo ya kupata mkopo..., Ni Rais gani ana boast kuhusu ukubwa wa his manhood sababu tu kuna watu wanasema ana vimikono vidogo...., Kuna mambo anasema kama angeyasema Obama we would never have heard the end of it.....


View: https://youtu.be/swcJzacZkWU?si=RkcEs0bfbIJ8KghI

Hizo zilikuwa siasa za kumchafua kuelekea uchaguzi wao.Kwa hizo kesi kwani zimemfanya aonekane ni kapuku tu aliyejisingizia utajiri?
 
Nahendra Modi akitoka U.S. apitie Tanzania tumpatie choroko,mbaazi na dengu akajipikilishe nyumbani kwake.
Wasenge wanahesabu kali kwenye chakula .Muhindi akiwa na gunia mbili za dengu anatoboa mwaka .Utakuwa unabadilishiwa mapigo tu leo cheuro,kesho bagia nk na pilipili nyingi sana lazima upate hamu ya kula ,hata kama unajifanya ukila chakula cha aina moja kinakukinai .Indians kwa mahesabu ya misosi hususani kucheza na gunia za dengu nimewanyooshea mikono hamna mpinzani duniani na kofia nimewavulia.Lazima ujue kupige hesabu za gunia za dengu.
 
Hizo zilikuwa siasa za kumchafua kuelekea uchaguzi wao.Kwa hizo kesi kwani zimemfanya aonekane ni kapuku tu aliyejisingizia utajiri?
Mkuu unamjua Trump ? Trump alishinda uchaguzi mara ya kwanza sio kwamba watu wanaona ni clean bali ni kwamba walichoka na status quo, pamoja na yeye kumchafua Hilary kwamba ni mwizi mwizi

Hayo yote niliyosema they are well known facts...., kuhusu kudanganya utajiri wake, kipindi kabla ya Urais kuwa na madeni ya kutosha, kutumia jina lake kama Brand hata kwa vitu ambavyo sio vyake.., utapeli kama Trump University, kusafisha pesa kwenye property zake na Russians (money laundry) In short kuwa kwake President has been the biggest business he will ever do, ni kama mtoto unamkabidhi duka la pipi....; Na kuhusu anachosema ni mtu wa kubwawaja na watu wameshamzoea hivyo kuchukua anachosema with a pinch of salt, ndio maana hawashangai tena (sababu washakuwa chronic)
 
Back
Top Bottom