Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

... ana pesa ana madaraka ya taifa kubwa. They are not beggars!
They are dependant kuwepo hapo walipo kutokana na mataifa mengine they need allies, na wameweza kufanya mengi kwa kutengeneza bajeti kubwa kwa madeni kuliko nchi yoyote duniani sababu ya dollar; sasa bila hizi pumba huenda watu wangeona BRICS au delolarization ni pumba na hazina maana ila ukiona kwamba any time Kichaa anaweza kupata uskani wa nchi mliyoamini usishangae watu kuanza kutafuta alternative...

 
Mtu ana military bases duniani anaiba,anachonganisha,anapora anatokea mjinga mmoja anasema sio ombaomba.Lakini hasemi kama ni jambazi.Hawaombi lakini wanapora hapa mnatuambiaje.
 
Wasenge wanahesabu kali kwenye chakula .Muhindi akiwa na gunia mbili za dengu anatoboa mwaka .Utakuwa unabadilishiwa mapigo tu leo cheuro,kesho bagia nk na pilipili nyingi sana lazima upate hamu ya kula ,hata kama unajifanya ukila chakula cha aina moja kinakukinai .Indians kwa mahesabu ya misosi hususani kucheza na gunia za dengu nimewanyooshea mikono hamna mpinzani duniani na kofia nimewavulia.Lazima ujue kupige hesabu za gunia za dengu.
Unaambiwa Modi mwenyewe ana kastoo kake ka dengu tu
 
I
Wakati Trump anamsubiria Narendra Modi Waziri mkuu wa India kufika White House Trump akawa anapiga story na waandishi wa habari, wakumuuliza vipi kuhusu BRICS, amewajibu kwa tambo na makeke sana.

Trump anasema BRICS imekufa baada ya kauli yake kuwaambia wakigusia tu kwenye vikao vyao wanataka kucheza na dollar($) atawapiga na kitu kizito, tariffs 100%, hawataweza kufanya biashara na Marekani tena kiasi kwamba watarudi kuomba msamaha kwa magoti. Anasema tangu ametoa kauli hiyo wamesambaratika, hakuna hata anayetaka kujulikana aliwahi kuwa BRICS!

View attachment 3236734
Mzee Jeuri Huyu hadi Raha Sio Biden Mzee Kapoa Umri Ushamtupa Mkono
 
India ni kirusi ktk muungano wa BRICS. Ni watumwa wa west hao.


Halafu sijawahi kuona mradi wao wowote nje ya nchi kuifanya vizuri.
Nawaonaga michosho tu.
TRC, ATC Waliingia nao mikataba ukute marejesho chungu nzima huko faida hakuna.
Leo naona Eti wanataka kupewa mradi wa umeme wa upepo 🤔🤔🤔
 
Huwa tunaambiana humu $ imefika mwisho wake.
Tuliwaambia malengo ya brics ni kuua dola na ni kama kikao cha wachawi, kikirushiwa jiwe moja tu kinasambaratika wachumi uchwara wa tandale wakaturushia matusi hapa! Ingekua ni kuhusu kukuza Uchumi wao angalau, dollar imejengwa kwa jasho na damu na kwa miaka mingi haishushwi kwa vikao! Sasa jiwe moja tu la Trump wote washapotea njia kila mtu anakuja kwa Trump kivyake kutubu!
 
Wakati Trump anamsubiria Narendra Modi Waziri mkuu wa India kufika White House Trump akawa anapiga story na waandishi wa habari, wakumuuliza vipi kuhusu BRICS, amewajibu kwa tambo na makeke sana.

Trump anasema BRICS imekufa baada ya kauli yake kuwaambia wakigusia tu kwenye vikao vyao wanataka kucheza na dollar($) atawapiga na kitu kizito, tariffs 100%, hawataweza kufanya biashara na Marekani tena kiasi kwamba watarudi kuomba msamaha kwa magoti. Anasema tangu ametoa kauli hiyo wamesambaratika, hakuna hata anayetaka kujulikana aliwahi kuwa BRICS!

View attachment 3236734
Mzee Turump hawezi kuwa na maono mafupi kiwango hicho,hayo yatakuwa maneno tunalishwa.
 
Wakati Trump anamsubiria Narendra Modi Waziri mkuu wa India kufika White House Trump akawa anapiga story na waandishi wa habari, wakumuuliza vipi kuhusu BRICS, amewajibu kwa tambo na makeke sana.

Trump anasema BRICS imekufa baada ya kauli yake kuwaambia wakigusia tu kwenye vikao vyao wanataka kucheza na dollar($) atawapiga na kitu kizito, tariffs 100%, hawataweza kufanya biashara na Marekani tena kiasi kwamba watarudi kuomba msamaha kwa magoti. Anasema tangu ametoa kauli hiyo wamesambaratika, hakuna hata anayetaka kujulikana aliwahi kuwa BRICS!

View attachment 3236734
Kwani wanachama wa BRICS humu JF kina Lee Van free Mathanzua TUJITEGEMEE Gagnija ITR Richard Sela Son wanasemaje?
 
China hana lolote anatuvimbiaga tu sisi huku tunaokunya maporini.

Mi mi Xi Jinping

Nyau de adriz
Kuna nyuzi nyingine zinashangaza sana hivi kweli habari za uhakika kuhusu BRICS uzipate kutoka kwa Trump? Mtu ambaye anaichukia BRICS!

Kila mwaka members wapya wanajiunga BRICS na kuna maombi yako pending eti leo unasikiliza habari kutoka unreliable source domo la Trump

Mkutano ujao wa BRICS utafanyika July 6-7 Rio de Janeiro, Brazil
 
Tuliwaambia malengo ya brics ni kuua dola na ni kama kikao cha wachawi, kikirushiwa jiwe moja tu kinasambaratika wachumi uchwara wa tandale wakaturushia matusi hapa! Ingekua ni kuhusu kukuza Uchumi wao angalau, dollar imejengwa kwa jasho na damu na kwa miaka mingi haishushwi kwa vikao! Sasa jiwe moja tu la Trump wote washapotea njia kila mtu anakuja kwa Trump kivyake kutubu!
Unaamini maneno ya Trump?
 
Tuliwaambia malengo ya brics ni kuua dola na ni kama kikao cha wachawi, kikirushiwa jiwe moja tu kinasambaratika wachumi uchwara wa tandale wakaturushia matusi hapa! Ingekua ni kuhusu kukuza Uchumi wao angalau, dollar imejengwa kwa jasho na damu na kwa miaka mingi haishushwi kwa vikao! Sasa jiwe moja tu la Trump wote washapotea njia kila mtu anakuja kwa Trump kivyake kutubu!
😂😂😂🙏
 
Back
Top Bottom